JK kufungua mkutano wa Takwimu Huria
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Benki ya Dunia itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kj8IMjFHbhc/Veg2Hzole-I/AAAAAAAH2HI/iYJHXpWdM4U/s72-c/rais-kikwete1.jpg)
RAIS KIKWETE KUFUNGUA MKUTANO WA TAKWIMU HURIA KANDA YA AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kj8IMjFHbhc/Veg2Hzole-I/AAAAAAAH2HI/iYJHXpWdM4U/s640/rais-kikwete1.jpg)
Mkutano huo utakaofunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete utafanyika tarehe 4 – 5 Septemba, 2015 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Kauli Mbiu ni “Tumia Takwimu Huria Kuendeleza Afrika” (Developing Africa Through Open Data).
Washiriki takriban...
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Rais Kikwete afungua mkutano wa siku mbili wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akifungua mkutano wa siku mbili wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika unaofanyika nchini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bella Bird (wa kwanza kulia).
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (hayupo pichani)...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m2Vh4Q4aLwA/VefsCpugKiI/AAAAAAAH2AA/z36luKjJwO0/s72-c/aa.png)
MKUTANO WA TAKWIMU HURIA KANDA YA AFRIKA (AFRICA OPEN DATA CONFERENCE) ______________________________________
![](http://4.bp.blogspot.com/-m2Vh4Q4aLwA/VefsCpugKiI/AAAAAAAH2AA/z36luKjJwO0/s640/aa.png)
Washiriki takriban 400 kutoka...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MFUMO WA TAKWIMU HURIA BARANI AFRIKA, JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Habarileo02 Sep
Bilal kufungua mkutano wa tabianchi
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal anatarajiwa kufungua mkutano unaowashirikisha Mawaziri na viongozi mbalimbali 250 kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Nchi za Pembe ya Afrika na Nchi za visiwa vya bahari ya Hindi.
11 years ago
Habarileo21 Jan
Mama Salma kufungua mkutano wa WAMA
TAASISI ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) kwa kushirikiana na Shirika la Management Development for Health (MDH) Tanzania na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, leo wanafanya Mkutano wa Kitaifa wa Kutokomeza Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
11 years ago
Habarileo09 Aug
Dk Bilal kufungua mkutano wa mitaala ya Kiislamu
CHUO Kikuu cha Waislamu cha Morogoro (MUM) kwa kushirikiana na Taasisi ya International Islamic Thought (IIIT) yenye makao yake makuu nchini Marekani, kimeandaa mkutano wa kimataifa juu ya Epistimolojia ya Kiislamu na Maendeleo ya Mitaala.
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Obama kufungua mkutano wa biashara Kenya
10 years ago
Vijimambo17 Feb
MHE. PINDA KUFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA PSPF
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mizengo Kayanza Pinda anatarajiwa kufungua mkutano wa Nne wa Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa...