JORDIN SPARK APATA BWANA
Mwanamuziki Jordin Spark. Miezi kadhaa baada ya kubwagana na Jason Derulo, mwanamuziki Jordin Spark ameonekana kuhamishia majeshi kwa rapa Dominic Woods. Jordin Spark akipozi kimahaba na Dominic Woods. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Sparks alitumia picha inayowaonyesha wawili hao wakiwa katika pozi la kimahaba.Huenda Sparks ameweka moyo wake kwa kijana huyo baada ya kutengana na Derulo kwa kile alichodai kuwa mwanaume huyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo522 Sep
Mke wa Robin Thicke apata bwana mpya, mumewe Thicke aendelea kuumia
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.
Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa
10 years ago
GPLPENZI LA JORDIN SPARKS BADO LAMTESA DERULO
10 years ago
Bongo530 Sep
Jason Derulo aweka wazi sababu za yeye na Jordin Sparks kuachana
10 years ago
Bongo526 Nov
Jordin Sparks amdis ex-mchumba wake Jason Derulo kwenye wimbo mpya ‘How Bout Now’ remix
10 years ago
TheCitizen12 May
New hotel fees spark criticism