JK: Uhusiano na Msumbiji utaendelea kudumishwa
RAIS Jakaya Kikwete amesema uhusiano wa Tanzania na Msumbiji ni wa kipekee na kindugu hivyo utaendelea kudumishwa kwa manufaa ya pande zote mbili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania20 May
Rais wa Msumbiji ataka uhusiano wa uchumi
Na Debora Sanja, Dodoma
RAIS wa Msumbiji, Filipe Nyussi ametaka uhusiano wa nchi yake na Tanzania ulenge pia katika sekta ya uchumi.
Nyusi alitoa kauli hiyo Dodoma jana wakati akihutubia Bunge ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kwanza nchini tangu alipochaguliwa kuongoza Msumbiji.
Uhusiano huu usiishie kwenye siasa, usaidie pia watu kusafiri ndani ya nchi hizi kwa urahisi… sisi nchini kwetu tutaruhusu Watanzania waje kwa urahisi zaidi na wanapokuja wakae muda mrefu bila shida...
10 years ago
VijimamboRAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...
5 years ago
MichuziWAZIRI MBARAWA ASEMA WATATUMIA WATAALAMU WA NDANI KUFUNGA PAMPU IWAPO UGONJWA WA CORONA UTAENDELEA KUWEPO
WAZIRI wa Maji Proffesa Makame Mbarawa akizungumza mara baada ya kuangalia mradi wa maji Kijiji cha Ubangaa
MKURUGENZI wa Bonde la Maji la Mto Pangani Segule Segule akizungumza wakati wa ziara hiyo kulia ni Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Pangani
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Pangani Seif Ally akizungumza wakati wa ziara hiyo kushoto ni...
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Viva Msumbiji
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Msumbiji, Zambia zashinda
11 years ago
BBCSwahili21 Jul
Tanzania sare 2 - 2 na Msumbiji
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Samatta: Tutawazima Msumbiji
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, amesema kwa morali wa kila mchezaji katika kikosi cha Taifa Stars, hana hofu na ushindi katika...
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Mapigano yazuka Msumbiji
9 years ago
Habarileo05 Oct
Samatta aitisha Msumbiji
MTANZANIA Mbwana Samatta jana alinoa vizuri makali yake baada ya kufunga mabao mawili wakati klabu yake ya TP Mazembe wakati ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Al Merreikh ya Sudan katika mchezo wa pili wa nusu fainali wa Ligi ya Mabingwa wa Afrika.