JK, Ukawa wapeana mtihani mgumu
Kikwete na Ukawa
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MAZUNGUMZO ya kusaka mwafaka kati ya Rais, Jakaya Kikwete na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) yamemalizika huku kila upande ukitoa masharti ya kumaliza mgogoro uliopo kuhusu kusitishwa kwa Bunge Maalumu la Katiba.
Mkutano huo uliofanyika Ikulu ndogo mjini Dodoma jana, uliratibiwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), huku ukiwa umehusisha viongozi wa vyama vyote vya siasa nchini.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kikao hicho...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Feb
Mtihani mgumu Ukawa
9 years ago
StarTV21 Aug
Mtihani mgumu waikaili Ukawa.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-OT3wME3oOKQ/VRGCSog4UMI/AAAAAAAAAtc/QIzsmi1VC2A/s72-c/ukawa%2Bpicha.jpg)
Mtihani mgumu kwa Ukawa .... isome makala hii kwa makini na mwishowe utoe maoni yako
![](http://3.bp.blogspot.com/-OT3wME3oOKQ/VRGCSog4UMI/AAAAAAAAAtc/QIzsmi1VC2A/s640/ukawa%2Bpicha.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Babu Tale: Ni mtihani mgumu kumuongoza msanii maarufu
MENEJA wa kundi la muziki wa kizazi kipya nchini, Tip Top Connection, Babu Tale, amesema sio kazi rahisi kumsimamia msanii mkubwa ni lazima uumize kichwa na kuwa tayari kwa lolote....
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Lowassa, Ukawa uamuzi mgumu
10 years ago
CloudsFM29 Sep
H BABA NA FLORA MVUNGI: WAPEANA TUZO
Msanii Hamis Baba ‘’H.Baba’’ na mkewe flora mvungi jumamosi iliyopita walipeana tuzo zilizojulikana kama Tuzo Za Familia tukio lililofanyika kwenye hoteli ya Giraffe Ocean View Hotel.
Tukio hilo lilihudhuriwa na wadau mbalimbali kama rais wa shirikisho la wasanii Tanzania, Simon Mwakifamba na watu wengine.
10 years ago
Mwananchi19 Oct
TFF, klabu wapeana muda kujadili makato
10 years ago
GPLMADEREVA WA DALADALA ‘WACHOMEKEANA’, WAPEANA KIBANO
10 years ago
Bongo527 Sep
Picha: H.Baba na mkewe Flora Mvungi wapeana tuzo, sherehe zafana