JK aalika wawekezaji katika umeme
RAIS Jakaya Kikwete amekaribisha uwekezaji kutoka Marekani kwa ajili ya maeneo kadhaa ya kiuchumi, ikiwemo uzalishaji na usambazaji wa umeme nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tx91gOjkY9U/VEYMOXvd1yI/AAAAAAAGsHk/XDTO_T0sUh4/s72-c/MMGM0728.jpg)
WAZIRI MKUU AALIKA WAWEKEZAJI KATIKA AFYA, KILIMO, NISHATI
![](http://3.bp.blogspot.com/-tx91gOjkY9U/VEYMOXvd1yI/AAAAAAAGsHk/XDTO_T0sUh4/s1600/MMGM0728.jpg)
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatatu, Oktoba 20, 2014) wakati akishiriki Mjadala wa Marais (Presidential Keynote Panel) kuhusu fursa za uwekezaji barani Afrika uliolenga kuonyesha fursa za uwekezaji zilizopo barani Afrika hasa katika nchi za Tanzania, Uganda, Ghana na...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Halmashauri ya wilaya ya Songea yawaalika wawekezaji kutatua changamoto ya ukosefu wa umeme
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Katani LTD cha Hale, Tanga, Salum Shamte.
Na Nathan Mtega wa demashonews, Songea.
Katika kukabiliana na changamoto uya kosefu wa umeme wa uhakika mkoani Ruvuma na Njombe halamashari ya wilaya ya Songea imeanza kukabiliana na changaotyo hiyo kwa kuwaalika wawekezezaji mbali mbali wakiwemo wa sekta hiyo ya nishati ili kutumia fursa zilizopo kutatua changamoto hiyo.
Akizungumza kwa niaba ya wawekezaji wengine katika kikao hicho cha ushauri wa maendeleo cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5iocX2RYi2w/Xk08jOcEdOI/AAAAAAALeWA/_X9Da459FEkgS9jw0g72EHYXRDQUeGCGQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-2AA-3-1024x498.jpg)
ZUNGU AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA NISHATI YA GESI NA UMEME,ASHIRIKI KUPANDA MITI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5iocX2RYi2w/Xk08jOcEdOI/AAAAAAALeWA/_X9Da459FEkgS9jw0g72EHYXRDQUeGCGQCLcBGAsYHQ/s640/2-2AA-3-1024x498.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-1AA-1-1024x498.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-1AA-1024x681.jpg)
5 years ago
MichuziMGALU AITAKA EWURA KUHARAKISHA UANDAAJI KANUNI KWA WAWEKEZAJI BINAFSI WA UMEME
Hafsa Omar-PwaniNAIBU Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, imeitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji(EWURA) kuharakisha uandaaji wa kanuni ambazo zitatumika kudhibiti bei za umeme ambazo zitatumiwa na wawekezaji binafsi wa umeme nchini.
Ameyasema hayo, Februari 20,2020 wakati alipokuwa akijibu maswali mbalimbali ya wananchi ambao walikuwa wakilalamikia bei kubwa ya umeme wanaotozwa na Mkandarasi wa kampuni ya Husk Power iliyopo katika kijiji cha Matipwili kata Mkange, Wilaya ya...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
JK ataka wawekezaji waaminifu katika gesi
10 years ago
StarTV15 Feb
Halmashauri Dodoma zaagizwa kutafuta wawekezaji katika Zabibu.
Na Magreth Tengule,
Dodoma.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameiagiza Manispaa ya Mkoa wa Dodoma na Halmashauri za wilaya kwa ujumla kutafuta wawekezaji wa viwanda ili kutatua kilio cha muda mrefu cha wakulima wa Zabibu kukosa soko la zao hilo.
Waziri Mkuu ametoa agizo huo alipokuwa akizungumza na Askofu Mndolwa wa Kanisa Anglikana Dayosisi ya Tanda na Askofu Dickson Chilongani wa Dodoma pamoja na waumini wa kanisa hilo walipotembelea shambani kwa kiongozi huyo eneo la Zuzu mkoani...
11 years ago
MichuziNHC yavutia wawekezaji katika maonyesho ya Nyumba ya Dubai
Dubai, United Arab Emirates-Katika kile kinachoonekana ni hatua kubwa katika kuelekea kutengeneza fursa kwenye sekta ya uendelezaji wa makazi, Shirika la Nyumba la Taifa limeweka historia kwenye soko la kimataifa na kufanikiwa kwa mara ya kwanza kufanya kongamano la uwekezaji hapa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LiKoXW_Qvyo/VgpxyjY1sMI/AAAAAAAH7ug/8F9WQubczhs/s72-c/1b.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL KATIKA HAFLA YA UCHANGISHAJI FEDHA KWA AJILI YA UHIFADHI WA VYANZO VYA MAJI KATIKA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME YA MTERA, KIHANSI, KIDATU, NYUMBA YA MUNGU NA PANGANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-LiKoXW_Qvyo/VgpxyjY1sMI/AAAAAAAH7ug/8F9WQubczhs/s640/1b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-loDv1slsg_g/Vgpxy_YFZlI/AAAAAAAH7uo/9VFKPRBVUdU/s640/2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa Mabibo Beer, Wines & Spirits na...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYALANDU AFANYA ZIARA KATIKA VIJIJI VINAVYOZUNGUKA HIFADHI YA RUAHA KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI NA WAWEKEZAJI