Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Juhudi zinahitajika kutatua tatizo la ajira

Tatizo la ajira hapa nchini limekuwa likiumiza vichwa vya vijana wengi hasa wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu vya ndani na nje ya nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAKONDA AKUTANA NA VIJANA KUTATUA TATIZO LA AJIRA

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na vijana wahitimu wa vyuo waliohudhuria mkutano huo. Makonda akionesha msisitizo wa jambo.    Vijana wahitimu wa vyuo…

 

9 years ago

Michuzi

DKT FENELLA MUKANGARA AHAIDI KUTATUA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA JIMBO LA KIBAMBA

  Umati wa wananchi wa kimara michungwani  wakimsikiliza mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi(CCM) Dkt Fenella Mukangara(hayupo pichani) wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake jimboni kibamba. Mgombea Ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi(CCM)  Dkt Fenella Mukangara akizungumza na wakazi wa kimara michungwani  wakati alipokuwa akinadi sera za chama chake.Dkt Fenella aliwaahidi wakazi hao kuwa wakimchagua atafanikisha kutatua suala la ajira kwa vijana ikiwemo kuwapa elimu...

 

9 years ago

StarTV

Nafasi Ya Walinda Mlango Juhudi zinahitajika kuwaibua wenye vipaji

 

Wakati mlinda mlango wa TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo akiingia katika fainali ya kumsaka mchezaji bora wa Africa,Tanzania kupitia kwa makocha wa Academy wanatakiwa kubadili mfumo wa ufundishaji kwa lengo la kupata mlinda mlango mahiri siku za usoni.

Juhudi zimekuwa zikifanyika kuibua vipaji vya wachezaji chipukizi,na sasa imefikia hatua hadi ya kuibua waamuzi Yosso lakini kuna kila sababu ya kuwa na mkakati maalumu wa kupata walinda mlango chipukizi.

 Huo ndio umuhimu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo muhimu kutatua tatizo la nguvu za kiume

Baada ya kuona makala zilizoeleza sababu mbalimbali zinazosababisha matatizo ya nguvu za kiume, sasa tuwe pamoja kwa nguvu zote katika kipengele muhimu kinachohusu suluhisho la matatizo ya nguvu za kiume.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Treni ya kisasa Dar kutatua tatizo la foleni’

Wakati Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia akiitaka Serikali kutangaza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam kuwa ni janga la kitaifa, Serikali hiyo imeshauriwa kununua treni ya kisasa itakayogharimu Dola za Marekani 6 milioni (Sh9.9 bilioni) ili kuboresha usafiri na kupunguza gharama za uendeshaji treni ya sasa.

 

10 years ago

Michuzi

Serikali imejipanga kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma

Na Fatma Salum-Maelezo
Serikali imejipanga kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma kwa kujenga nyumba Elfu 10 za gharama nafuu kote nchini.
Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Mtendaji Mkuu wa  Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Bw.Elius Mwakalinga wakati wa ziara ya waandishi wa habari katika miradi mbalimbali inayotekelezwa na wakala huo jijini Dar es Salaam na Pwani.
 Mwakalinga alisema kuwa  mradi huo wa nyumba elfu 10 unaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 18 unahusisha nyumba...

 

10 years ago

GPL

MTANDAO WA VODACOM KUTATUA TATIZO LA MAWASILIANO CHINI YA ARDHI‏

Tatizo la kupata mawasiliano ya simu kwenye vituo vya usafiri vilivyojengwa chini ya ardhi nchini Afrika Kusini limekuwa ni tatizo sugu kwa muda mrefu.Kituo maarufu cha Gautrain ambacho kimekuwa kikitumiwa na wasafiri wengi wakiwemo wanafunzi,wafanyakazi na watalii kwa muda mrefu tangia kifunguliwe mwaka 2010 kimekuwa kikikabiliwa na tatizo la mtandao ambao ulisababisha wasafiri wanaokitumia kituo hicho kushindwa kuwasiliana kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Mtandao wa Vodacom kutatua tatizo la Mawasiliano chini ya ardhi Afrika ya Kusini

Tatizo la kupata mawasiliano ya simu kwenye vituo vya usafiri vilivyojengwa chini ya ardhi nchini Afrika Kusini limekuwa ni tatizo sugu kwa muda mrefu.
Kituo maarufu cha Gautrain ambacho kimekuwa kikitumiwa na wasafiri wengi wakiwemo wanafunzi,wafanyakazi na watalii kwa muda mrefu tangia kifunguliwe mwaka 2010 kimekuwa kikikabiliwa na tatizo la mtandao ambao ulisababisha wasafiri wanaokitumia kituo hicho kushindwa kuwasiliana kwa njia ya simu na barua pepe. 
Kampuni ya Vodacom imejitosa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ridhiwani kikwete aahidi kutatua tatizo la umeme, maji Kiwangwa,Chalinze

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (kulia), akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa ujenzi kutoka Kambi ya Mzinga ya JWTZ, Aloyce Mayunga (kushoto) alipokwenda kukagua ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari ya Kiwangwa wakati wa ziara ya kikazi ya katika Kata ya Kiwangwa, wilayani Chalinze, Pwani jana Aliwataka wajenzi hao kujenga maabara hayo kwa kuzingatia viwango. Katikati ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bagamoyo, Saleh Mpimbwi.

02

 Ridhiwani Kikwete...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani