Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samatta: Tutawazima Msumbiji

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, amesema kwa morali wa kila mchezaji katika kikosi cha Taifa Stars, hana hofu na ushindi katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Samatta aitisha Msumbiji

MTANZANIA Mbwana Samatta jana alinoa vizuri makali yake baada ya kufunga mabao mawili wakati klabu yake ya TP Mazembe wakati ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Al Merreikh ya Sudan katika mchezo wa pili wa nusu fainali wa Ligi ya Mabingwa wa Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Samatta, Ulimwengu wawafuata Msumbiji

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania wanaochezea klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu, wanatarajiwa kuwasili nchini kesho. Wachezaji hao wanakuja kujiunga na kambi ya timu...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI


Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...

 

11 years ago

Mwananchi

Viva Msumbiji

Kwenye simulizi zake hizi, Mwandishi wa habari wa siku nyingi na gwiji wa utangazaji wa redio, Tido Mhando anasilia baadhi ya matukio makubwa aliyokutana nayo katika maisha yake hayo ya kikazi. Wiki jana aliezea harakati zilizomuingiza Rais Yoweri Museveni wa Uganda madarakani mnamo mapema mwaka 1986. Sasa endelea…..

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Msumbiji ni leo

Nchini Msumbiji kuna fanyika uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge na wawakilishi wa majimbo, ambao ni wa kwanza wa kidemokrasia tangu nchi hiyo kujipatia uhuru wake toka kwa Wareno.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapigano yazuka Msumbiji

Mapigano mapya kati ya vikosi vya serikali na wapiganaji wa chama cha upinzani cha Renamo yameripotiwa nchini Msumbiji.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania sare 2 - 2 na Msumbiji

Tanzania imeshindwa kutamba mbele yaMsumbiji baada ya kulazimishwa sare ya bao 2 - 2.

 

9 years ago

BBCSwahili

Msumbiji, Zambia zashinda

Timu za taifa za Msumbiji na Zambia zimepata ushindi katika kusaka tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia nchi Urusi 2018.

 

11 years ago

Mwananchi

Taifa Stars yaikamia Msumbiji

Kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij na wachezaji wake wameahidi ushindi wa kishindo kesho dhidi ya  Msumbiji huku wakiwataka Watanzania kufika kwa wingi uwanjani kutoa sapoti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani