Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Nikisamehe wafungwa wanaongezeka 3,000

Rais Jakaya Kikwete, ameelezea kushangazwa na ongezeko la uhalifu nchini kwamba kila anapotoa msamaha kwa wafungwa 4,000 katika sherehe za Muungano, lakini inapofika siku ya Uhuru, Desemba 9, anapewa taarifa kuna ongezeko la wafungwa 3,000.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wafungwa 6,000 wachiwa huru Marekani

Wafungwa 6,000 wameachiwa huru nchini Marekani katika jitihada za kupunguza msongamano katika magereza.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ouattara awasamehe wafungwa 3,000 Ivory Coast

Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara amewasamehe zaidi ya wafungwa 3000 waliokamatwa wakati wa mzozo uliofuatia uchaguzi mkuu miaka mitano iliyopita.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Zaidi ya wafungwa 4,000 waachiwa huru Ethiopia

Kufuatia janga la maambukizi ya corona serikali ya Ethiopia imechukua hatua ya kuachia huru wafungwa zaidi ya 4000 huku wageni wakirudishwa kwao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Wafungwa zaidi ya 54,000 waachiwa huru Iran kuzuia maambukizi ya virusi vya corona

Msemaji wa idara ya mahakama amesema wafungwa waliachiwa huru baada ya kuthibitishwa hawana virusi vya corona

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

5 years ago

VentureBeat

HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation

HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation  VentureBeatOnetime hit app HQ Trivia resurrected by anonymous investor  MarketWatchHQ Trivia is actually back for real, just when we need it most  MashableHQ Trivia is back less than two months after the app was shut down  The VergeHQ Trivia Returns Thanks to Anonymous Investor  The Wall Street JournalView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Bongo5

Shilingi bilioni 29,995,000,000 zinawasubiri wateja wa Vodacom kupitia promosheni ya JayMillions

Wateja wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania wametakiwa kuchangamkia promosheni ya Jaymillions kwa kutuma ujumbe wenye neno JAY kwenye namba 15544 ili kujua kama iwapo namba zao zimeibuka na ushindi katika droo inayofanyika kila siku. Akiongea baada ya kumalizika kwa droo ya sita ya promosheni hiyo ambayo ilifanyikiwa kupata washindi wa muda wa maongezi […]

 

10 years ago

Bongo5

Bilionea wa Nigeria amzawadia Tayo $350,000 baada ya kushindwa kuzinyakua $300,000 za BBA HotShots

Imeripotiwa kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Afrika, Tayo kuzikosa dola laki tatu za Biggie zilizomwendea Idris wa Tanzania Jumapili iliyopita, mshiriki huyo wa Naija amezawadiwa $350,000 sawa na zaidi ya milioni 600 kutoka kwa shabiki wake bilionea. Idris (kushoto) akiwa na Tayo (kulia) Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yashinda dhahabu mita 3,000 na 10,000

Mwanariadha wa Kenya Ezekiel Kemboi ameshinda medali ya nne mfululizo katika mashindano ya dunia mjini Bejjing baada ya kuwaongoza Wakenya wenzake kushinda nafasi za kwanza nne bora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani