‘Vijana changamkieni mkutano wa jukwaa’
![](http://2.bp.blogspot.com/-gKSs6a3-gLo/VQbsUtdKQoI/AAAAAAAAB_k/7sg49B3U8Ig/s72-c/Sixtus.jpeg)
NA MWANDISHI WETU VIJANA wametakiwa kujitokeza kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Tatu la Kimataifa la Viongozi Vijana wa Afrika na China, linaloandaliwa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM). Aidha, jukwaa hilo linalohusu kudumisha urafiki, ushirikiano na maendeleo, baina ya vijana wa Afrika na China kiuchumi, kisiasa na kijamii, linatarajiwa kufanyika jijini Arusha, kuanzia Machi 27 hadi 31, mwaka huu.Sixtus MapundaKatibu Mkuu wa UVCCM, Sixtus Mapunda, alisema jasna jijini Dar es Salaam kuwa mkutano...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Vijana kutanua wigo wa kibiashara Afrika na China kupitia mkutano wa jukwaa la viongozi vijana
Balozi wa China nchini Tanzania Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akiongea na kushoto ni Naibu waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Mhe. Stephen Masele walipokutana kwenye ukumbi wa ubalozi huo kuzungumzia mkutano wa kimataifa wa viongozi vijana wa Afrika na China unatorajiwa kufanyika kuanzia Machi 27 na kumalizika Machi 31 katika Ukumbi wa Hoteli ya Ngurdoto, mkoani Arusha.
Balozi wa China hapa nchini Mheshimiwa Dr.Lu Youqing akijibu swali aliloulizwa na mwandishi wa habari (Hayupo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FjC7WipaEHU/VRHO6Iiy0jI/AAAAAAAHM94/8wlGNw6wTVA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-24%2Bat%2B11.51.44%2BPM.png)
BALOZI WA CHINA NCHINI NA MHE. MASELE WAZUNGUMZA JUU YA MKUTANO WA JUKWAA LA VIONGOZI VIJANA AFRIKA NA CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FjC7WipaEHU/VRHO6Iiy0jI/AAAAAAAHM94/8wlGNw6wTVA/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-24%2Bat%2B11.51.44%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-c4wp21XLCpY/VRHOSfkSVoI/AAAAAAAHM9w/jR1P9CARMn8/s1600/unnamedXX.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R314OqU3LVI/XlrIfWF_S5I/AAAAAAALgK8/Y3yKf0pQ1n8CTaf1gn4A-ht2btxUNtWlwCLcBGAsYHQ/s72-c/7a7bcbc4-17b3-45be-a6a8-00c44540fc4d.jpg)
Vijana wa Dar Changamkieni Fursa
![](https://1.bp.blogspot.com/-R314OqU3LVI/XlrIfWF_S5I/AAAAAAALgK8/Y3yKf0pQ1n8CTaf1gn4A-ht2btxUNtWlwCLcBGAsYHQ/s640/7a7bcbc4-17b3-45be-a6a8-00c44540fc4d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/ce4b336d-7dbf-4070-b6f3-ad26824169df.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3d4736e3-47b5-4793-b582-51eb9a90181e.jpg)
************************Nteghenjwa Hosseah, Dar es salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo(Mb) amewataka vijana wa Mkoa wa Dar es Salaam kuchangamkia fursa za mikopo ya vijana inayotolewa katika kila Halmashauri Nchini.
Waziri Jafo ameyasema hayo wakati alipokua akifungua Kampeni ya Vijana Twende inayolenga Vijana wa Dar es salaam kuchangamkia fursa za kujukwamua kiuchumi iliyofanyika katika ukumbi wa Ubungo Plaza,...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Vijana changamkieni fursa za uwekezaji — Dk Bilal
MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Gharib Bilal, amewataka vijana nchini kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji kwa njia ya ubia kutoka kwa wawekezaji wa nje, ili kujitengenezea fursa za ajira...
10 years ago
MichuziKIDOTI :VIJANA WA JIJI LA ARUSHA CHANGAMKIENI FURSA ZA KIJASIRIAMALI
mmoja wa mabalozi wa kidoti aliyejulikana kwa jina la Anolia Agustino akiwa anaongea na waandishi wa habari
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ru_WFK4iNs4/VAbPWv_2KWI/AAAAAAAGcaw/Mol8z2tLD3A/s72-c/scholarships%2B2014%2Bcopy%2B2.jpg)
HUC YATANGAZA UFADHILI WA MASOMO YA UFUNDI VETA, VIJANA CHANGAMKIENI
Shirika lisilo la kiserikali la Help for Underserved Communities Inc. (HUC), linatangaza nafasi za ufadhili wa masomo ya ufundi VETA kwa vijana wa Kitanzania. Kozi hizo ni ufundi wa magari, umeme wa magari, udereva magari/pikipiki, ufundi cherehani, hair dressing (urembo), mapambo ya ukumbi na nyinginezo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika hilo, inasema, HUC, itafadhili wanafunzi 15 wa kozi mbalimbali za awali VETA kwa mwaka 2014-2015.
Walengwa ni vijana wa...
10 years ago
Habarileo17 Mar
JK kufungua Jukwaa la Vijana
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kufungua Jukwaa la Vijana la Kimataifa la viongozi wa Afrika na China lenye kujadili masuala mbalimbali yakiwemo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa.
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Tanzania mwenyeji wa Jukwaa la vijana Afrika na China
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Dodoma waanzisha jukwaa la vijana wasomi, wajasiriamali