Juhudi zinahitajika kutatua tatizo la ajira
Tatizo la ajira hapa nchini limekuwa likiumiza vichwa vya vijana wengi hasa wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu vya ndani na nje ya nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAKONDA AKUTANA NA VIJANA KUTATUA TATIZO LA AJIRA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-H8az2d17Z00/ViS6PxOf3aI/AAAAAAAIA2s/dNelycVnano/s72-c/IMG_2798%2B%2528800x533%2529.jpg)
DKT FENELLA MUKANGARA AHAIDI KUTATUA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA JIMBO LA KIBAMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-H8az2d17Z00/ViS6PxOf3aI/AAAAAAAIA2s/dNelycVnano/s640/IMG_2798%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4b6s03V-31Y/ViS6Pw3XNqI/AAAAAAAIA2k/OoYssKtTLrI/s640/IMG_2850%2B%2528800x494%2529.jpg)
9 years ago
StarTV17 Dec
Nafasi Ya Walinda Mlango Juhudi zinahitajika kuwaibua wenye vipaji
Wakati mlinda mlango wa TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo akiingia katika fainali ya kumsaka mchezaji bora wa Africa,Tanzania kupitia kwa makocha wa Academy wanatakiwa kubadili mfumo wa ufundishaji kwa lengo la kupata mlinda mlango mahiri siku za usoni.
Juhudi zimekuwa zikifanyika kuibua vipaji vya wachezaji chipukizi,na sasa imefikia hatua hadi ya kuibua waamuzi Yosso lakini kuna kila sababu ya kuwa na mkakati maalumu wa kupata walinda mlango chipukizi.
Huo ndio umuhimu wa...
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Mambo muhimu kutatua tatizo la nguvu za kiume
11 years ago
Mwananchi19 Dec
‘Treni ya kisasa Dar kutatua tatizo la foleni’
10 years ago
MichuziSerikali imejipanga kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma
Serikali imejipanga kutatua tatizo la makazi kwa watumishi wa umma kwa kujenga nyumba Elfu 10 za gharama nafuu kote nchini.
Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Bw.Elius Mwakalinga wakati wa ziara ya waandishi wa habari katika miradi mbalimbali inayotekelezwa na wakala huo jijini Dar es Salaam na Pwani.
Mwakalinga alisema kuwa mradi huo wa nyumba elfu 10 unaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 18 unahusisha nyumba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXp7ahK1HXzF8cBLSX67PQHg*N4kXCW*wCSQyLL1rd-YriDXOSg6ZTSbUWSI1Ng8D4H-DnxRxy4MxGi2llkzanpB/url.png)
MTANDAO WA VODACOM KUTATUA TATIZO LA MAWASILIANO CHINI YA ARDHI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Qm6rq6ikumE/VZU8OiKJmKI/AAAAAAAHmbM/5Cj8Hm_q3UA/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.png)
Mtandao wa Vodacom kutatua tatizo la Mawasiliano chini ya ardhi Afrika ya Kusini
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qm6rq6ikumE/VZU8OiKJmKI/AAAAAAAHmbM/5Cj8Hm_q3UA/s640/unnamed%2B%25282%2529.png)
Kituo maarufu cha Gautrain ambacho kimekuwa kikitumiwa na wasafiri wengi wakiwemo wanafunzi,wafanyakazi na watalii kwa muda mrefu tangia kifunguliwe mwaka 2010 kimekuwa kikikabiliwa na tatizo la mtandao ambao ulisababisha wasafiri wanaokitumia kituo hicho kushindwa kuwasiliana kwa njia ya simu na barua pepe.
Kampuni ya Vodacom imejitosa...
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Ridhiwani kikwete aahidi kutatua tatizo la umeme, maji Kiwangwa,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (kulia), akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa ujenzi kutoka Kambi ya Mzinga ya JWTZ, Aloyce Mayunga (kushoto) alipokwenda kukagua ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari ya Kiwangwa wakati wa ziara ya kikazi ya katika Kata ya Kiwangwa, wilayani Chalinze, Pwani jana Aliwataka wajenzi hao kujenga maabara hayo kwa kuzingatia viwango. Katikati ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bagamoyo, Saleh Mpimbwi.
Ridhiwani Kikwete...