JK kufungua Jukwaa la Vijana
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kufungua Jukwaa la Vijana la Kimataifa la viongozi wa Afrika na China lenye kujadili masuala mbalimbali yakiwemo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Vijana kutanua wigo wa kibiashara Afrika na China kupitia mkutano wa jukwaa la viongozi vijana
Balozi wa China nchini Tanzania Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akiongea na kushoto ni Naibu waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Mhe. Stephen Masele walipokutana kwenye ukumbi wa ubalozi huo kuzungumzia mkutano wa kimataifa wa viongozi vijana wa Afrika na China unatorajiwa kufanyika kuanzia Machi 27 na kumalizika Machi 31 katika Ukumbi wa Hoteli ya Ngurdoto, mkoani Arusha.
Balozi wa China hapa nchini Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akijibu swali aliloulizwa na mwandishi wa habari (Hayupo...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-gKSs6a3-gLo/VQbsUtdKQoI/AAAAAAAAB_k/7sg49B3U8Ig/s72-c/Sixtus.jpeg)
‘Vijana changamkieni mkutano wa jukwaa’
NA MWANDISHI WETU VIJANA wametakiwa kujitokeza kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Tatu la Kimataifa la Viongozi Vijana wa Afrika na China, linaloandaliwa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM). Aidha, jukwaa hilo linalohusu kudumisha urafiki, ushirikiano na maendeleo, baina ya vijana wa Afrika na China kiuchumi, kisiasa na kijamii, linatarajiwa kufanyika jijini Arusha, kuanzia Machi 27 hadi 31, mwaka huu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gKSs6a3-gLo/VQbsUtdKQoI/AAAAAAAAB_k/7sg49B3U8Ig/s1600/Sixtus.jpeg)
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Dodoma waanzisha jukwaa la vijana wasomi, wajasiriamali
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Tanzania mwenyeji wa Jukwaa la vijana Afrika na China
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Dk. Bilal kufungua mkutano wa wanasanyasi vijana duniani
MAKAMU wa Rais Dk. Mohamed Bilal anatajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa wanasayansi vijana duniani utakaofanyika Agosti 11 hadi 14 mwaka huu, jijini Dar es Salaam. Mkutano huo utashirikisha...
9 years ago
MichuziAIRTEL YAENDELEA KUFUNGUA FURSA KWA VIJANA HAPA NCHINI
Mafunzo hayo ya biashara ambayo yamekuwa yakiendeshwa hapa nchini katika mikoa mbali mbali , wiki ijayo yatafanyika Dar Live Mbagala Kuu karibu na Big Bon siku ya Jumanne tarehe 15 ili kuwawezesha vijana kuweza...
10 years ago
VijimamboVijana watano kutoka Tanzania watumbuiza na Ben Pol jukwaa la 'Coke Studio Afrika' Kenya
Vijana watano wapata fursa ‘Coke Studio Afrika’ Kenya.Coke studio Afrika ni moja ya matamasha makubwa ambayo huandaliwa na kampuni ya Coca-Cola ambayo hufanyika kila...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E-ucezwptSE/XlAGQBhtaNI/AAAAAAALeww/smoqLg_dWoIzP90Ea1PfNUcjjVRClmfSgCLcBGAsYHQ/s72-c/2b4ae55f-0c24-49e1-a1d4-ac834aad0fac.jpg)
VETA, Plan International kufungua milango ya ajira kwa vijana 400 mkoani Mwanza
Akizungumza wakati wa tukio la utiaji saini makubaliano hayo leo tarehe 21 Februari, 2020 katika ofisi za VETA Makao Makuu Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkazi wa Plan International Tanzania Dkt. Mona Girgis amesema kuwa makubaliano hayo yanalenga hasa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-6T7xWAddA2U/VRalgzxi1JI/AAAAAAAC2a4/wtK2JE7qjso/s72-c/1.jpg)
RAIS WA ZIMBABWE,ROBERT MUGABE AWASILI JIJINI ARUSHA,KUFUNGUA KOGAMAO LA 3 LA VIONGOZI VIJANA WA AFRIKA NA CHINA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-6T7xWAddA2U/VRalgzxi1JI/AAAAAAAC2a4/wtK2JE7qjso/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BX4U1G7np8U/VRapZV7QOqI/AAAAAAAC2cE/Bf2TKWTHgXs/s1600/2.jpg)