JINI KABULA ACHARUKA VIMINI RAMADHANI
![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg2CgKGtbLcJWK0-umoDvCrwP-19ZXRwa1blWi6hpfmkyHw5vwcLmtiue2KjrbCfD1Br533LJEZpxHsosuqnFKcb/JINI.jpg)
Stori: Chande Abdallah STAA wa sinema za Kibongo, Miriam Mjolwa ‘Jini Kabula’ amecharuka baada ya kukosolewa juu ya mavazi ya mitego, vimini, anayovaa ndani ya mwezi wa Ramadhani. Staa wa sinema za Kibongo, Miriam Mjolwa ‘Jini Kabula’ Baada ya majirani wanaofunga kufikisha malalamiko, paparazi wetu alimvutia waya Jini Kabula na kumsomea mashtaka hayo ambapo alisema kuwa alikuwa lokesheni siku...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Thea atetwa kwa vimini, acharuka!
Msanii mkongwe wa fi lamu Bongo, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’Gladness Mallya.
MSANII mkongwe wa fi lamu Bongo, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ amejikuta akitetwa akidaiwa kuwa mcharuko kwa kuvaa vimini hasa baada ya kuachana na mumewe, Michael Sangu ‘Mike’.
Kutetwa huko kumeonekana kumkera sana Thea ambaye juzikati akichonga na Ijumaa alisema, anawashangaa wanaomsema vibaya kwani anaamini anaishi maisha anayotaka yeye na wala hakuna anayeweza kumzuia.
“Mimi napenda kuvaa vimini tangu zamani na sasa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkY48Hq9C4Enymn9a2RPRC1qpbVttMjh*QUJXGBigDsqQ-c23HYwaCDpaJnd3cJIBvYzm*VhJbEamkpgrBeF4wU/Picture146.jpg?width=650)
JINI KABULA AMSHANGAA BUSHOKE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vlz-VcMBEuk5ZpjIoVID1nOBdbhR3N7SaDNeyE3QQ9gMEZ0smGtZSVI-9j2EDKT6fo5WL-8QWeagTbb*lsqbWIGwTdWN9nck/jgg.jpg?width=650)
MADAI JINI KABULA AREKODIWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*uTMXPV5v*XoLekZsm5zUNfyWPTNbe7l6TSrWcYrDt90*4u6KUmlcbn6gde7yNOwrNedT15I9M8HSO4d*6a54Z/Bushoke.jpg)
JINI KABULA, BUSHOKE WAMWAGANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsumuk83cfZL6bNuz*kWM1tVuVRs9DtUoeK9Cj7tgZLj27QjrESXlAm*gRTMSyUZV7VvNaOiSW9S9iTjHw6FFwPws/JINI.jpg)
JINI KABULA ANASWA MTUMBANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQIAFWOShXnPhBO6jPDCBdEyIPaRcC2JqFJu22mLvYEIGYc4bhpgT6LO1TQ7T1fA7ULfzhuocEIY5h79Jo0gX2Qt/kabula.jpg?width=650)
JINI KABULA AITWA CHINA KUJIUZA
10 years ago
Bongo Movies23 Mar
Jini Kabula Afakamia ‘Mikuku’ Uwanjani!
Staa wa Bongo Movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ juzikati alinaswa akifakamia minofu ya kuku katika ya kadamnasi iliyojitokeza katika Dimba la Taifa jijini Dar.
Tukio hilo lilinaswa Machi 17, mwaka huu ndani ya uwanja ambapo kulikuwa na mtanange kati ya Yanga na Kagera Sugar.
Akiwa uwanjani hapo muda mfupi kabla ya mechi kuanza, Jini Kabula alishuhudiwa akifakamia ‘mikuku’ na rafiki zake, jambo lililowafanya baadhi ya mashabiki wanaomfahamu kumkodolea macho muda mwingi.
Pamoja na hali...
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Jini kabula amwanika wa ubani wake
Msanii wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’.
NA gladness mallya
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ hivi karibuni alimwanika mpenzi wake kwenye mtandao wa kijamii wa WhatsApp na kuambatanisha na maneno ya kimahaba.
Jini Kabula aliweka picha ya mpenzi wake huyo ambaye hakutaka kumtaja jina huku akiambatanisha na maneno ya kimahaba na alipoulizwa kuhusu suala la ndoa alisema halipo bali ni marafiki tu.
“Huyu ni rafiki yangu sana na niliweka picha tukiwa pamoja kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYBwQ2KHIXulRs5ydKeX1MFFbE30YkvSEZaIsSU3RmCVYDdfbFrW41*kebqasjRTnLOHFCstd0CG0*Em9Zg3GS4cm/odama.jpg?width=650)
JINI KABULA AMTAKA CHUZ AOE