JK AKINUNUA MAHITAJI YA NYUMBANI
RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakinunua samaki katika kibanda, katika Kijiji cha Bweni, Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, juzi, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara Shuke ya Sekondari Kipumbwi.(Picha na Freddy Maro)
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
GPL
KCEE ANASWA SOKONI AKINUNUA MAFUTA YA MAWESE
5 years ago
Michuzi
NAIBU SPIKA DKT. TULIA AKINUNUA NYANYA SOKOMATOLA MBEYA


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson akinunua mahitaji mbalimbali ya nyumbani ikiwemo nyanya Sokomatola mkoani Mbeya. Picha na Michael Msombe
11 years ago
Michuzi28 Aug
11 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mjadala; Watanzania Diaspora, Tunawataka wajenge vihenge nyumbani, lakini hatutaki wawe na haki kama tulio nyumbani, kwanini?
Ndugu zangu,
Leo alfajiri niliongoza mjadala kwenye redio za Kwanza Jamii na Nuru FM kuhusiana na kongamano linaloendelea Dar la Watanzania wa Diaspora wanaokutana nyumbani, Tanzania.
Ni kwa nini tuna hofu na Watanzania wenzetu walio ughaibuni? Hofu hii ni ya kihistoria.
Kwanini kongamano hili la kwanza kufanyika lisiwe la mwisho kufanyika katika sura yake hii, kwamba maudhui ya kongamano yenyewe kuwa ni ; connect, engage, inform and ivest nako kunakosekana dhana integration kwa maana ya...
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Mahitaji ya msingi ya biashara changa
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Qorro: Mahitaji ya Kiswahili yaongezeka
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Mahitaji ya makundi maalumu kwa wagombea
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Haya ndiyo mahitaji muhimu ya biashara