JK akuna kichwa uteuzi baraza la mawaziri
>Rais Jakaya Kikwete anatarajia kuipanga upya safu ya Baraza lake la Mawaziri wakati wowote, huku baadhi ya naibu mawaziri wakipewa nafasi kubwa ya kuteuliwa kuwa mawaziri kamili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Tamko la Mtandao wa Mashirika yanayotetea Usawa wa Kinjinsia na Haki za Binadamu (Fem Act) juu ya Uteuzi wa baraza la mawaziri!!
Soma hapa tamko hilo la FEMACT…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1TxjyclNmzvNS8CTPKaZcFuy4XRvfw4yHPDa-yg29l5uALiOq6vFDVFi42a2X6rjQs8uYnUmgMXUrDMq9RugxPdh5HuPMi15/ombeni.jpg)
UHAMISHO NA UTEUZI WA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI WAPYA
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Uteuzi wa mawaziri
NGOJA nicheke mjukuu wa Misango mwana wa Bwire niongeze siku za kuishi. Ngoja nicheke hata kama ni kwa uchungu, ili nyongo initoke niendelee na maisha ya kutafuta mkate wa wanangu....
11 years ago
Habarileo21 Dec
JK atengua uteuzi Mawaziri wanne
RAIS Jakaya Kikwete, ametengua uteuzi wa Mawaziri wanne, akikubaliana na kilio cha Wabunge cha kuwawajibisha mawaziri hao kutokana na makovu mabaya yaliyotokana na Operesheni Tokomeza.
9 years ago
Habarileo25 Dec
Uteuzi wa mawaziri wanne wapongezwa
UTEUZI wa mawaziri na naibu, uliofanywa na Rais John Magufuli kukamilisha Baraza lake la Mawaziri, umepongezwa na watu wa kada tofauti. Watu hao wamesema wanawakubali walioteuliwa huku wakisisitiza wapewe nafasi na muda, waoneshe utendaji wao.
9 years ago
Habarileo11 Dec
Uteuzi mawaziri wagusa wengi, wapongezwa
WATU wa kada mbalimbali wamepongeza uamuzi wa Rais John Magufuli kupunguza ukubwa wa Baraza la Mawaziri kwamba hatua hiyo itasaidia kuwa na watu wachache watakaofanya kazi ya kusaidia kuinua uchumi wa nchi. Aidha, uteuzi wake wa Baraza la Mawaziri umewagusa viongozi wa taasisi mbalimbali na wasomi nchini ambao wamelitaja baraza hilo kuwa ni la viwango lililozingatia weledi.
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
TGNP: “Uteuzi waBaraza la Mawaziri uzingatie usawa wa kijinsia”
Wawakilishi wa TGNP Mtandao, Action Aid Tanzania, FemAct pamoja na wanaharakati ngazi ya jamii wakiongea na waandishi wa habari kuhusu ushiriki wa wanawake katika uchaguzi mkuu mwaka huu na uundwaji wa baraza la mawaziri.
Tamko la TGNP na wadau wengine lisome hapa!
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IhGyGqpH0ws/VTjfT-u-FOI/AAAAAAAHSws/eOwXNjy7gqY/s72-c/SimbaKalia.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA TUME YA TAIFA YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA (COSTECH)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IhGyGqpH0ws/VTjfT-u-FOI/AAAAAAAHSws/eOwXNjy7gqY/s1600/SimbaKalia.jpg)
===== ====UTEUZI WA MWENYEKITI WA BARAZA LA TUME YA TAIFA YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA (COSTECH)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikiwete, amemteua Mhandisi, Kanali Mstaafu Joseph Leon Simbakalia, kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia tarehe 10 Aprili 2015.
Uteuzi huo ni kwa mujibu wa Kifungu Na. 4 cha Sheria Na. 7 ya Mwaka 1986 iliyounda Tume ya...