Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Julius Melema kujibu mashitaka

Kiongozi wa upinzani nchini Afrika Kusini Julius Malema, anatarajiwa kufika mahakamani kujibu mashitaka ya ufisadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Asomewa mashitaka wodini


NA LILIAN JOEL, ARUSHA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, jana ilihamia katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru, kwa ajili ya kusomewa mashitaka mtuhumiwa Abdulkarim Thabit Hasia anayedaiwa kufanya uwakala wa kusajili vijana kujiunga na kundi la Al Shabaab.
Hasia ambaye amelazwa katika hospitali hiyo kwa takriban miezi minne, ilikuwa asomewe mashitaka na kuunganishwa na wenzake, Mei mwaka huu lakini ilishindikana kutokana na kutokuwa na fahamu.
Mshitakiwa huyo alisomewa mashitaka hayo na Wakili wa...

 

10 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa mashitaka ya mauaji

WAKAZI wawili wa Dar es Salaam, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, wakikabiliwa na mshitaka ya mauaji. Washitakiwa hao ni Habibu Mohammed (28) ambaye hati ya mashitaka ilimtambulisha kuwa ni Dereva na Said Kassimu (29) ambaye ni mfanyabiashara.

 

11 years ago

Habarileo

Mashitaka wajichanganya, washitakiwa waachiwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi Mkoa wa Tabora umewaachia huru watuhumiwa sita waliokuwa wanashitakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha baada ya kuona ushahidi uliotolewa na upande wa mashitaka ukipingana wenyewe.

 

11 years ago

Habarileo

Wafutiwa mashitaka, washitakiwa tena

OFISI ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini imewafutia mashitaka washitakiwa tisa wa kesi ya kukutwa na dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 149.7 na kisha kuwafungulia tena mashitaka hayo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Hakimu aamuru mashitaka yarekebishwe

HAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Arusha, Mustapher Siyan ameamuaru upande wa Jamhuri kurekebisha kasoro zilizopo kwenye hati ya mashtaka ambayo inawakabili Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha, Profesa Johannes Monyo na wenzake saba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorius akana mashitaka

Siku ya kwanza ya kesi ya mauaji dhidi ya Oscar Pistorius imekamilika nchini Afrika Kusini. Pistorius amaka kumuua mpenzi wake marehemu Reeva Steenkamp

 

10 years ago

Habarileo

Asomewa mashitaka ya ugaidi hospitali

MTUHUMIWA wa ugaidi na anayedaiwa kufanya uwakala wa kusajili vijana kujiunga kundi la Al- Shabaab la Somalia, Abdulkarimu Thabiti Hasia, amesomewa mashitaka hospitalini jijini Arusha baada ya kupata fahamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwendesha mashitaka auawa Uganda

Watu wenye silaha wamemuua kiongozi wa mashiataka katika kesi ya ugaidi nchini Uganda, Joan Kagezi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji atahadharisha waendesha mashitaka

WAENDESHA mashitaka wa mahakama, mawakili na wapelelezi wa makosa ya jinai, wameombwa kutumia taaluma zao kuwasidia wanawake na watoto. Ushauri huo ulitolewa na Jaji Peragia Khadai wa Mahakama Kuu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani