Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jordon Ibe aamua kuchezea Uingereza

Ibe aliyezaliwa London alikuwa amehitimu kuchezea Nigeria na Uingereza kimataifa lakini ameamua kuchezea taifa hilo la Ulaya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBC

Ibe 'commits future to England'

Liverpool's Jordon Ibe wants to play international football for England, says Nigeria coach Sunday Oliseh.

 

10 years ago

TheCitizen

Rodgers lauds Ibe, Can after Everton Merseyside derby

Brendan Rodgers praised the performance of his young players as they played a leading role in extending Liverpool’s long unbeaten record against Everton in the Merseyside derby.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mario Gemina kuchezea Gabon

Mchezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa ya chipukizi Mario Lemina amesema yuko tayari kuichezea timu ya taifa ya soka ya Gabon

 

10 years ago

BBCSwahili

Kolo kuacha kuchezea Timu ya Taifa

Beki wa timu ya taifa ya Ivory Coast Kolo Habib Toure, ametangaza kustaafu soka la kimataifa.

 

10 years ago

StarTV

Kolo kustaafu kuchezea timu ya Taifa.

Beki wa timu ya taifa ya Ivory Coast Kolo Habib Toure, ametangaza kustaafu soka la kimataifa. Mara baada ya kumalizika kwa Michuano ya Kombe la Mataifa huru barani Afrika mwakani

Nyota huyo mwenye miaka 33- anayecheza klabu ya Liverpool ya Uingereza ameitumikia timu yake ya taifa mara 109.

Alikuwa mmoja wa wachezaji walikuwa kwenye kikosi kilichofuzu kucheza Michezo ya Kombe la Mataifa huru mwaka 2015 inayotarajiwa kufanyika kuanzia17 Januari mpaka 8 Februari huko Equatorial Guinea.

“Nina...

 

11 years ago

Mwananchi

Fifa yabariki Okwi kuchezea Yanga

>Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), limemaliza utata kwa kumruhusu mshambuliaji Emmanuel Okwi kuitumikia Yanga kama usajili wake umekidhi vigezo.

 

10 years ago

Habarileo

Miaka 15 jela kwa kuchezea nyeti za mtoto

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imemhukumu kifungo cha miaka 15 jela, Hassan Suleiman (23) mkazi wa Kitunda, kwa kupatikana na hatia ya kumdhalilisha mtoto wa miaka mitatu kwa kumchezea sehemu zake za siri kwa vidole.

 

10 years ago

Mwananchi

Simwanda avunja rekodi ya Gaga kuchezea Taifa Stars

Kinda chipukizi wa Taifa Stars, Emmanuel Simwanda anayechezea African Lyon ameweka rekodi binafsi baada ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Ligi Daraja la Kwanza kuitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kwa zaidi ya miaka 15 iliyopita.Mara ya mwisho mchezaji asiye kwenye ligi  kucheza kwenye timu ya Taifa ilikuwa mwishoni

 

10 years ago

Bongo Movies

Life Style:Napenda Kuchezea Kichwa Changu-Wolper

Hakuna anaeweza kupinga kuwa mrembo na moja kati ya waigizaji pendwa wa kike hapa bongo, Jackline Masawe “Wolper”ni miongoni mwamastaa wa kike wachache ambao wanapenda kubadilisha mitindo ya nywele zao mara kwa mara.

Kwa wanaomfuatilia mitandaoni watakubali kuwa haiwezi ikapita wiki bila mwanadada huyu kuonekana na “style” mpya ya nywele.

Hatimaye leo akiwa katika mtindo mpya (picha hapo juu) wa nywele, wolper alifunguka na kusema kuwa yeye anapenda kuchezea kichwa chake na kuwaonya watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani