Obama kufungua mkutano wa biashara Kenya
Rais wa Marekani Barrack Obama anatarajiwa kufungua mkutano mkubwa wa kibiashara katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kipekee nchini Kenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8uxEJer_S68/XmPAR6begOI/AAAAAAALhvQ/F-PMH6hoG-0GfiRJNjustggeewOFgWeggCLcBGAsYHQ/s72-c/29c5eeb7-df9e-4ed5-af74-f3cb5a87d074.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA INNOCENT BASHUNGWA ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA KUMI LA BIASHARA ZANZIBAR.
Mkutano huo umefunguliwa Leo 07.03.2020 katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar na Mgeni rasmi alikuwa ni Mwenyekiti wa jukwaa la biashara na Rais wa Zanzibar Mhe .Dkt Ali Mohamed Shein ambae amefungua jukwaa hilo ambalo lengo kuu ni kutazama fursa...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Li Yuanchao kufungua kongamano la biashara
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya watu wa China, Li Yuanchao, anatarajiwa kufungua kongamano kubwa la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na China kesho jijini Dar es Salaam. Kiongozi...
10 years ago
Bongo528 Jul
Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3J7ZPLUrotM/U_79879Z1NI/AAAAAAAGJ_E/Fa9zuRf5QDo/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Airtel yazidi kufungua milango ya biashara mikoani
Akifungua duka hilo lililopo eneo la Mtaa wa Kawawa Mjini Bukoba, alisema litakuwani chachu ya maendeleo, kwa wakazi wa mkoani Kagera ambapo litarahisisha huduma kwa wananachi.
“Ufunguzi wa hili duka hapa kwetu litakuwa ni chachu ya maendeleo kwa wateja wa Air tel na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSoNbYdJ1iT7p5snpj*7mevIZHi1sziaS*NwZ5cdW-HrHaaMyHp*XfX8frHp*03*aOlijzaVZBpKmEtCnUCPUX8N/pic2.jpg?width=650)
AIRTEL YAZIDI KUFUNGUA MILANGO YA BIASHARA MIKOANI
9 years ago
Habarileo02 Sep
Bilal kufungua mkutano wa tabianchi
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal anatarajiwa kufungua mkutano unaowashirikisha Mawaziri na viongozi mbalimbali 250 kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Nchi za Pembe ya Afrika na Nchi za visiwa vya bahari ya Hindi.
9 years ago
Habarileo04 Sep
JK kufungua mkutano wa Takwimu Huria
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Benki ya Dunia itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika.
11 years ago
Habarileo21 Jan
Mama Salma kufungua mkutano wa WAMA
TAASISI ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) kwa kushirikiana na Shirika la Management Development for Health (MDH) Tanzania na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, leo wanafanya Mkutano wa Kitaifa wa Kutokomeza Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.