Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Juhudi za kumuokoa mtoto

Mtoto aliyejeruhiwa na risasi iliyomuua mamake kanisani mjini Mombasa Kenya amefikishwa jijini Nairobi kwa upasuaji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mipango na sera zitekelezwe kumuokoa mama na mtoto mchanga

DSC_0334

Mratibu wa Mawasiliano na uhamisishaji wa mradi wa Mama Ye unaoendeshwa na asasi ya Evidence for Action linalofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Uingereza (DFID), Chiku Lweno akielezea jitihada zinazofanywa na mradi wa Mama Ye katika kukabiliana na vifo vya Mama na mtoto ambapo aliwataka waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuelemisha jamii ili iweze kuepukana na vifo vya mama na mtoto ambalo nalo ni janga la taifa.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi wetu,...

 

10 years ago

GPL

MIPANGO NA SERA ZITEKELEZWE KUMUOKOA MAMA NA MTOTO MCHANGA‏

Mratibu wa Mawasiliano na uhamisishaji wa mradi wa Mama Ye unaoendeshwa na asasi ya Evidence for Action linalofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Uingereza (DFID), Chiku Lweno akielezea jitihada zinazofanywa na mradi wa Mama Ye katika kukabiliana na vifo vya Mama na mtoto ambapo aliwataka waandishi wa habari kutumia kalamu zao kuelemisha jamii ili iweze kuepukana na vifo vya mama na mtoto ambalo nalo ni janga la taifa. Kaimu...

 

10 years ago

GPL

AVUNJIKA MIGUU MARA NNE ZAHITAJIKA MILLION 15 KUMUOKOA

Kumbis akiwa hospitalini. Sehemu ya miguu iliyovunjika. MZEE Mohamed Kumbis Said (60) mkazi wa Vingunguti Dar, amejikuta akiishi maisha ya kuombaomba baada ya kupata ajali na kuvunjika miguu yake…

 

10 years ago

Vijimambo

KIJANA ANUSURIKA KUUAWA KISA WIZI MAMA AINGILIA KATI KUMUOKOA KIFO



Kijana mmoja mkazi wa Kigogo Sukita jijini Dar es Salam ameambulia kipigo kizito kutoka kwa wananchi wenye hasira kali na kufikia hatua ya kutaka kumchoma moto kutokana na kitendo cha kumuibia simu na shilingi elfu therasini mwanadada ambaye naye ni mkazi wa eneo hilo.
Kutokana na kipondo cha aina yake alichokuwa akipewa na wananchi hao wenye hasira kali walionekana kumpania kutokana na vitendo vyake vya wizi wa mara kwa mara na kutokana na kipigi hicho kilichomfanya atapakae damu mwilimzima,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Khamis Suleiman: Niliweka kamera pembeni kumuokoa Makamu wa Rais ajali ya helikopta

APRILI 13 mwaka huu, Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal; Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadik; Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli na Kamanda wa...

 

10 years ago

Bongo5

BBA Hotshots: Endelea kumpigia kura Laveda wa Tanzania kumuokoa asitoke Jumapili hii

Mshiriki mmoja wa Tanzania yupo kwenye hatari ya kutoka kwenye msimu wa tisa wa shindano la Big Brother Africa ‘Hotshots’ weekend hii, ambaye ni Laveda (Irene La Veda). Hivyo njia pekee ya kumuokoa abaki kwenye jumba la ‘kaka mkubwa’ ni kura yako. Washiriki wawili kati ya tisa watafunga mizigo yao siku ya Jumapili. Washiriki waliopigiwa […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watendaji afya wakwamisha juhudi za DC

JUHUDI za Mkuu wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, kuhakikisha wananchi wa wilaya hiyo wanapata huduma bora za afya kupitia Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), huenda zikakwama baada...

 

9 years ago

Habarileo

Juhudi binafsi kuondoa ukeketaji

JAMII ya wafugaji imetakiwa kutumia juhudi zao binafsi kubadilisha mawazo na imani ya jamii, kwamba mila na desturi hazibadiliki ili kutengeneza mfumo bora mpya unaothamini maisha ya wanawake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani