Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JIPATIE SIMU YA VODACOM ZTE

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

10 years ago

Michuzi

Vodacom Inaileta Kwako ZTE ya bei poa

Kufahamu Vodashop iliyo karibu nawe ili kujipatia simu hii ingia https://www.vodacom.co.tz/productsandservices/devices/vodacom-zte

 

10 years ago

Bongo5

10 years ago

Michuzi

Vodacom yaja na simu ya Vodafone Smart Kicka

Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga(kushoto)akielezea kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)uwezo wa simu mpya aina ya Vodafone Smart Kicka katika matumizi ya mitandao ya kijamii ya Youtube,Twitter,Facebook na whatsup. Simu hizo huuzwa kwenye maduka ya Vodacom kwa bei ya Sh 79,999 zikiwa na ofa ya 3G na SMS 1,200 kwa muda wa miezi sita.Kulia ni Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Matina Nkurlu. Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga...

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAZINDUA HUDUMA MPYA YA SIMU DOKTA LEO

Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Kulia ni Dk. Sulende Kubhoja. Bingwa wa magonjwa ya mwili wa binadamu, Dk. Meshack Shimwela akijibu maswali ya waandishi wa habari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

Michuzi

Vodacom yawaunganisha Buhigwe kwenye mtandao wa simu za mkononi

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Charles Gishuli akiuzindua rasmi mnara wa Vodacom kuashiria kuanza kupatikana huduma za kampuni hiyo ya simu nchini katika kijiji cha Bukuba kilichopo Buhigwe mkoani Kigoma. Pembeni yake ni Meneja wa Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim. Wengine ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya hiyo Malcelina Mbehoma na Mwenyekiti wa Halmashauri Abel Kabona. Vodacom inaendeleza mkakati wake wa kuwaunganisha watanzania wa vijijini na huduma za mawasiliano ya simu za...

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAWAUNGANISHA BUHINGWE KWENYE MTANDAO WA SIMU ZA MKONONI

Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Charles Gishuli akiuzindua rasmi mnara wa Vodacom kuashiria kuanza kupatikana huduma za kampuni hiyo ya simu nchini katika kijiji cha Bukuba kilichopo Buhigwe mkoani Kigoma. Katikati ni Meneja wa Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Abel Kabona. Vodacom inaendeleza mkakati wake wa kuwaunganisha watanzania wa vijijini na huduma za mawasiliano ya simu za...

 

10 years ago

GPL

WATEJA WA VODACOM WAAMBIWA CHONDE WASIWE WANAZIMA SIMU ZAO

Msimamizi wa Bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini, Mrisho Millao (kushoto) akihakiki namba ya simu anayooneshwa na  Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kulia) wakati wa kuchezesha droo ya 45 ya promosheni ya Jaymillions inayoendeshwa na kampuni hiyo na kufanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam leo, ambapo mshindi wa pili wa kitita cha shilingi milioni 100 alipatikana. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani