JK kuzungumza na Wazee wa Dare s Salaam Jumatatu
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](https://lh5.googleusercontent.com/-mwelma5U9IE/AAAAAAAAAAI/AAAAAAAAAAA/DPEx9Fl3Zz0/s72-c/photo.jpg)
DR. CRISPIN SEMAKULA KUZUNGUMZA NA MUBELWA BANDIO SIKU YA JUMATATU USIKOSE
![](https://lh5.googleusercontent.com/-mwelma5U9IE/AAAAAAAAAAI/AAAAAAAAAAA/DPEx9Fl3Zz0/photo.jpg)
Siku ya Jumatatu Januari 5, 2015 Dr. Crispin Semakula atazungumuza na Mubelwa Bandio katika kipindi cha Huyu na Yule kitakachokuwa kinarushwa kila siku ya Jumatatu na kinachotoa fulsa kujua Watu mbalimbali kutoka sehemu tofauti na mchango wao kwa jamii inayowazunguka. Dr. Crispin Semakula ni mmoja wao na mwanaDiaspora aliyefanya mengi makubwa ikiwemo kujenga Hospitali Tanzania USIKOSE KUMSIKILIZA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-LIcucpRVgFU/VNUEqEIuheI/AAAAAAAAWu8/beB9nlNX_Cw/s72-c/1.jpg)
NAPE NA MBOWE WAKUTANA LEO JIJINI DARE ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-LIcucpRVgFU/VNUEqEIuheI/AAAAAAAAWu8/beB9nlNX_Cw/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kMGTe_IcKqc/VNUEtsSBBgI/AAAAAAAAWvM/6-hRZfIUFSI/s1600/3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t9yffZP2EPc/VhO4G8Xs86I/AAAAAAAH9S0/Z830bezPLig/s72-c/1.jpg)
JESHI LA POLISI KANDA MAALUMU YA DARE SALAAM LAVUNJA KAMBI YA KIKUNDI KINACHODAIWA KUENDESHA UGAIDI WA KIHALIFU
![](http://3.bp.blogspot.com/-t9yffZP2EPc/VhO4G8Xs86I/AAAAAAAH9S0/Z830bezPLig/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Gf_0o3LGKiY/VhO4GyghHNI/AAAAAAAH9S4/9IfmAW8-grQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SvKI_8oz9dY/VK7_6kEykrI/AAAAAAAG8Hw/RBaqxu0QCFk/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
klabu za michezo za maveterani Dar es salaam kurehemu marehemu Jumatatu (Mapinduzi Day) Leaders club, Kinondoni, jijini Dar es salaam
Umoja wa klabu za michezo za maveterani Dar es salaam, chini ya uratibu wa klabu za Singasinga na Tazara, unatangaza rasmi kwamba shughuli ya kurehemu wanachama wenzetu ambao wametangulia mbele ya haki itafanyika JUMATATU 12/1/2015, ikiwa pia ni sehemu ya kuadhimisha sikukuu ya Mapinduzi.
Ratiba itaanza Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...
Ratiba itaanza Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4XxR2HDlHX4/VRKbrLMtVjI/AAAAAAAHNF8/4R3U2-WW5H8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-25%2Bat%2B2.26.09%2BPM.png)
FM ACADEMIA "WAZEE WA GWASUMA" KUWASHA MTO WILAYANI HAI KATIKA UZINDUZI WA FLOMENA BAR USIKU WA JUMATATU YA PASAKA
Na Woinde Shizza,Arusha
Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma wanatarajiwa kuwasha moto ndani ya ukumbi mpya wa kisasa ujulikanao kwa jina la Flomena uliopo wilayani hai mkoani Kilimanjaro usiku wa jumatatu ya pasaka .
Akizungumza na waandishi wa habari muandaaji wa onyesho hilo Swaum kileo alisema kuwa ameamua kuwaleta bendi hiyo katika uzinduzi huo ili kuweza kuwafurahisha wananchi wa mkoa wa kilimanjaro na mikoa jirani katika sikukuu hiii ya pasaka.
Alisema kuwa bendi hii inamda mrefu...
Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma wanatarajiwa kuwasha moto ndani ya ukumbi mpya wa kisasa ujulikanao kwa jina la Flomena uliopo wilayani hai mkoani Kilimanjaro usiku wa jumatatu ya pasaka .
Akizungumza na waandishi wa habari muandaaji wa onyesho hilo Swaum kileo alisema kuwa ameamua kuwaleta bendi hiyo katika uzinduzi huo ili kuweza kuwafurahisha wananchi wa mkoa wa kilimanjaro na mikoa jirani katika sikukuu hiii ya pasaka.
![](http://3.bp.blogspot.com/-4XxR2HDlHX4/VRKbrLMtVjI/AAAAAAAHNF8/4R3U2-WW5H8/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-25%2Bat%2B2.26.09%2BPM.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9WXhSInrm_w/VGdE3WnfNAI/AAAAAAACTEY/XiT5Ew7VGxw/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTA NA KUZUNGUMZA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM MKOA WA DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9WXhSInrm_w/VGdE3WnfNAI/AAAAAAACTEY/XiT5Ew7VGxw/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3wW3TfRAd04/VGdFC2H6OOI/AAAAAAACTEg/oOfs0XSEfMo/s640/2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oWawFESssmo/Xl41M0RUILI/AAAAAAACz9o/PSVbeSo_WFszrfNxsbBienruy0IQEtxZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA JAMES MBATIA NCCRA MAGEUZI NA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA CUF IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-oWawFESssmo/Xl41M0RUILI/AAAAAAACz9o/PSVbeSo_WFszrfNxsbBienruy0IQEtxZwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9FsEyEZyHGI/Xl41VXrW3zI/AAAAAAACz9w/IDic8dm5eukTX4ptXlTPrYWPeQD-4yIsACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-m7-TxEbYDfo/Xl41Uz4lY-I/AAAAAAACz9s/VzUfNV6Qm7Q5VyB1RlgDMNuEHkKIMbY_QCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wQajb8Js9TU/VEMO7YGtFPI/AAAAAAAGrzw/kE-33XOEqHM/s72-c/images.jpg)
Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge kuanza Jijini Dar es Salaam Jumatatu
![](http://3.bp.blogspot.com/-wQajb8Js9TU/VEMO7YGtFPI/AAAAAAAGrzw/kE-33XOEqHM/s1600/images.jpg)
Kwa tangazo hili waheshimiwa Wabunge wote mnaombwa kuwasili Dar es Salaam siku ya Jumapili tarehe 19 Oktoba 2014.
Kamati za Bunge katika vikao hivi vitakavyodumu hadi tarehe 2 Novemba 2014 zitapokea na kujadili pamoja na mambo mengine Muswada wa Marekebisho ya Sheria...
11 years ago
Dewji Blog26 Apr
Kamati za Bunge kuanza kazi Jumatatu tarehe 28 Aprili 2014 Jijini Dar Es Salaam
Afisa Habari wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Owen Mwandumbya akielezea kuhusu kufanyika kwa vikao vya Kamati za Bunge vinavyotarajia kuanza tarehe 28 Aprili hadi 4 Mei, 2014, Jijini Dar es Salaam kabla ya kuanza Mkutano wa Bunge wa Bajeti tarehe 6 Mei, 2014.(Picha na Tiganya Vincent-BMK-Dodoma).
Press Release – Kuanza Kamati April 28, 2014 by moblog
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania