Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jitihada hizi TFF zisiishie njiani

HIVI karibuni wakati wanamichezo wa Tanzania walioshiriki michuano ya Afrika ‘All African Games’

Egbert Mtui

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Hatua hizi Maliasili zisiishie hapa

WIZARA ya Maliasili na Utalii jana iliwasimamisha kazi maofisa 21 wa Idara ya Wanyamapori. Naibu Waziri wa wizara hiyo, Lazaro Nyalandu, ndiye alitangaza uamuzi huo akisema hatua hiyo inatokana na...

 

9 years ago

Mwananchi

Tiba bora zisiishie hospitali za mijini

Baada ya kuapishwa, Rais John Magufuli alianza kazi kwa kuitembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambako hakuridhishwa na huduma ya afya inayotolewa katika hospitali hiyo.

 

9 years ago

Vijimambo

SILAHA ZA MAANGAMIZI ZISIISHIE MIKONONI MWA MAKUNDI YA KIHALIFU —TANZANIA

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzani katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, akichangia majadiliano kuhusu upokonyaji wa silaha na usalama wa kimataifa mwishoni mwa wiki, ambapo ametoa wito wa jumuiya ya kimataifa kushirikiana katika kuhakikisha kuwa silaha za maangamizi haziishii mikononi mwa makundi ya kihalifu.
Tanzania imetoa wito Kwa Jumuiya ya Kimataifa wa kuhakikisha inashirikiana kuhakikisha kwamba silaha za maangamizi zikiwamo za nyukilia haziiangukii mikono ya ...

 

10 years ago

Vijimambo

HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Waliosababishia Serikali hasara ya bn 40/- kukiona Na Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu NchembaWizara ya Fedha imeziagiza taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuchunguza wakuu wa mashirika na taasisi za umma waliojihusisha katika kughushi malipo hewa ya wafanyakazi na kuisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 40 kila mwezi wafichuliwe.
 Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Di Maria njiani kuelekea PSG

Angel Di Maria anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya ndani ya saa 24 zijazo ili kuijiunga na Paris St-Germain

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kiwanda cha kubangua korosho njiani

CHAMA cha Ushirika cha Wakulima wa Korosho Tandahimba – Newala (Tanecu) kinatarajia kuzindua maghala ya kuhifadhia korosho katikati ya mwezi huu ikiwa ni hatua za awali za ujenzi wa kiwanda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Saa za kisasa Apple ziko njiani

saa mpya za Apple ziko sokoni, katika unene na bei tofauti tofauti japo vifaa vya simu bado vinatengenezwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Kasi ya Magufuli inaweza kuwaacha wengi njiani

Wakati Jakaya Kikwete alipochaguliwa kuongoza Serikali ya Awamu ya Nne mwaka 2005, aliingia na kasi ya aina yake; kutembelea wizara za Serikali na kuzungumza na watendaji ili kujifunza namna wanavyofanya kazi.

 

11 years ago

Michuzi

RAGE APATA AJALI AKIWA NJIANI KUELEKEA DODOMA


Mbunge wa Tabora Mjini (CCM) Ismail Aden Rage, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, akiwa amelazwa kwenye hospitali ya Rufaa, Dodoma, Jumatatu Agosti 4, 2014. Rage alipata ajali eneo la Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akielekea mjini humo tayari kushiriki vikao vya Bunge Maalum vinavyoanza Jumanne Agosti 5, 2014Mbunge wa Sikonge mkoani Tabora kupitia CCM, ambaye pia ni Mujumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Said Nkumba, akimjulia hali Rage, hospitalini mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani