JUA HILI IRS SIKU ZOTE WAKIKUHITAJI HAWAPIGI SIMU, HUANDIKA BARUA
Kuna watu matapeli wamezuka hasa katika kipindi hiki cha kulipa kodi kwa IRS na timu ya Vijimambo imepata habari hii baada ya kuona kwenye kituo kimoja cha luninga kikielezea kuhusu utapeli huu na Vijimambo ikaona si vibaya kukumegea japo kidogo na wewe kama ulikua hufahamu uweze kuelewa kuhusu IRS wanapokua wanakutafuta.
IRS wenyewe wanasema hua hawampigii mtu simu siku zote katika utendaji wao wa kazi humwandikia muhusika barua kama kama wanatatizo nae au kutaka ufafanuzi wa jambo fulani...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Nov
Namba zote za simu kusajiliwa upya
SERIKALI imesema itafanya tena usajili wa namba zote za simu za mkononi nchini ili kuthibitisha zinazotumika.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-Sx3VoK6o0LI/VS4SV6wZv8I/AAAAAAAACFE/M7h1GCxNr38/s72-c/page%2B12%2B-13%2Bcopy.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--xl99hapjns/VijRTJ5EwJI/AAAAAAAIBsI/dC98ybPgTS0/s72-c/picha%2B1.jpg)
AIRTEL SMARTIFONIKA YALETA SIMU MPYA SOKONI NAFUU KULIKO ZOTE
![](http://1.bp.blogspot.com/--xl99hapjns/VijRTJ5EwJI/AAAAAAAIBsI/dC98ybPgTS0/s640/picha%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ayp70NlUZW4/VijRTFtLKXI/AAAAAAAIBsQ/rTmrpDtDlkE/s640/picha%2B1b.jpg)
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Cheki na mgahawa wa kichina, huduma zote unaagiza kwa simu.. hakuna mhudumu !! (+Video)
Najua ni mazoea au kawaida kila unapoenda sehemu ya huduma kama mgahawani, hotelini unakutana na wahudumu ambao wanakupokea, wanakukaribisha kwa ukarimu kabisa.. alafu unaanza kuulizwa unahitaji huduma gani ?! China hayo mambo huyakuti kila sehemu… hiyo kazi yote imeachiwa simu yako aisee !! Mgahawa mmoja uliopewa jina la Renrenxiang Restaurant, uliopo Beijing China hakuna mhudumu kabisa… mteja […]
The post Cheki na mgahawa wa kichina, huduma zote unaagiza kwa simu.. hakuna mhudumu !!...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WnPbYMT2cxdM19GP20rq7Dig89l*anqEAEkWccd*Y6ewDj2bNquEjk2Q6JyP5Q9NtoN9epeFu5C0e5izGOvQdVqWa9mKfhSS/couplearguing.jpg?width=650)
SIKU ZOTE MKE, MAMA MKWE NI MAADUI
10 years ago
Michuzi03 May
Umoja wa Ulaya, UN; Tutapigania Uhuru wa Habari Siku Zote
UMOJA wa Nchi za Ulaya nchini Tanzania (EU) umepinga vikali vitendo vya kikatili na unyanyasaji wameokuwa wakifanyiwa na vyombo vya dola vya Serikali wanapokuwa wakitekeleza majukumu yao ambapo ilitokea mwanahabari mmoja kuuwawa. Alisema hawatachoka kukemea matukio hayo ya unyanyasaji kwani yanafifisha uhuru wa habari.
Akizungumza leo mjini Morogoro katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, Kiongozi Mkuu wa Mabalozi hao, Balozi Filiberto Cerianse...
9 years ago
MichuziMWANZA WAIBUKA KIDEDEA KATIKA SHINDANO LA UANDISHI WA BARUA SIKU YA POSTA DUNIANI.
Na:George Binagi-GB PazzoKatika Shindano la Uandishi wa Barua lililoshirikisha wanafunzi zaidi ya 2,000 nchi nzima, aliibuka mshindi wa nne Kitaifa huku mshindi wa pili pia kitaifa akitokea Mkoani Mwanza.
Katika shindano...
11 years ago
Dewji Blog01 May
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Tanzania yatangaza kufunga shule zote kwa siku 30