KUMBUKUMBU YA BABA NELSON
![](http://3.bp.blogspot.com/-yUjV1-6ioMw/UxPQHuNOBaI/AAAAAAAFQqQ/zq_9fdXBJ9k/s72-c/sw.jpg)
Rabbiel Daniel Swai (7/3/1941 – 3/3/1997)
Ni miaka kumi na saba (17) ya majonzi na huzuni imepita, tangu ulipo tutoka gafla katika maisha ya duniani, siku ya Jumatatu na tarehe kama hii 3 March 1997. Kama wakristo tunaamini, maisha ni safari na mungu ndiye aliyeamua kuwa wewe upumzike mapema. Pamoja na kuwa umetutoka kimwili, ki roho bado uko nasi. Unakumbukwa sana na mkeo mpendwa wako Elly Rabbiel Swai, watoto wako wapendwa Doris, Nelson, Clemence, Frank na Edward. Wakwe zako Aikael...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbcg5rxLC4aMq3jo0p47ZfOpfKCxAzsdbsM3LSelnclkIYvpGzCVtVkhs2CZztcYNcl58fhKj9Mwp6Oqs-5ZO4y/JK.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE KATIKA KUMBUKUMBU YA HAYATI NELSON MANDELA
Rais Jakaya Kikwete (wa nne kutoka kulia mstari wa pili) akiwa na mkewe mama Salma Kikwete katika ibada ya Kumbukumbu ya Kifo cha aliyekuwa kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini na duniani, Mheshimiwa Nelson R Mandela. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Desemba 10, 2013, ameungana na viongozi wa mataifa mbali mbali duniani na maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini Kuadhimisha...
11 years ago
Habarileo12 Jul
Waomba serikali kuweka kumbukumbu maeneo Baba wa Taifa aliyoyatumia
SERIKALI imeombwa kuweka alama au kumbukumbu kwenye maeneo muhimu ambayo Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyatumia katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, pamoja na kutimiza azma ya kuifanya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YTWVBncG30Q/VhRNGN4o_BI/AAAAAAAEADM/IIDOQxeuDq4/s72-c/e0af04997296fa937ff6fece4c762056.jpg)
IBADA YA KUMBUKUMBU YA MPENDWA BABA YETU GODFREY MNGODO COLUMBUS. OHIO
![](http://2.bp.blogspot.com/-YTWVBncG30Q/VhRNGN4o_BI/AAAAAAAEADM/IIDOQxeuDq4/s640/e0af04997296fa937ff6fece4c762056.jpg)
Kwa maelezo zaidi na maelekezoMichael Mngodo 614 446 5565
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9yiTtr2TFos/VS59oq__fvI/AAAAAAADid0/Kd832YccsI0/s72-c/candle%2BCollage.jpg)
Ibada ya shukrani na kumbukumbu ya Baba Peter Msungu na Kaka Gerald A. Natumwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-9yiTtr2TFos/VS59oq__fvI/AAAAAAADid0/Kd832YccsI0/s1600/candle%2BCollage.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-duy0UlyGMS8/VS59fZLNqdI/AAAAAAADidM/rBCSTty7QAE/s1600/IMG_9769.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b-1zGZ_QxK4/VS59k91gugI/AAAAAAADidk/yTdJJG08DOE/s1600/IMG_9862.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w6R48WRSgE4/VS59pPhcGwI/AAAAAAADid4/aZgWRvAZq-s/s1600/IMG_9864.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o2gMGNRBTEA/VS59hNGjkEI/AAAAAAADidU/dBmpcRpquKI/s1600/IMG_9818.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XeJ5VG7yPLo/VS59kPK3N-I/AAAAAAADidc/sg2cJS9PgGY/s1600/IMG_9829.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zZItO0yOrJ0/VS59lpyJHrI/AAAAAAADids/j5puKHKBeRs/s1600/IMG_9860.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kq2vaxYd6bk/VS59dICvwlI/AAAAAAADidE/MeRvC0syZMQ/s1600/IMG_9749.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qLgrmCJ89Ko/VS59Z-m1SSI/AAAAAAADic0/nFA0F61Kn8o/s1600/IMG_9748.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-or7AhfgEx4M/VS59ShNCQ0I/AAAAAAADicM/cGzQv32WVAw/s1600/IMG_0068.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2cZg3KdSJfE/VS59U__4z-I/AAAAAAADicc/UC2hTd5z0Is/s1600/IMG_0074.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EaR3TA4gaKM/VS6DkXoG4KI/AAAAAAADieM/b9OYEctuSQ4/s1600/IMG_0017.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tXlA4QVqOs0/VS6DlAGEEII/AAAAAAADieQ/x61AjQrXSak/s1600/IMG_0020.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jdZiDyCnImM/VS6DlkT_gzI/AAAAAAADieY/HWyRQPPaFAU/s1600/IMG_0055.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yWE4u9mSCF8/VS6DpfJ7MCI/AAAAAAADiek/1-Y01DdCIRg/s1600/IMG_9801.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mca3GkCW394/VS6Dpm4iKKI/AAAAAAADieo/1BW3rEBPi5E/s1600/IMG_9820.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MXFigA56ew4/VS6DqJwKFhI/AAAAAAADies/yueTra6zGfY/s1600/IMG_9844.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-l_V1GQ0878E/VS59P3atTPI/AAAAAAADib0/87y3P1tFR2A/s1600/IMG_0046.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bd3B_HzA0yE/VS59P-qcOhI/AAAAAAADib4/gnyeMGxQQYQ/s1600/IMG_0043.jpg)
Picha zaidi hapa kwa iskajojo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvs4gFdhCRVW1fUhSwN12Tuiq91lXuERvdoHpFunWvY*GpvDSlyT0nE-s*WYgyUEe7zD0d6j-L6bt99xDSc9NOpD/nyerere.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA SIKU YA KUZALIWA BABA WA TAIFA, MWL JK NYERERE (1922 - 1999)
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. APRILI 13, 1922 Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alizaliwa katika Kijiji cha Butiama, Wilaya ya Musoma, mkoa wa Mara, Tanzania (wakati ule: Tanganyika). Alikuwa mmojawapo kati ya watoto 26 wa Nyerere Burito, chifu wa kabila la Wazanaki.
