JINI KABULA AMTAKA CHUZ AOE
![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYBwQ2KHIXulRs5ydKeX1MFFbE30YkvSEZaIsSU3RmCVYDdfbFrW41*kebqasjRTnLOHFCstd0CG0*Em9Zg3GS4cm/odama.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya/Risasi Mwigizaji aliyekwenda hewani Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amemtaka mzazi mwenziye, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’ aoe ili kulinda heshima yake. Mzazi mwenza wa ‘Jini Kabula’, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’ akipozi. Akizungumzia maisha yake ya uhusiano mbele ya mwanahabari wetu, Kabula alisema anajivunia kuzaa na Chuz lakini kwa kuwa yeye hakupanga...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies31 Jan
Jini Kabula Amtaka Mzazi Mwenzie Chuz Aoe
Mwigizaji wa filamu z kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amemtaka mzazi mwenziye, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’ aoe ili kulinda heshima yake.
Akizungumzia maisha yake ya uhusiano mbele ya mwanahabari wa GPL, Kabula alisema anajivunia kuzaa na Chuz lakini kwa kuwa yeye hakupanga kuolewa na prodyuza huyo mkongwe, ni bora aoe kwani umri unamtupa mkono.
“Chuz aoe tu sasa umri umeenda. Tena akioa mimi nitacheza muziki balaa siku hiyo, si unajua mambo yangu. Mbaya zaidi sina kabisa wivu naye,”...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsumuk83cfZL6bNuz*kWM1tVuVRs9DtUoeK9Cj7tgZLj27QjrESXlAm*gRTMSyUZV7VvNaOiSW9S9iTjHw6FFwPws/JINI.jpg)
JINI KABULA ANASWA MTUMBANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vlz-VcMBEuk5ZpjIoVID1nOBdbhR3N7SaDNeyE3QQ9gMEZ0smGtZSVI-9j2EDKT6fo5WL-8QWeagTbb*lsqbWIGwTdWN9nck/jgg.jpg?width=650)
MADAI JINI KABULA AREKODIWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkY48Hq9C4Enymn9a2RPRC1qpbVttMjh*QUJXGBigDsqQ-c23HYwaCDpaJnd3cJIBvYzm*VhJbEamkpgrBeF4wU/Picture146.jpg?width=650)
JINI KABULA AMSHANGAA BUSHOKE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*uTMXPV5v*XoLekZsm5zUNfyWPTNbe7l6TSrWcYrDt90*4u6KUmlcbn6gde7yNOwrNedT15I9M8HSO4d*6a54Z/Bushoke.jpg)
JINI KABULA, BUSHOKE WAMWAGANA
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
Jini Kabula Afunguka Kumpenda Mwisho
Staa wa Bongo Movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’amefunguka na kusema wazi kuwa anampenda staa mwenzake, Mwisho Mwampamba kwa kile alichodai kuwa ana roho nzuri, na kusisitiza kuwa kwa sasa yeye hana mahusianao ya mwanaume wa kitanzania na ieleweke hiyo.
Kabula aliyasema hayo kupitia ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kubandika picha ya Mwisho.
“Wee ndo mchizi wangu jambazi wangu nakupendaga tu kwa roho yako mzungu wangu ndo vile ukiibukaga Tanzania nakuwaga happy....sihitaji fununu...
10 years ago
Bongo Movies23 Mar
Jini Kabula Afakamia ‘Mikuku’ Uwanjani!
Staa wa Bongo Movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ juzikati alinaswa akifakamia minofu ya kuku katika ya kadamnasi iliyojitokeza katika Dimba la Taifa jijini Dar.
Tukio hilo lilinaswa Machi 17, mwaka huu ndani ya uwanja ambapo kulikuwa na mtanange kati ya Yanga na Kagera Sugar.
Akiwa uwanjani hapo muda mfupi kabla ya mechi kuanza, Jini Kabula alishuhudiwa akifakamia ‘mikuku’ na rafiki zake, jambo lililowafanya baadhi ya mashabiki wanaomfahamu kumkodolea macho muda mwingi.
Pamoja na hali...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg2CgKGtbLcJWK0-umoDvCrwP-19ZXRwa1blWi6hpfmkyHw5vwcLmtiue2KjrbCfD1Br533LJEZpxHsosuqnFKcb/JINI.jpg)
JINI KABULA ACHARUKA VIMINI RAMADHANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxaDMdCIR8XKEwkDbslVwrXu1D7t9r*g9AkDdL7*VhSsWknyYr6Nd2MlQME1MJUHrHQx6Lm4u0ltMZlHh90ZYsJf/jini.jpg?width=650)
JINI KABULA: PIGA UA BUSHOKE ANANIOA