Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aombwa kuimulika KCU

RAIS Jakaya Kikwete amepongezwa kwa hatua yake ya kuviamuru vyombo vya dola kuushughulikia uongozi wa Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Tabora, uliofuja fedha za wakulima wa tumbaku. Pongezi hizo zimetolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mchakato wa kuimulika Mamlaka ya Bandari uwe endelevu

Mwezi Agosti mwaka 2012, aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe alibadili ghafla mwelekeo wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kuwasimamisha viongozi wote waandamizi.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri atatua mgogoro KCU

SERIKALI imeagiza uongozi wa Ushirika mkoani Kagera kutoa usajili wa muda kwa Chama cha Msingi Magata, wilayani Muleba ikiwa ni hatua ya utatuzi wa mgogoro uliodumu miaka miwili baina yake na Chama Kikuu cha Ushirika (KCU) 1990.

 

10 years ago

Tanzania Daima

KCU wapata viongozi wapya

CHAMA Kikuu cha Ushirika Mkoa Kagera (KCU 1990) Ltd, kimewachagua viongozi wapya huku wa zamani wakitoshwa katika mkutano mkuu maalum uliofanyika mjini hapa, juzi. Uchaguzi huo umefanyika chini ya usimamizi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini ripoti ya KCU inafichwa?

JANUARI 3, 2013, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, alikaririwa na gazeti hili akisema timu ya wasaidizi wake imeanza kuchunguza tuhuma za ubadhirifu wa fedha za Chama Kikuu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KCU Kagera yafikisha lengo, yakosolewa

CHAMA Kikuu cha Ushirika cha KCU (1990) LTD hadi Januari 31, mwaka huu kimekusanya jumla ya tani 3, 753 za kahawa bora kwa maana ya asilimia 50.04 ya lengo la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hongera wanaushirika KCU kwa kuondoa ‘mchwa’

CHAMA Kikuu cha Ushirika cha KCU (1990) Ltd cha mkoani Kagera kimefanya mabadiliko na kuitimua bodi iliyokuwa ikiongozwa na Mwenyekiti, John Binunshu kutokana na tuhuma za ufisadi. KCU ni kati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sinema ya KCU (1990) Ltd ilivyochukua sura mpya

NJAMA za kumfukuza mwakilishi wa Chama cha Msingi Kamachumu kutoka kwenye nafasi yake, imeelezwa kugonga mwamba baada ya wanaushirika wa Kamachumu kuonyesha imani kubwa kwa mwakilishi wao. Uongozi wa Chama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KCU yachumbia mgogoro na vyombo vya habari

CHAMA cha Ushirika Mkoa wa Kagera, KCU (1990) Ltd kimejiingiza katika mgogoro na vyombo vya habari kwa kuwabagua na kuwazuia kupata taarifa muhimu. Hali hiyo ilijitokeza jana katika mkutano mkuu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

KCU wachagua viongozi wapya, ‘watosa’ wa zamani

CHAMA Kikuu cha Ushirika, Mkoa Kagera (KCU 1990) LTD, kimefanya mabadiliko ya kuwachagua viongozi wapya na kuwatupa wa zamani katika Mkutano Mkuu Maalum. Uchaguzi huo umefanyika jana chini ya usimamizi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani