Jokate Amefungua Milango Kwetu - Niki Wa Pili
Msanii Niki wa pili ambaye ni moja ya watu wanaounda kundi na kampuni ya Weusi amefunguka na kusema kuwa Msanii Jokate Mwogelo amefungua njia kwa wasanii na wajasiriamali wapya kama wao katika kufanya biashara na kuzidi kutanua wigo wa biashara yao hususani ya Fashion katika maonesho ya kitaifa ya biashara almaarufu kama Sabasaba.
Niki wa Pili alisema hayo alipohojiwa na kituo cha Radio cha East Africa Radio.
"Kwa sisi kama Weusi kiukweli hatukujianda kwa maonyesho ya sabasaba, halafu pia...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania03 Sep
G. Nako kutoka na Niki wa Pili
NA THERESIA GASPER
MWANA hip hop, George Mdeme ‘G. Nako’ kutoka kundi la Weusi, anatarajia kuachia video ya wimbo wake wa ‘Laini’ hivi karibuni akiwa ameshirikiana na msanii mwanzake, Nickson Simon ‘Niki wa Pili’.
“Wimbo huu niliufanyia chini ya prodyuza Nahreel, nataraji kufanya video yake wakati wowote nina imani ni wimbo mzuri na utakubalika vema na mashabiki wangu kama walivyopokea nyimbo zangu zilizotangulia,’’ alisema.
10 years ago
Michuzi15 Sep
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfBsJ6mu-1xuzkLTZ3UBwg6BrAeAtgx-M*f*f7Ug1SCNeY0tFZDcaVhZl3U9dpmmB5a0spQwLlXwi*QDNSlwASV7/1.jpg)
AZAM TV YAZINDUA MSIMU WA PILI WA ‘KWETU HOUSE’
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tU8d-FXwnzk/VapCsiEZbOI/AAAAAAAHqUI/SiNVk0oWHWw/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
KWETU HOUSE 2015 MSIMU WA PILI YATUA JIJINI MWANZA KUSAKA VIPAJI KWA MASHABIKI WA SOKA, MSHINDI KULAMBA MILIONI 15
Baada ya Kwetu House kusaka Shabiki mwenye Kipaji Kwenye Mikoa ya Arusha, Zanzibar,Dodoma na Mbeya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1FysBgCk9zA/Vf6o178sZeI/AAAAAAAH6T8/xy_mX5wK1fQ/s72-c/unnamed.png)
KWETU HOUSE- WASHIRIKI 6 KUYAAGA MASHINDANO USIKU HUU USIKOSE KUANGALIA KWETU HOUSE AZAM TV (TWO) SAA TATU NA NUSU USIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-1FysBgCk9zA/Vf6o178sZeI/AAAAAAAH6T8/xy_mX5wK1fQ/s640/unnamed.png)
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...
5 years ago
MichuziWAZIRI JAFO AAGIZA SHULE ILIYOJENGWA NA DC JOKATE IITWE JOKATE GIRLS SEKONDARI, ASIFU UTENDAJI WAKE
Moja ya jengo jipya na la kisasa la Shule ya Sekondari ya Wasichana Jokate Girls iliyopo Kata ya Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani ambayo linavyoonekana.Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemen Jafo amefanya ziara ya kutembelea shule hiyo kwa ajili ya kukagua maendeleo ya ujenzi wake.
Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemen Jafo akizungumza jana baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya bweni ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bGrr85Jb5oQ/U_FCwnJNDVI/AAAAAAAGAVo/b5FrIwr9A6g/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
MKUU WA MKOA DODOMA DR REHEMA NCHIMBI AMEFUNGUA JENGO LA HUDUMA KWA WAGONJWA WA NJE (O.P.D) KWENYE KITUO CHA AFYA LUMUMA MPWAPWA LENYE THAMANI YA MIL.350
![](http://3.bp.blogspot.com/-bGrr85Jb5oQ/U_FCwnJNDVI/AAAAAAAGAVo/b5FrIwr9A6g/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-G11Ea-hyKfM/U_FCxNjGGaI/AAAAAAAGAVg/i8tWc1pJ1QA/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA WA BARABARA YA MKAPA AWAMU YA PILI