Alipokuwa mtoto Nyerere alichunga mifugo ya baba yake; katika umri wa miaka 12 alianza shule ya msingi akitembea kilomita 30 hadi Musoma. Baada ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-z_kgNZloIb4/VRkoNje0ZEI/AAAAAAAAHBk/bgO7BrLevv4/s72-c/Tuzo%2Bya%2Bjamii.jpg)
TUZO YA HESHIMA KUTOLEWA KWA BABA WA TAIFA HAYATI JK NYERERE NA HAYATI NELSON MANDELA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-z_kgNZloIb4/VRkoNje0ZEI/AAAAAAAAHBk/bgO7BrLevv4/s1600/Tuzo%2Bya%2Bjamii.jpg)
MGENI RASMI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Mrisho Kikwete
WAGENI WAALIKWA:
Mara baada ya Hafla ya Tuzo ya Jamii ambapo Washindi wote watapewa Tuzo na Mgeni Rasmi, Kutakuwa na Dhifa ya Kitaifa ya Tuzo ya Jamii ambayo itahudhuriwa na wageni wafuatao:
Wapewa Tuzo, Familia za wapewa Tuzo, Viongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gRyhOkJWisQ/VVK4PPx0JKI/AAAAAAAAPVo/-VgqhN1DgKQ/s72-c/DSCF4971%2B(800x600).jpg)
MBATIA NA MREMA WAKUTANA KANISANI KATIKA IBADA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU BABA ASKOFU STEPHANO MOSHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gRyhOkJWisQ/VVK4PPx0JKI/AAAAAAAAPVo/-VgqhN1DgKQ/s640/DSCF4971%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tuy_uIZnwuM/VVK4YPC2LaI/AAAAAAAAPWk/s8jP4rNtzBk/s640/DSCF4993%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nTl8PTophdE/VVK4bj6UpBI/AAAAAAAAPW8/ynFVpDacK1w/s640/DSCF5002%2B(800x600).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-gRyhOkJWisQ/VVK4PPx0JKI/AAAAAAAAPVo/-VgqhN1DgKQ/s72-c/DSCF4971%2B(800x600).jpg)
WABUNGE MH,MBATIA NA MH,MREMA WAKUTANA KANISANI,NI KATIKA IBADA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU BABA ASKOFU STEPHANO MOSHI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-gRyhOkJWisQ/VVK4PPx0JKI/AAAAAAAAPVo/-VgqhN1DgKQ/s640/DSCF4971%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tfcxA2F2fiQ/VVK4P8AEFWI/AAAAAAAAPVw/U-dTImZJrkM/s640/DSCF4972%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4-ANTFur9As/VVK4PgPkNzI/AAAAAAAAPVs/hhMgORLLXH0/s640/DSCF4974%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GADIdkgTj7Q/VVK4Tix4T4I/AAAAAAAAPWM/QykOVdFJOVk/s640/DSCF4984%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qdbM2T0RtCk/VVK4Ta_tjII/AAAAAAAAPWA/YtZ8JnCFvqc/s640/DSCF4987%2B(800x600).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h84oK4AzOqvMKdJeRrRjKy8j6W2h2Ab2mU6k6Tp*NzVuS92DvscOAoFhl005PGAqSMQtPGq-yy5qXogJA-J2hyE/22.jpg?width=650)
HOTUBA YA JAKAYA KIKWETE KWENYE SHEREHE YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, KUMBUKUMBU YA BABA WA TAIFA NA WIKI YA VIJANA KITAIFA, TAREHE 14/10/2014 – MKOANI TABORA
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa kilele cha mbio za mwenge 2014 ziilizofanyika katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora siku ya jana. Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara (MB), Waziri wa Habari,       Vijana, Michezo, Utamaduni na Michezo; Mheshimiwa Zainabu Omar Mohamedi, Waziri wa Uwezeshaji,      Ustawi wa Jamii, Vijana Wanawake na Watoto –...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania