JK: Wafadhili wameipa kisogo sekta ya maji
TANZANIA imefanikiwa katika sekta mbalimbali kutokana na misaada kutoka Benki ya Dunia, lakini haijafanikiwa katika sekta ya maji kutokana na sekta hiyo kutopewa kipaumbele na wafadhili.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Apr
Mabadiliko makubwa sekta ya maji
KUANZIA Juni mwaka huu hadi mwishoni mwa mwaka 2015 serikali imedhamiria kufanya mabadiliko makubwa ya kupeleka maji katika maeneo mengi vijijini.
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
‘Serikali kuokoa mabilioni sekta ya maji’
WAZIRI wa Maji Prof. Jumanne Maghembe, amesema serikali itaokoa mabilioni ya fedha iliyokuwa ikitumia kuagiza mabomba ya kuweka miundombinu ya maji kutoka nje, kwa vile hivi sasa yanapatikana hapa nchini....
9 years ago
MichuziSerikali yawahakikishia ajira wahitimu sekta ya maji
10 years ago
Habarileo11 Jul
Ufaransa yatoa bil 222/- kwa sekta ya maji
SERIKALI ya Tanzania na serikali ya Ufaransa wametiliana saini mikataba mitatu ya mikopo inayolenga kuisaidia Tanzania katika sekta ya maji na umeme.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nAag5yWxnos/VCE7351ySII/AAAAAAAGlRc/VpUHMukxnu4/s72-c/OIgmRtI9pquvhDFa9xYBtJvJ7MXLntf1RBTstF0uCRA%2CQ--Xdo6Ne5v9Y63CMSNvFgrX2JRw0sbqEsWCwCADVt8.jpeg)
MPANGO WA AWAMU YA PILI WA UTEKELEZAJI WA MAENDELEO YA SEKTA YA MAJI WAZINDULIWA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nAag5yWxnos/VCE7351ySII/AAAAAAAGlRc/VpUHMukxnu4/s1600/OIgmRtI9pquvhDFa9xYBtJvJ7MXLntf1RBTstF0uCRA%2CQ--Xdo6Ne5v9Y63CMSNvFgrX2JRw0sbqEsWCwCADVt8.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-97ppZqyCtmI/VCE7agrcYhI/AAAAAAAGlQ8/0pM-UI_pPJg/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Mbogo Futakamba, akisoma hotuba katika uzinduzi rasmi wa Mpango wa Awamu ya Pili ya Utekelezaji wa Maendeleo ya Sekta ya Maji, akiwa na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Philippe Dongier.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gwE0f1YC6DY/VCE7cJuAmvI/AAAAAAAGlRU/hSEgCCHB2Ns/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
TBL kutumia mil. 700/- kutatua uhaba wa maji sekta ya afya
TATIZO la upatikananji wa maji safi na salama nchini ni moja kati ya changamoto kubwa zinazoikabili sekta ya afya nchini. Tatizo hili limekuwa likiathiri ufanisi katika shughuli mbalimbali za huduma...
5 years ago
MichuziSEKTA YA MAJI IMEBORESHA HUDUMA BORA KWA WAJASIRIAMALI KISARAWE - JAFFO
Akizungumza na wananchi wa Kisarawe , Jaffo amewataka wananchi wa Kisarawe kulinda miundo mbinu ya maji kwani serikali imetumia gharama kubwa kuweza kufanikisha mradi huo mkubwa wa maji.
Amesema, kiasi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lWRdOVqvzwg/Vc0Ts_90YZI/AAAAAAAHweA/FW4QJYYULGE/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
Ujerumani yaipatia Serikali ya Tanzania Sh. Bilioni 39.1 kusaidia sekta ya afya, maji na maliasili.