Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JORDIN SPARK APATA BWANA

Mwanamuziki Jordin Spark. Miezi kadhaa baada ya kubwagana na Jason Derulo, mwanamuziki Jordin Spark ameonekana kuhamishia majeshi kwa rapa Dominic Woods. Jordin Spark akipozi kimahaba na Dominic Woods. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Sparks alitumia picha inayowaonyesha wawili hao wakiwa katika pozi la kimahaba.Huenda Sparks ameweka moyo wake kwa kijana huyo baada ya kutengana na Derulo kwa kile alichodai kuwa mwanaume huyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mke wa Robin Thicke apata bwana mpya, mumewe Thicke aendelea kuumia

Paula Patton anadaiwa kuendelea na maisha yake baada ya kuachana na mumewe, Robin Thicke kwa kuanzisha uhusiano na mwanamuziki, Zak Waters. Muigizaji huyo mwenye miaka 38, aliyeachana na mumewe mwezi February baada ya kuwa kwenye ndoa kwa miaka tisa na miaka 20 pamoja, alionekana na Zak Waters, 27 wakiwa wameshikana mikono wakitembea jijini Los Angeles. […]

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.


Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.




 

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa

>Siku moja baada ya kufukuzwa  uwaziri, Mbunge wa Muleba Kusini (CCM),  Profesa Anna Tibaijuka amewasili jimboni kwake na kusema, “Bwana alitoa na Bwana ametwaa.”

 

10 years ago

GPL

PENZI LA JORDIN SPARKS BADO LAMTESA DERULO

Rapa Jason Derulo. New York, Marekani
RAPA Jason Derulo ameweka wazi kwamba amekuwa na wakati mgumu tangu aachane na kipenzi chake cha miaka mingi, Jordin Sparks ambaye pia ni staa wa muziki.Wawili hao wamekuwa kwenye uhusiano kwa kipindi cha miaka mitatu, kabla ya kuachana Septemba, mwaka jana. Rapa Jason Derulo akiwa na aliyekuwa mpenzi wake Jordin Sparks.
Derulo ameweka wazi kuwa… ...

 

10 years ago

Bongo5

Jason Derulo aweka wazi sababu za yeye na Jordin Sparks kuachana

Couple ya waimbaji Jason Derulo na Jordin Sparks ndio iliyoonekana kuwashtua zaidi wengi baada ya taarifa za kuachana kwao kusambaa, na hii inatokana na kuwa hapakuwahi kusikika hata taarifa za ugomvi baina yao. Lakini Derulo ameweka wazi baadhi ya sababu za ndani zilizopelekea ‘mv mapenzi ‘ ya wawili hao kushindwa kuhimili mawimbi ya bahari ya […]

 

10 years ago

Bongo5

Jordin Sparks amdis ex-mchumba wake Jason Derulo kwenye wimbo mpya ‘How Bout Now’ remix

Jordin Sparks ametoa wimbo mpya ambao ndani yake amemzungumzia aliyekuwa mchumba wake Jason Derulo ambaye waliachana September mwaka huu baada ya kudumu kwa miaka mitatu. Haya ni baadhi ya mashairi ya wimbo huo yanayozungumzia uhusiano wao: “Remember I deleted all my other guys’ numbers out my phone for ya? / Remember when you broke your […]

 

10 years ago

TheCitizen

New hotel fees spark criticism

>The Tanzania Confederation of Tourism (TCT) has reacted to new concessional fees that the government intends to charge hotels around national parks, saying they will hit the industry hard.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani