Kilichofanywa na Jiji kwa Ukawa ni hatari
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam juzi ilijaribu bila mafanikio kuzuia kufanyika kwa mkutano wa uzinduzi wa kampeni za vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) uliopangwa kufanyika kesho kwenye viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa mitandao ya kijamii na baadaye magazeti, Jiji lilitoa sababu zisizoridhisha katika kujenga hoja ya kuwakatalia Ukawa kutumia viwanja hivyo vya umma, likisema vimelipiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa siku tisa ingawa hadi...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Jiji la Dar kuwa chini ya Ukawa
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Kama ulimis kilichofanywa na Alikiba, Diamond na Harmonize kwenye stage Xmas hii !
Mastaa wengi wa bongofleva wamepiga show kwenye area tofauti Xmas hii, nilizoweza kukurekodia ni hizi pia ikiwemo ya msanii kutoka lebo ya Diamond >> Harmonize, nyingine ni ya Diamond mwenyewe Dar live Mbagala Dar es salaam na ya Alikiba Escape One Mikocheni Dar es salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard […]
The post Kama ulimis kilichofanywa na Alikiba, Diamond na Harmonize kwenye stage Xmas hii ! appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Vijimambo11 years ago
MichuziBARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Taitizo la Android: Kwa nini picha hii ni hatari kwa simu yako?
5 years ago
BBCSwahili09 Mar
Coronavirus: Kwa nini shirika la afya duniani linasema hatua ya kujishika uso ni hatari kwa maisha yako?
10 years ago
GPLMWANAHARAKATI AVAA GUNIA NA KUTINGA OFISI ZA JIJI KUMDAI MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AMLIPE FEDHA ZAKE
10 years ago
MichuziDAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...