JK aombwa kumtimua Muhongo
RAIS Jakaya Kikwete ameombwa kumfuta kazi Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo kwa kile kinachodaiwa kuwa anadhalilisha taifa kwa kugawa madini kwa wageni na kuwaacha wazawa wakisotea gharama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Mar
Prof.Muhongo aombwa kugombea urais 2015 na umoja wa vyama vya wanafunzi elimu ya juu
Umoja wa Vyama vya wanafunzi elimu ya juu kutoka vyuo mbalimbali kanda ya kaskazini Kilimanjaro na Arusha wajitokeza kumshawishi Prof. Sospeter Muhongo kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mwaka 2015.(Picha na Jamiiblog).
Akizungumza kwa niaba ya vijana wenzake Mwenyekiti wa vijana Charles Ngereza kutoka chuo cha Uhasibu Arusha amesema kuwa kinachowafanya kumshawishi Prof Sospeter Muhongo kugombea urais ni kutokana na kuwa kiongozi bora kwa wananchi na mtu anayejali matatizo...
10 years ago
Vijimambo
HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)


--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Baada ya kumtimua Jose Mourinho, Chelsea imetangaza kocha wa muda wa timu yao ….
Uongozi wa klabu ya Chelsea December 16 iliripotiwa kuweka kikao cha dharura kujadili mwenendo wa timu yao kwa sasa, Chelsea baada ya kukaa kikao hicho cha bodi, December 17 walitangaza rasmi kumfuta kazi Jose Mourinho na nafasi yake kubaki wazi. Stori mpya ni kuwa uongozi wa klabu ya Chelsea December 19 umetangaza rasmi kumteua kwa […]
The post Baada ya kumtimua Jose Mourinho, Chelsea imetangaza kocha wa muda wa timu yao …. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio)
Headlines za soka la kimataifa kwa sasa ni kuhusu uongozi wa klabu ya Chelsea kuamua kumuachisha kazi Jose Mourinho, taarifa ambazo zilitoka mchana wa December 17. Kila mtu kaongea lake ila AMPLIFAYA ya Clouds FM iliwatafuta wachambuzi na waandishi wa habari za michezo Edo Kumwembe na Saleh Ally kuhusu uamuzi wa Chelsea kumfuta kazi ni uamuzi […]
The post Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio) appeared first on...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Wachina waonesha nia kuwekeza sekta ya madini, wakutana na Muhongo, Maswi, muhongo asisitiza hakuna kusafirisha madini ghafi
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
JK aombwa kutimiza ahadi
WANANCHI wa Jimbo la Ulanga Magharibi mkoani Morogoro, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kutimiza ahadi yake ya uchaguzi za mwaka 2010, ya kuwapatia wilaya mpya kwa mipaka ya kimajimbo. Walisema kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
JK aombwa kuimulika KCU
RAIS Jakaya Kikwete amepongezwa kwa hatua yake ya kuviamuru vyombo vya dola kuushughulikia uongozi wa Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Tabora, uliofuja fedha za wakulima wa tumbaku. Pongezi hizo zimetolewa...
10 years ago
StarTV02 Nov
Magufuli aombwa kutolipiza kisasi
Baadhi ya Vijana wa Manispaa ya Songea wamemwomba Rais Mteule Dokta John Magufuli kutofuata itikadi za vyama au kulipiza kisasi bali afuate kanuni, taratibu na sheria katika kuwaletea Watanzania maendeleo.
Vijana hao wamesema Dokta Magufuli ndiye aliyeteuliwa na Mwenyezi Mungu hivyo vyama vyote havina budi kuacha malumbano bali sasa vimuunge mkono katika kufanya kazi.
Vijana hao wakiongozwa na Kijana Makunde Richad na Diwani wa Tanga kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Mussa...
11 years ago
Habarileo11 Aug
JK aombwa kusitisha Bunge la Katiba
JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata), limemuomba Rais Jakaya Kikwete asitishe Bunge Maalumu la Katiba, lakini pia limevionya vyama vya siasa nchini kuhusiana na vitisho vya kuwashughulikia wanachama wao kuhusiana na Bunge hilo.