Thea atetwa kwa vimini, acharuka!
Msanii mkongwe wa fi lamu Bongo, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’Gladness Mallya.
MSANII mkongwe wa fi lamu Bongo, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ amejikuta akitetwa akidaiwa kuwa mcharuko kwa kuvaa vimini hasa baada ya kuachana na mumewe, Michael Sangu ‘Mike’.
Kutetwa huko kumeonekana kumkera sana Thea ambaye juzikati akichonga na Ijumaa alisema, anawashangaa wanaomsema vibaya kwani anaamini anaishi maisha anayotaka yeye na wala hakuna anayeweza kumzuia.
“Mimi napenda kuvaa vimini tangu zamani na sasa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg2CgKGtbLcJWK0-umoDvCrwP-19ZXRwa1blWi6hpfmkyHw5vwcLmtiue2KjrbCfD1Br533LJEZpxHsosuqnFKcb/JINI.jpg)
JINI KABULA ACHARUKA VIMINI RAMADHANI
10 years ago
Bongo Movies28 Dec
Thea: Hatuvai Vimini Kusaka Mabwana
MWIGIZAJI Ndumbagwe Misayo maarufu kama Thea, amesema wasanii huvaa sketi fupi ‘vimini’ wakilenga kwenda na wakati na si kujipitisha mbele ya wanaume.
Thea aliiambia Mwanaspoti, kuwa ni kama wanatekeleza wimbo wa mwanamuziki Bwana Misosi ‘Nitoke Vipi’, lakini haimaanishi kwamba wavaaji wote ni wahuni.
“Vimini ni ‘kiki’ tu mjini, watu wengi wanaamini ni sehemu mojawapo ya uvaaji au Nitoke Vipi kama Bwana Misosi alivyosema. Kuna watu wanaamini waigizaji tunaovaa au wanaovaa vimini...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXXa2UVVzaTQoUHarkHHj3Am9O9qc0p4j8lpEjFp4w9E5FZQPydWNxykbJ8D4LzHK9wbD3nAH4otFgY50JY0*6Cd/Davina.jpg)
DAVINA ACHARUKA KISA KURUDI KWA MUMEWE
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Riyama Ally: Najifunza kwa Thea
NA RHOBI CHACHA
STAA katika uigizaji, Riyama Ally, ameibuka na kudai kwamba vitu vingi vya uigizaji hujifunza kutoka kwa msanii mwenzake, Ndumbaro Misayo ‘Thea’.
Riyama alisema Thea ni msanii zaidi yake na huwa hajibweteki kwa kulewa sifa kama walivyo baadhi ya waigizaji, ndiyo maana hupenda kujifunza kwake.
“Mimi najiamini na huwa napenda kumpa pongezi mtu anayefanya vizuri katika sanaa, Thea tangu alivyoanza kuigiza hajawahi kutetereka kwa kuwa halewi sifa za mashabiki wake, hivyo ni mfano...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*oWdz*jccIObpsGq6W6XfAAbmHyrIx7qvFJZAkWjuQdcJaVaMajwhIXX-BeNZ1u-zt*0q3*hx-wCJpIamlPPNT8/mainda.jpg)
MAINDA AVIKACHA VIMINI
11 years ago
Mwananchi20 Feb
‘Vimini’ marufuku Uganda
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Jeans, vimini marufuku serikalini
OFISI ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepiga marufuku uvaaji wa nguo yoyote inayopingana na maadili ya utumishi wa umma. Kwa mujibu wa waraka huo uliosambazwa kwenye ofisi mbalimbali...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Vimini, vitopu marufuku Uganda
RAIS Yoweri Museveni amesaini sheria ambayo inaharamisha mavazi yasiyo ya heshima na picha za utupu. Pia, wanawake wamepigwa marufuku kuvaa nguo fupi - vimini na blauzi fupi – vitopu, ambavyo vinashawishi hisia za ngono, isipokuwa kama vivazi hivyo vitatumika kwa madhumuni ya kutoa elimu au matibabu au kutumika kwenye michezo na utamaduni.
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Vimini marufuku Bunge la Katiba