Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JISHINDIE MUDA WA MAONGEZI WA TSH 5,000/= KWA KUTABIRI MATOKEO YA YANGA NA MBEYA CITY

Wapendwa wasomaji wetu kuzidi kuonesha jinsi tunavyowajali leo tunatoa muda wa maongezi wa Tsh 5,000/= kwa atakayetabiri sahihi matokeo ya mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Mbeya City mechi itakayopigwa Uwanja wa Taifa, Dar. Ili kujishindia muda huo wa maongezi, LIKE ukurasa wetu wa facebook na utoe utabiri wako===>>https://www.facebook.com/Globalpublishers ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JISHINDIE MUDA WA MAONGEZI WA SH. 10,000 KWA KUTABIRI MATOKEO YA MAN CITY VS ARSENAL LEO

Tabiri matokeo ya mechi ya Ligi Kuu England leo kati ya Manchester City na Arsenal itakayopigwa saa 1 usiku kwenye Uwanja wa Etihad, Manchester City. Mtu wa kwanza kutabiri matokeo ya mchezo huo atajishindia muda wa maongezi wa shilingi 10,000 . Jinsi ya kushiriki: Ingia katika ukurasa wetu wa FACEBOOK…

 

11 years ago

GPL

JISHINDIE MUDA WA MAONGEZI WA SHILINGI 5,000 KWA KUTABIRI MECHI YA CHELSEA, ARSENAL

Kutabiri tembelea page yetu ya facebook ==> www.facebook.com/Globalpublishers MWISHO WA KUTUMA MATOKEO NI SAA 9:40 ALASIRI

 

9 years ago

Vijimambo

Jipatie Tsh 2,000 hadi Tsh 40,000 kwa Video kupitia Kisakuzi.com

Kisakuzi.com ni mtandao unaoonesha video za matukio mbalimbali yanayotokea nchini. Mtandao huu, unanunua video na kumuwezesha mtazamaji kujiongezea kipato chake. Kutokana na ubora au tukio la video yako, unaweza kupata kuanzia shilingi 2,000 hadi 40,000 kwa video moja. kisakuzi-video-tanzania Tunapokea video ambazo unazimiliki wewe, umeipiga kwa kutumia simu yako au kamera yako. Nirahisi. Upatapo video kama hiyo bila kujali ufupi wake unaweza kuituma kwenda Je, wajua kwa kutumia simu ya mkononi au kompyuta yako...

 

9 years ago

MillardAyo

Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26

Ligi Kuu soka Tanzania imeendelea uwanja wa Taifa Dar Es Salaam kwa Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo Dar Es Salaam Young Africans kuwakaribisha wagonga nyundo wa jiji la Mbeya klabu ya Mbeya City. Huu ni mchezo wa 13 kwa klabu ya Yanga ambao ndio wapo kileleni mwa msimamo wa Ligi. Yanga ambao ndio wanatajwa kuwa […]

The post Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Michuzi

MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0

 Mshambuliaji machachari wa timu ya Yanga,Mrisho Ngassa (17) akichuana vikali kuwania mpira na Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius wakati wa mtanange wao wa Ligi kuu Tanzania Bara unaoendelea kufanika hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimemalizika hivi punde na Yanga wanaongoza kwa Bao 1-0 lililotiwa kimiani na Mrisho Ngassa,dakika ya 15 ya mchezo kipindi cha kwanza.  Beki wa Timu ya Mbeya City,Deogratias Julius akijiandaa...

 

10 years ago

Michuzi

ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea

Picha na habari na Faustine RuttaLigi Kuu ya Vodacom imeendelea Jumamosi  kwa Mechi kadhaa na Mabingwa Watetezi Azam FC kushinda huko Shinyanga na kutwaa uongozi wa Ligi toka kwa Mtibwa Sugar ambao wanacheza leo, huku Yanga wakiteleza kutwaa uongozi huo baada ya kubanwa na Ruvu Shooting kwa Sare ya 0-0 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...

 

11 years ago

GPL

MBEYA CITY YAONJA JOTO YA JIWE, YALALA 1-0 KWA YANGA

TIMU ya Mbeya City leo imepokea kipigo cha kwanza katika Ligi Kuu ya Bara baada ya kulala kwa bao 1-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo uliopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Bao pekee la Yanga limewekwa kimiani na Mrisho Ngassa katika dakika ya 16 ya mchezo. VIKOSI KATIKA MECHI HIYO VILIKUWA HIVI: YANGA Dida, Mbuyu Twite, Oscar Joshua, Cannavaro, Kelvin Yondani, Domayo, Simon Msuva, Haruna Niyonzima, Didier Kavumbagu,...

 

10 years ago

Mwananchi

Matokeo yamchanganya kocha Mbeya City

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema wasihukumiwe kwa matokeo mabaya yanayotokea dimbani kwani yanamuumiza kila mtu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani