Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtihani mgumu waikaili Ukawa.

Baada ya uamuzi wa serikali kuzuia Umoja  wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuutumia  Uwanja wa Taifa kuzindua kampeni zake, hatua hiyo imeupa mtihani mgumu umoja huo. Viongozi wa Ukawa wamesema hatua hiyo imewaumiza vichwa kuhusu namna ya kupata eneo jingine lenye nafasi kubwa la kuwatosha kutokana na  idadi kubwa ya wafuasi wao. Juzi serikali ilizuia Ukawa kutumia uwanja huo kwa madai kwamba hauruhusiwi kutumika kwa shughuli za mikutano ya kisiasa. Serikali ilitangaza hatua hiyo...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mtihani mgumu Ukawa

>Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amesema madai ya wadau ya kutaka Tume Huru ya Uchaguzi, mgombea binafsi na haki ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais mahakamani, yatafanyiwa kazi iwapo Katiba Inayopendekezwa itapitishwa kwenye Kura ya Maoni Aprili 30.

 

10 years ago

Mtanzania

JK, Ukawa wapeana mtihani mgumu

Kikwete na Ukawa

Kikwete na Ukawa

Na Mwandishi Wetu, Dodoma

MAZUNGUMZO  ya kusaka mwafaka kati ya Rais, Jakaya Kikwete na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) yamemalizika huku kila upande ukitoa masharti ya kumaliza mgogoro uliopo kuhusu kusitishwa kwa Bunge Maalumu la Katiba.

Mkutano huo uliofanyika Ikulu ndogo mjini Dodoma jana, uliratibiwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), huku ukiwa umehusisha viongozi wa vyama vyote vya siasa nchini.

Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kikao hicho...

 

10 years ago

Vijimambo

Mtihani mgumu kwa Ukawa .... isome makala hii kwa makini na mwishowe utoe maoni yako

Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amesema madai ya wadau ya kutaka Tume Huru ya Uchaguzi, mgombea binafsi na haki ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais mahakamani, yatafanyiwa kazi iwapo Katiba Inayopendekezwa itapitishwa kwenye Kura ya Maoni Aprili 30.Jambo hilo ni mtihani mgumu kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao umetangaza kususia kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa huku ikitaka mambo hayo matatu yafanyiwe kazi kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Babu Tale: Ni mtihani mgumu kumuongoza msanii maarufu

MENEJA wa kundi la muziki wa kizazi kipya nchini, Tip Top Connection, Babu Tale, amesema sio kazi rahisi kumsimamia msanii mkubwa ni lazima uumize kichwa na kuwa tayari kwa lolote....

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa, Ukawa uamuzi mgumu

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangaza kuhama CCM na kujiunga na Ukawa kupitia Chadema, wasomi na wachambuzi wa masuala ya siasa wamesema pande hizo mbili zimefanya uamuzi mgumu ambao utanufaisha kila upande.

 

10 years ago

Mtanzania

Urais CCM ni mgumu

coverSHABANI MATUTU NA FREDY AZZAH, DAR ES SALAAM
MCHAKATO wa kumpata mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) umekuwa mgumu kutokana na chama hicho kutangaza hatua sita muhimu za kumpata kada atakayepeperusha bendera yao katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.
Inaelezwa utaratibu huo huenda ukawa kizingiti kwa baadhi ya wagombea kujikuta wakitupwa nje hatua za awali za mchujo kwa majina yao kushindwa kufika katika vikao vya uamuzi kwa mujibu wa kanuni za chama hicho.
Hatua...

 

10 years ago

Mtanzania

Uamuzi mgumu CCM

mangulaNa Khamis Mkotya, Dodoma

NI uamuzi mgumu, ndivyo unavyoweza kusema wakati Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) inapoanza vikao vya juu mjini Dodoma leo.
Vikao hivyo ni mwelekeo wa chama kuelekea uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Kikao cha kamati hiyo kinatarajiwa kuanza saa nne asubuhi, ambapo wajumbe wa kikao hicho watajadili masuala mbalimbali, ikiwamo hatima ya makada sita wa chama hicho waliofungiwa.
Hata hivyo, taarifa ambazo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkwasa apata wakati mgumu

Klabu ya soka Yanga imewazuia nyota wake kujiunga na kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars na badala yake wachezaji wote wa kikosi hicho waliondoka jana kwenda Tukuyu Mbeya kuweka kambi.

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto: Nitachukua uamuzi mgumu

Zitto_Kabwe_2011Na Freddy Azzah, Kigoma

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametua jimboni kwake na kuomba kuungwa mkono kwa hatua yoyote atakayochukua kuanzia sasa.

Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana, alipokuwa katika kikao cha ndani na viongozi wa jimbo hilo.

Ingawa hakuweka wazi ni hatua gani atakayochukua, lakini wachambuzi wa siasa wanasema pengine atachukua uamuzi mgumu kutokana na matukio kadhaa yaliyomtokea katika maisha yake ya kisiasa.

Katika kikao hicho kilichohudhuriwa na takriban watu 250,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani