JUMLA YA WATU 526,006 MKOANI IRINGA KUPIGAKURA UCHAGUZI MKUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-v-m52JVDxTA/Vh36te-WihI/AAAAAAAAF_s/SWjD_5vOIrM/s72-c/rc.jpg)
Kaimu wa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Selemani Mzee (katikati) ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kilolo akifungua mdahalo wa wazi juu ya amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu unaofanyika katika ukumbi wa chuo Kikuu Huria (OUT)mjini Iringa. Kutoka kushoto walioketi na Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilolo Martin Mlwafu, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa ACP Ramadhani Mungi, Mwenyekiti wa ICISO Alexander Kisinini na Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Iringa, Wilfred Myuyu. Mdahalo huo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Wanafunzi 2,006 hawajaripoti kidato cha kwanza mkoani Singida
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa.
Na Nathaniel Limu, Singida
JUMLA ya wanafunzi 2,006 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu mkoani hapa bado hawajaripoti katika shule walizopangiwa.
Hayo yamesemwa hivi karibuni na Afisa Kazi Sekretariati mkoani Singida,Jacob Elias wakati akitoa taarifa ya usajili wa wanafunzi kidato cha kwanza mwaka huu mbele ya kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa mkutano wa Chuo cha Mafunzo...
9 years ago
StarTV28 Sep
Ibada ya kuombea uchaguzi yafanyika mkoani Iringa
Viongozi wa Juu wa Mkoa wa Iringa wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Amina Masenza wameshiriki Ibada maalum ya kuombea Taifa amani kabla na baada ya uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Ibada hiyo maalum imefanyika Jumamosi hii mjini Iringa katika Kanisa Kuu la Sloam njia ya Kusini na kuhudhuriwa na mamia ya waumini wa Kanisa hilo.
Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa walinyanyua bendera na ramani ya Taifa wakati wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zustSyWnHCU/UxGMIvKIxwI/AAAAAAACbVo/6sYG-mmoLtw/s72-c/Heche+kuhiutubia+Lumuli.jpg)
CHADEMA YAENDELEA NA KAMPENI ZAKE ZA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA MKOANI IRINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zustSyWnHCU/UxGMIvKIxwI/AAAAAAACbVo/6sYG-mmoLtw/s1600/Heche+kuhiutubia+Lumuli.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b2DhofXYRdQ/UxGMJoXYzzI/AAAAAAACbVw/eibh9y3Mtog/s1600/Mawazo+kumwelezea+mtoto.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kyR4d70XWxI/UyAl-VhxwWI/AAAAAAACcJM/VrFhg5yeakc/s72-c/IMG_4357.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA SIASA MKOANI IRINGA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-kyR4d70XWxI/UyAl-VhxwWI/AAAAAAACcJM/VrFhg5yeakc/s1600/IMG_4357.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wrwjQa2WTS4/UyAl-HBk_JI/AAAAAAACcJE/SLoGZjxQKIs/s1600/IMG_4401.jpg)
11 years ago
Michuzi12 Mar
11 years ago
Michuzi07 Mar
10 years ago
Dewji Blog04 May
Katibu Mkuu wa UVCCM Sixtus Mapunda aharibu mipango ya wapinzani mkoani Iringa
Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Sixtus Mapunda akiwapa maneno ya kishujaa wakazi wa mkoa wa Iringa.
Juliana Shonza akiwahutubia wananchi wa mkoa wa Iringa.
Viongozi Chama cha Mapinduzi wakiwa katika meza wakifuatia mkutano unavyoendelea.
Na Fredy Mgunda, Iringa
Katibu mkuu wa UVCCM Taifa afanya ziara ya jimbo la Kilolo kwa lengo la kukijenga chama na kuangalia maendeleo ya chama hicho hasa ngazi vijana lakini akiwa katika ziara hiyo aliongozana na mwenyeji wake Katibu wa UVCCM mkoa wa...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA ZIARANI KATIKA JIMBO LA ISIMANI NA KALENGA MKOANI IRINGA
10 years ago
GPLWAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA ZIARANI KATIKA JIMBO LA ISIMANI NA KALENGA MKOANI IRINGA