Jinsi chakula kinavyonufaisha ama kudhuru afya
Aghalabu watu wanayafahamu matumizi ya ulimi kama kujua ladha, kusaidia katika kuunda maneno wakati wa mazungumzo na huchanganya na hata kuchambua chakula wakati wa kutafuna na umeng’enyaji wa chakula.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Coronavirus: Jinsi ugonjwa ulivyothibitisha chuki dhidi ya Wachina ama Sinophobia
10 years ago
GPL17 Jun
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/MOC7BqAcxPuCVavomtvEX4NKJ95-gU0g7yzSoTX1Ar31muVaKU*rYqD1cD2lkBFc3*EeorvjSzYM909YWMk6urrmFIQCl-Vd/gonjwa.jpg?width=650)
JINSI YA KUTAMBUA MAGONJWA YANAYOATHIRI AFYA YA UZAZI
10 years ago
Mtanzania29 May
Chakula chazua balaa vyuo Wizara ya Afya
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SAALAM
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imewatangazia wanafunzi katika vyuo ambavyo vipo chini ya wizara hiyo kuanza kujitegemea kwa chakula kuanzia muhula ujao wa masomo 2015/2016.
Wizara imetoa taarifa kwa kuwaandikia barua wakuu wa vyuo vya Serikali vya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kumbukumbu Namba JC.209/558/03/58 ya Mei 20, mwaka huu.
Barua hiyo iliyosainiwa na Dk. Otilia Gowelle kwa niaba ya Katibu Mkuu, ilieleza kuwa uamuzi huo umetokana na ongezeko kubwa la...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rCMoqhROwWU/VU2qeX4Ik9I/AAAAAAAHWU8/nFwLRYVCbRA/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
JK atumaini kuvumbua jinsi ya kuimarisha utayari wa jamii dhidi ya majanga ya afya.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rCMoqhROwWU/VU2qeX4Ik9I/AAAAAAAHWU8/nFwLRYVCbRA/s640/unnamed%2B(87).jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Naibu wa Waziri wa Afya Zanzibar awaandalia chakula Madaktari kutoka Hispania !
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na Madaktari wa kujitolea kutoka Hispatinia mara baada ya Chakula cha usiku alichowaandalia kwa lengo la kuwashukuru kutokana na mchango wao mkubwa wanaoutoa katika sekta ya Afya Zanzibar, hafla hiyo ilifanyika Hoteli ya Ocean View.Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar
Profesa Jose Pinquet kulia akitambulisha Timu ya Madaktari wanaotoa huduma za Matibabu ya Uti wa Mgongo na Ubongo katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi mmoja kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XmhGPchUt8M/VdcygPTCoZI/AAAAAAAHy5I/Ff5kuebfbkY/s72-c/1.jpg)
WIZARA YA AFYA YAWANOA WAANDISHI WA HABARI JINSI YA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-XmhGPchUt8M/VdcygPTCoZI/AAAAAAAHy5I/Ff5kuebfbkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebr585LDav8/VdcygLcJ_EI/AAAAAAAHy5M/Fv1CBSRENDY/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BAtO2rtcXwE/VdcyhDymGRI/AAAAAAAHy5U/gdOqluTIlv4/s640/4.jpg)
10 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA SEKTA YA AFYA ZANZIBAR WAPEWA MAFUNZO JINSI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA EBOLA
10 years ago
Dewji Blog07 May
Waziri wa Afya afungua semina kwa waandishi wa habari kuhusu usalama wa chakula
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Rashid Seif (kushoto), akihutubia wakati akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu usalama wa chakula. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora.
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando (kushoto),...