Jiji la Dar kuwa chini ya Ukawa
Kama wingi wa madiwani katika halmashauri ndicho kigezo cha chama kumpata meya, basi safari hii jiji la Dar es Salaam litakuwa chini ya mameya kutoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EJwNVHJjSIc/VQfUVFgPOHI/AAAAAAAHK5k/xKCMfQSmJc0/s72-c/FFU-ughaibuni%2Bwakifanya%2Bvitu%2Bvyao%2BStuttgart%2CUjerumani.jpg)
Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni walipoliweka jiji la Stuttgart chini yao
Na Paparazi wa Globu ya jamii Ughaibuni,
Bendi Maarufu ya Muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni usiku wa Jumamosi ya 14 Machi 2015 walifanikiwa kufanya mavitu yao jukwaani na kuliweka jiji la Stuttgart,chini ya himaya na muziki wao,katika onyesho la Africa Unite Party.
pamoja na ulinzi ulioandaliwa lakini kikosi cha Ngoma Africa band kilikuwa "Fit on Fire",sheria za ughaibuni zinawaruhusu kutinga na viwalo ..kila nchi inautaratibu na sheria zake
![](http://2.bp.blogspot.com/-EJwNVHJjSIc/VQfUVFgPOHI/AAAAAAAHK5k/xKCMfQSmJc0/s1600/FFU-ughaibuni%2Bwakifanya%2Bvitu%2Bvyao%2BStuttgart%2CUjerumani.jpg)
11 years ago
Habarileo13 Jan
Wakaguzi wa ndani kuwa chini ya CAG
SERIKALI imebadili mifumo ya uendeshaji ndani ya halmashauri za wilaya na kuondoa wakaguzi wa ndani wa hesabu kuwa chini ya wakurugenzi. Badala yake, watawajibika kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
9 years ago
Raia Tanzania28 Aug
Kilichofanywa na Jiji kwa Ukawa ni hatari
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam juzi ilijaribu bila mafanikio kuzuia kufanyika kwa mkutano wa uzinduzi wa kampeni za vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) uliopangwa kufanyika kesho kwenye viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa mitandao ya kijamii na baadaye magazeti, Jiji lilitoa sababu zisizoridhisha katika kujenga hoja ya kuwakatalia Ukawa kutumia viwanja hivyo vya umma, likisema vimelipiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa siku tisa ingawa hadi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8Ym*LrZjbTS6dcW6*mTbGcSJgfOSW0*68L0IRcAjui*jFLZ8TxjRj9IqyvkR4UWN7YPg0u3I5Wg0y-TBfAdRB1w/YoungKiller.gif?width=650)
YOUNG KILLER AKANA DEMU WAKE KUWA CHINI YA 18
10 years ago
Habarileo26 Nov
RC apata hofu Dodoma kuwa Jiji
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa amesema ni ndoto kwa sasa Manispaa ya Dodoma kuwa Jiji, kutokana na kuwa na kiwango kidogo cha ukusanyaji mapato licha ya kuwa na uwekezaji mkubwa wa serikali.
9 years ago
StarTV26 Nov
Jiji la Mwanza kuwa na taswira ya kuvutia
Jiji la Mwanza kwa kushirikiana na wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi na wataalamu kutoka Singapore limeandaa mpango kabambe unaofahamika kama Mwanza 2035 utakaotoa taswira nzuri ya kulifanya jiji hili kuwa la kisasa ifikapo mwaka 2035.
Katika mpango huo umetolewa mkakati pendekezi ili kuhakikisha uwepo wa mtandao bora wa maji safi, maji taka, maji ya mvua, taka ngumu na miundo mbinu ya umeme ambapo ushirikishwaji wa wananchi katika mpango huu umezingatiwa.
Katika mkutano...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uGIVdkcQHqE/VbeUi8yNZCI/AAAAAAAAyi4/PPdSLGnRyLE/s72-c/Kikwete-and-Lowassa.jpg)
TWEET YA RAIS KIKWETE BAADA YA KUSIKIA LOWASA KAJISALIMISHA KWA UKAWA JITIRIRISHE CHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-uGIVdkcQHqE/VbeUi8yNZCI/AAAAAAAAyi4/PPdSLGnRyLE/s640/Kikwete-and-Lowassa.jpg)
While everyone is talking about Hon. Edward Lowassa and UKAWA right now, the is one of the more recent tweets from the President of Tanzania Hon. Dr. Jakaya Kiwete. I’m just wondering if it has anything to do with the Lowassa-UKAWA issue.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gVVcB5HIxEI/VbeU1Rm0pzI/AAAAAAAAyjA/GOUlXjUPeDA/s640/Kikwete-Tweet-e1438079537317.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
EPZA: Bagamoyo kuwa jiji la viwanda, biashara
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu ya Uwekezaji (EPZA) imesema mradi wa uendelezaji wa maeneo maalumu ya uwekezaji katika mji wa Bagamoyo ukikamilika utasaidia mji huo kuwa jiji kubwa la viwanda na...
9 years ago
Habarileo23 Nov
Shein ataka Zanzibar iharakishwe kuwa jiji
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, amesema hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kuimarisha huduma katika Manispaa ya Mji wa Zanzibar iwe ni changamoto kwa mamlaka zinazoshughulikia Serikali za Mitaa kuuandaa mji huo kuwa jiji kama majiji mengine duniani.