Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jokate asema wasanii wanaponzwa na umaarufu

Mwanamitindo na muimbaji, Jokate Mwegelo amewataka wasanii kutumia umaarufu wao vizuri ili wapewe ushirikiano na kila mtu katika kazi zao. Jokate amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa wasanii wengi wanavimba kichwa baada ya kupata umaarufu hali inayopelekea mwisho wao kuwa mbaya. “Unajua ukiwa maarufu kila mtu akawa anaimba nyimbo yako, ni rahisi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WASTARA: WASANII TUNA UMAARUFU MAANDAZI

TEHETEHE! Muuza sura wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amesema yupo kwenye mikakati mizito ya kufanya mapinduzi kwenye tasnia ya filamu na kutambulika kimataifa na ndiyo sababu ya kuanzisha Timu Wastara. Muuza sura wa sinema za Kibongo, Wastara Juma. Akipiga stori na paparazi wetu, Wastara ambaye aliitendea haki sinema ya Shaymaa, alisema soko la filamu Bongo bado lipo chini sana kwani wasanii wengi wanajivunia kwa kujulikana...

 

10 years ago

Bongo5

French Montana asema hayuko na Khloe Kardashian kwasababu ya umaarufu wake, adai alitafsiriwa vibaya

Rapper wa ‘Don’t Panic’, French Montana amelazimika kutoa ufafanuzi wa kauli yake aliyoitoa kwenye mahojiano na jarida la Billboard kuwa anatumia umaarufu wa mpenzi wake Khloe Kardashian kwa faida. Huenda wakati anatoa kauli hiyo alikuwa anamaana tofauti na ilivyotafsiriwa na watu mbalimbali waliomshambulia kwa kumtumia Khloe. Montana ameiambia Access Hollywood Live kuwa comment yake ilitafsiriwa […]

 

9 years ago

Mtanzania

Jokate: Wasanii wa kike niungeni mkono

Jokate-Mwegelo-KidotiNA VICTORIA PATRICK (TSJ)

MWANAMITINDO, Joketi Mwegelo ‘Kidoti’, amewataka wasanii wenzake hasa wa kike wamtie nguvu kwa kununua bidhaa zake badala ya maneno matupu.

Mrembo huyo ambaye ni Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006, alifafanua kwamba wasanii wengi wa kike wamekuwa wakisifia bidhaa zake kwa maneno lakini hawamuungi mkono kwa kuzinunua.

Jokate ambaye pia ni mwanamuziki na mwigizaji, alisema wasanii hao wakitumia bidhaa zake zitamuongezea kipato na kumtangaza yeye pamoja na taifa kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Jokate kutoa somo kwa wasanii leo

JokateNA THERESIA GASPER

MREMBO na mwanamitindo maarufu nchini, Jokate Mwegelo, leo atatoa somo kwa wasanii na wadau wa sanaa katika kongamano la Jukwaa la Sanaa litakalofanyika kwenye ukumbi wa Basata jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari wa Basata, Aristides Kwizela, alisema Jokate pamoja na mbunifu mashuhuri wa mitindo ya mavazi nchini, Asia Idarous, watatoa mada katika jukwaa hilo na watazungumzia namna ya kutumia umaarufu na vipaji vyao kukuza kipato.

“Jukwaa hili litawataka wasanii na wadu wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Jokate Mwegelo: Wasanii wa nje wameendeleza vipaji vyetu

JOKATENA JENNIFER ULLEMBO
MWANAMITINDO Jokate Mwegelo ‘Jojo’, ameweka wazi kwamba tabia ya kuwashirikisha wasanii maarufu kutoka nje ya nchi katika baadhi ya nyimbo za wasanii wa ndani kumeinua na kuendeleza vipaji vya wanamuziki wa Tanzania.
Jokate alisema hali hiyo ndiyo iliyomsukuma aendelee kuwashirikisha wasanii wa nje katika muziki anaofanya ili akuze kipaji na kutanua soko la muziki wake.
“Jina langu limepiga hatua kubwa katika masuala ya mitindo na ubunifu, hivyo nataka nijulikane zaidi na...

 

9 years ago

Bongo5

Master J asema tuzo za kimataifa wanazopata wasanii wa Tanzania haziwanufaishi

Mtayarishaji mkongwe wa muziki na jaji wa mashindano ya Bongo Star Search, Master Jay, amesema tuzo wanazoshiriki wasanii wa Tanzania nje ya nchi haziwasaidii katika kutanua wigo wa kibiashara wa msanii hao. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Master Jay alisema wasanii wa Tanzania wamekuwa wakitumia gharama kubwa kutengeneza video zenye […]

 

9 years ago

Bongo5

Madam Rita asema ukiritimba umewakwamisha wasanii kupiga hatua

Jaji wa mashindano ya Bongo Star Search (BSS), Madam Rita amesema ukiritimba uliopo kwenye mazingira yanayowazunguka wasanii wa muziki unakwamisha maendeleo yao. Akizungumza na waandishi wa habari jana kwenye ukumbi wa hoteli ya Regency, Madam alisema wasanii wengi wanashindwa kufanikiwa kutokana na kushindwa kujikwamua wenyewe. “Kuna vitu hatuwezi kuvicontrol, huwezi kucontrol media na ukiritimba uliopo […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Kutokana na Ushiriki Hafifu wa Wasanii Kwenye Msiba Wa Diffender, Sumaku Asema Haya

Mwenyekiti wa Chama cha Wachekeshaji (Tanzanian Comedian Association) Habib Mkamba ‘Sumaku’ amewapongeza wasanii hao kwa kujitolea katika kumuuguza msanii mwenzao hadi kifo chake Fadhil Said almaarufu kama Diffender, amedai kuwa pamoja na kutengwa na wasanii wengine lakini walijitoa.

Nawashukru na kuwapongeza kwa wale wasanii wa Komedi ambao tumejitoa kupigania afya ya marehemu Difenda, niliwahi kusema kila anapofariki mwenzetu kuna mwingine yupo njiani tusiposhirikiana ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Alex Msama atangaza vita na wezi wa kazi za wasanii, asema watasakwa popote walipo

1

Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion ya jijini Dar es salaam Bw. Alex Msama akimwaga furushi lililojaa CD na DVD feki za kazi mbaimbali za wasanii zinazorudufiwa kwa wizi na watu wasiokuwa waaminifu hivyo kupelekea hasara kubwa kwa wasanii, kwakuwa kazi hizo haziwaingizii kipato chochote zaidi ya kwanufaisha wezi hao, Kazi hizi zimekamatwa katika maeneo mbalimbali jijini Dar es salaam ikiwa ni pamoja na vifaa mbalimbali vinavyotumika kutengeneza kazi hizo katika msako huo. Thamani ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani