Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Uhusiano na Msumbiji utaendelea kudumishwa

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema uhusiano wa Tanzania na Msumbiji ni wa kipekee na kindugu hivyo utaendelea kudumishwa kwa manufaa ya pande zote mbili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Rais wa Msumbiji ataka uhusiano wa uchumi

Pg 2Na Debora Sanja, Dodoma
RAIS wa Msumbiji, Filipe Nyussi ametaka uhusiano wa nchi yake na Tanzania ulenge pia katika sekta ya uchumi.
Nyusi alitoa kauli hiyo Dodoma jana wakati akihutubia Bunge ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kwanza nchini tangu alipochaguliwa kuongoza Msumbiji.
Uhusiano huu usiishie kwenye siasa, usaidie pia watu kusafiri ndani ya nchi hizi kwa urahisi… sisi nchini kwetu tutaruhusu Watanzania waje kwa urahisi zaidi na wanapokuja wakae muda mrefu bila shida...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI


Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MBARAWA ASEMA WATATUMIA WATAALAMU WA NDANI KUFUNGA PAMPU IWAPO UGONJWA WA CORONA UTAENDELEA KUWEPO

 WAZIRI wa Maji Proffesa Makame Mbarawa akizungumza leo wakati wa ziara yake wilayani Pangani kushoto ni Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo Lugongo
 WAZIRI wa Maji Proffesa Makame Mbarawa akizungumza mara baada ya kuangalia mradi wa maji Kijiji cha Ubangaa
 MKURUGENZI wa Bonde la Maji la Mto Pangani Segule Segule akizungumza wakati wa ziara hiyo kulia ni Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Pangani
 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Pangani Seif Ally akizungumza wakati wa ziara hiyo kushoto ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Viva Msumbiji

Kwenye simulizi zake hizi, Mwandishi wa habari wa siku nyingi na gwiji wa utangazaji wa redio, Tido Mhando anasilia baadhi ya matukio makubwa aliyokutana nayo katika maisha yake hayo ya kikazi. Wiki jana aliezea harakati zilizomuingiza Rais Yoweri Museveni wa Uganda madarakani mnamo mapema mwaka 1986. Sasa endelea…..

 

9 years ago

BBCSwahili

Msumbiji, Zambia zashinda

Timu za taifa za Msumbiji na Zambia zimepata ushindi katika kusaka tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia nchi Urusi 2018.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania sare 2 - 2 na Msumbiji

Tanzania imeshindwa kutamba mbele yaMsumbiji baada ya kulazimishwa sare ya bao 2 - 2.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Samatta: Tutawazima Msumbiji

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, amesema kwa morali wa kila mchezaji katika kikosi cha Taifa Stars, hana hofu na ushindi katika...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka Msumbiji

Mapigano mapya kati ya vikosi vya serikali na wapiganaji wa chama cha upinzani cha Renamo yameripotiwa nchini Msumbiji.

 

9 years ago

Habarileo

Samatta aitisha Msumbiji

MTANZANIA Mbwana Samatta jana alinoa vizuri makali yake baada ya kufunga mabao mawili wakati klabu yake ya TP Mazembe wakati ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Al Merreikh ya Sudan katika mchezo wa pili wa nusu fainali wa Ligi ya Mabingwa wa Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani