JK: Nikisamehe wafungwa wanaongezeka 3,000
Rais Jakaya Kikwete, ameelezea kushangazwa na ongezeko la uhalifu nchini kwamba kila anapotoa msamaha kwa wafungwa 4,000 katika sherehe za Muungano, lakini inapofika siku ya Uhuru, Desemba 9, anapewa taarifa kuna ongezeko la wafungwa 3,000.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
Wafungwa 6,000 wachiwa huru Marekani
Wafungwa 6,000 wameachiwa huru nchini Marekani katika jitihada za kupunguza msongamano katika magereza.
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Ouattara awasamehe wafungwa 3,000 Ivory Coast
Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara amewasamehe zaidi ya wafungwa 3000 waliokamatwa wakati wa mzozo uliofuatia uchaguzi mkuu miaka mitano iliyopita.
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Zaidi ya wafungwa 4,000 waachiwa huru Ethiopia
Kufuatia janga la maambukizi ya corona serikali ya Ethiopia imechukua hatua ya kuachia huru wafungwa zaidi ya 4000 huku wageni wakirudishwa kwao.
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Coronavirus: Wafungwa zaidi ya 54,000 waachiwa huru Iran kuzuia maambukizi ya virusi vya corona
Msemaji wa idara ya mahakama amesema wafungwa waliachiwa huru baada ya kuthibitishwa hawana virusi vya corona
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19 AnandTechView Full coverage on Google News
5 years ago
VentureBeat30 Mar
HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation
HQ Trivia returns with surprise $1,000 show and $100,000 donation VentureBeatOnetime hit app HQ Trivia resurrected by anonymous investor MarketWatchHQ Trivia is actually back for real, just when we need it most MashableHQ Trivia is back less than two months after the app was shut down The VergeHQ Trivia Returns Thanks to Anonymous Investor The Wall Street JournalView Full coverage on Google News
10 years ago
Bongo520 Jan
Shilingi bilioni 29,995,000,000 zinawasubiri wateja wa Vodacom kupitia promosheni ya JayMillions
Wateja wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania wametakiwa kuchangamkia promosheni ya Jaymillions kwa kutuma ujumbe wenye neno JAY kwenye namba 15544 ili kujua kama iwapo namba zao zimeibuka na ushindi katika droo inayofanyika kila siku. Akiongea baada ya kumalizika kwa droo ya sita ya promosheni hiyo ambayo ilifanyikiwa kupata washindi wa muda wa maongezi […]
10 years ago
Bongo509 Dec
Bilionea wa Nigeria amzawadia Tayo $350,000 baada ya kushindwa kuzinyakua $300,000 za BBA HotShots
Imeripotiwa kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Afrika, Tayo kuzikosa dola laki tatu za Biggie zilizomwendea Idris wa Tanzania Jumapili iliyopita, mshiriki huyo wa Naija amezawadiwa $350,000 sawa na zaidi ya milioni 600 kutoka kwa shabiki wake bilionea. Idris (kushoto) akiwa na Tayo (kulia) Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua […]
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Kenya yashinda dhahabu mita 3,000 na 10,000
Mwanariadha wa Kenya Ezekiel Kemboi ameshinda medali ya nne mfululizo katika mashindano ya dunia mjini Bejjing baada ya kuwaongoza Wakenya wenzake kushinda nafasi za kwanza nne bora.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania