Mke wa Robin Thicke apata bwana mpya, mumewe Thicke aendelea kuumia
Paula Patton anadaiwa kuendelea na maisha yake baada ya kuachana na mumewe, Robin Thicke kwa kuanzisha uhusiano na mwanamuziki, Zak Waters. Muigizaji huyo mwenye miaka 38, aliyeachana na mumewe mwezi February baada ya kuwa kwenye ndoa kwa miaka tisa na miaka 20 pamoja, alionekana na Zak Waters, 27 wakiwa wameshikana mikono wakitembea jijini Los Angeles. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 Dec
MKE AKIRI MUMEWE BWANA BALENGA KUMUUZIA NYUMBA MFANYABIASHARA HANS MACHA KUTOKANA NA KULEMEWA NA MADENI YA MAMILIONI YA FEDHA ALIZOKOPA
![](https://2.bp.blogspot.com/-OXrYJ5VzmsA/VHyR7L4bomI/AAAAAAAAr3Y/AzHwj8wPwKc/s1600/MACHA%2BHANS.jpg)
MKE wa mlalamikaji katika kesi ya kughushi dhidi ya Mfanyabiashara Hans Macha (pichani), amedai mahakamani kwamba mumewe anadaiwa fedha nyingi na mshtakiwa, alishindwa kulipa akaamua kumuuzia nyumba.
Mke huyo Nurya Ahmad (34),ambaye ni shahidi wa upande wa utetezi, amedai hayo leo Desemba Mosi, katika Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu,Dar es Salaam, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka, kwa kuongozwa na wakili wa utetezi, Deo Ringia.
Nurya amedai mahakamani hapo kwamba...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s72-c/1.jpg)
NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s640/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iad4jOhX0Z0ArYH2N2c4lpIVirfMk51abZW6ppM6wEyTV3nJc0ObWebp*emwT*5hJhn8w3rKipH4enwP*KVjK3EVyMs5WQHI/JordinSparks3.png?width=650)
JORDIN SPARK APATA BWANA
Mwanamuziki Jordin Spark. Miezi kadhaa baada ya kubwagana na Jason Derulo, mwanamuziki Jordin Spark ameonekana kuhamishia majeshi kwa rapa Dominic Woods. Jordin Spark akipozi kimahaba na Dominic Woods. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Sparks alitumia picha inayowaonyesha wawili hao wakiwa katika pozi la kimahaba.Huenda Sparks ameweka moyo wake kwa kijana huyo baada ya kutengana na Derulo kwa kile alichodai kuwa mwanaume huyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLpRW9B6130EhVGDJnYhbIwWNsaoZoiKR6AFz9JEwAGbYJDHxLPU69keZZos75BsRFG02GQUw4s4optJIhFABSkY/Mwanza.jpg?width=650)
MKE AMZABUA MUMEWE
Stori: MASHAKA KASUSI, Mwanza/Risasi
KUNA kasumba ya kizamani kuwa wanaume ndiyo waliokuwa wanawapiga wake zao lakini inavyoonekana sasa kibao kimegeuka baada ya mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Irene Edwin kudaiwa kumzaba mumewe, Amani Joseph, wote wakazi wa maeneo ya Misungwi mkoani hapa kisa kikielezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi. Irene Edwin akimshushia kichapo mumewe. Tukio hilo lililoshuhudiwa mchana kweupe lilijiri...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIM5ZSWhuBYSH8bRKE*pXKLhFGuf0VTHSc1IzWazIKOFfBsGcGNEqvpBaBKzRNvZdRh6r5rqwtFIGeKdjFwIQQ6cLAhONwsZ/1.jpg)
MKE AMPA KIPONDO MUMEWE
waandishi wetu/mchanganyiko11 UPEPO umegeuka! Imani ya kwamba wanaume ndiyo wamekuwa wakiwapa kipondo wake zao imegeuka, safari hii mwanamke aliyejulikana kwa jina la Naomi Peter akimpa kipondo ‘hevi’ mumewe John Shila mchana kweupe! Naomi Peter akitoa kipondo kwa mumewe. Wawili hao wakazi wa Misheni, jijini Mwanza waliibua timbwili la aina yake ambalo liliwavuta watu wengi chanzo kikiwa ni mwanaume huyo kumkataa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5iLqqYx8ZQqZslXyQ34vPBpWEv53mWe2hjTAW-BcO53GbPIg0aB8smu38D8DbZQn803SU0eC-Zp77Ws8lhcmT2/mke.jpg?width=650)
MKE ADAIWA KUMUUA MUMEWE!
Na Mwandishi Wetu
SHETANI anazidi kuuatamia ulimwengu! Mama mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Farida mkazi wa Mburahati jijini Dar, amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kudaiwa kumuua mumewe aliyetajwa kwa jina la Amosi Joseph kwa kumpiga kwa kukombe kichwani, Ijumaa linaidondosha kama ilivyo. Akisimulia mbele ya gazeti hili mkasa mzima, mtoa habari hii aliyetajwa kuwa dada wa marehemu anayejulikana kwa jina la Khadija,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqyEAYNvgTpB94dBe5rq851QGUSBBjYu8pBLDgCq0a-FXH13yn7JwCfQtUcB5kCec8Qby3Z1OFkLz9tN7CjpI5t*/MUME.jpg?width=650)
MKE AKATWA MKONO NA MUMEWE
Na Imelda Mtema
NI mkasa wa kusikitisha kama siyo kutisha, unaowafanya wanaume wengi wa siku hizi waonekane ni makatili na majanga matupu mbele ya jamii. Akizungumza na Joyce Kiria(kulia), Leah (kushoto) alisema kwamba siku zote aliishi na mumewe kwa uvumilivu mkubwa. Kitendo hicho cha kinyama, kimemkuta mwanamke Leah Benard mkazi wa Kijiji cha Kifufu, mkoani wa Geita baada ya kukatwa kiganja chake cha mkono...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyiyYgKzaHNfMj1AxTTk8tDXFORVF0r176NdmALleNLm0xcpG0KAAsPIAztIo4PtnKCp21eoZTHLKyrrGaxB*9eY/4444444444.jpg?width=650)
MKE KUMCHUNA MUMEWE, IPO SANA-2
NI Jumanne nyingine, karibuni wapenzi wasomaji wangu katika safu hii ya Mapenzi na Maisha, safu inayoelimisha, kukosoa, sanjari na kuelekeza.Mada hii inatoka wiki iliyopita. Inasema; Mke Kumchuna Mume Ipo Sana.
Wiki iliyopita niliishia pale kwenye kundi nililolilenga la mwanamke anaishi na mumewe lakini kila senti anayopewa anaibana ili akafanyie maendeleo yake kwa siri na mumewe asijue!
Nilisema mke mwenye sifa za kumchuna...
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Sura ya mke yamtisha mumewe harusini
Mume amkataa bi harusi kwakuwa ana sura mbaya na hafai kuolewa katika siku yake ya kwanza ya kuonana naye.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania