Jumuiya Watanzania wanaishi Scandinavia yakutana nchini Danmark
Picha ya pamoja ya wana Jumuiya Watanzania wanaoishi nchi za Scandinavia na Ujumbe kutoka Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar na Ofisa wa Ubalozi wa Tanzania Sweden.
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais wa Zanzibar na Utawala Bora, ndugu Salum Maulid Salum akiwa mgeni wa heshima katika mkutano wa mwaka wa wana Diaspora Scandinavia uliofanyika April 4, 2015 nchini Danmark.
Mratabu wa Diaspora,Ofisi ya Rais Ikulu na Ushirikiano wa Kimataifa Zanzibar Ndugu Hassan Hafidh akisikiza kwa makani maoni ya wana Diaspora...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fR3vK4S-maU/VUu5euE6pwI/AAAAAAABuH0/Mdd5HxJ7prE/s72-c/8%2BMwekiti%2Bwa%2BJumuia%2Bya%2BWaznzibari%2BScandinavia%2Bndugu%2BIdarus%2B%2BA%2BSharif%2Bakifunguwa%2Bmkutano%2Bwa%2Bmwaka%2B%2Bwa%2BJumuiya.jpg)
MKUTANO MKUU WA MWAKA WA JUMUIYA YA WAZANZIBARI SCANDINAVIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-fR3vK4S-maU/VUu5euE6pwI/AAAAAAABuH0/Mdd5HxJ7prE/s640/8%2BMwekiti%2Bwa%2BJumuia%2Bya%2BWaznzibari%2BScandinavia%2Bndugu%2BIdarus%2B%2BA%2BSharif%2Bakifunguwa%2Bmkutano%2Bwa%2Bmwaka%2B%2Bwa%2BJumuiya.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qu4VZ4R77fU/VUu5oIdWZhI/AAAAAAABuH8/19B8BKAqdio/s640/7%2BMjumbe%2Bmaalum%2Bndugu%2BMussa%2BBauchawa%2Bjumuiya%2BGoZanzibar%2B(%2B%2BGerman)%2Bakitoa%2Bmaeleze%2B%2Bkuhusu%2Butekelezaji%2Bwa%2Bmiradi%2Bna%2Bmikakati%2Bmbali%2Bya%2B%2Bjumuiya%2Bhiyo%2Bkwa%2Bzanzibar.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-niX8VtEXgKQ/VUu6g2HbtdI/AAAAAAABuJU/w3uuU4pccqU/s640/1%2BPicha%2Bya%2Bpamoja%2Bya%2Bwana%2BJumuiya%2BScandinavia%2Bna%2BUjumbe%2B%2Bkutoka%2BOfisi%2Bya%2BRais%2BIkulu%2BZanzibar%2Bna%2BOfisa%2Bwa%2BUbalozi%2Bwa%2BTanzania%2B%2BSweden..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RRYtqWGCeoA/VUu5qdqPJuI/AAAAAAABuIE/02cUl3rEPf8/s640/Bw.Jakob%2BMsekwa%2B%2BOfisa%2Bwa%2BUbalozi%2Bwa%2BTanzania%2BSweden.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OfKngisGceQ/UzsQExKcaII/AAAAAAAFXvE/PzO_7y-WiWk/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Jumuiya ya Watanzania nchini Malaysia yapata Uongozi wao
![](http://1.bp.blogspot.com/-OfKngisGceQ/UzsQExKcaII/AAAAAAAFXvE/PzO_7y-WiWk/s1600/unnamed+(32).jpg)
11 years ago
Michuzi24 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yYUwFBSPx4g/U3hmv6SllEI/AAAAAAAFjZY/_CPwcIJ6OMo/s72-c/New+Picture.bmp)
JUMUIYA YA WATANZANIA NCHINI KOREA KUSINI WATEMBELEA KITUO CHA SAMSUNG INNOVATION MUSEUM
![](http://2.bp.blogspot.com/-yYUwFBSPx4g/U3hmv6SllEI/AAAAAAAFjZY/_CPwcIJ6OMo/s1600/New+Picture.bmp)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nNPtTNeT69E/U3hnHJ17hAI/AAAAAAAFjZg/JnIh3oIMt1I/s1600/New+Picture+(1).bmp)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-awbFc4vtGoM/U_TJXzs2JWI/AAAAAAAGA8g/ZQX7xu2_-oo/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Balozi Seif Ali Idd akutana na Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA }
Rais wa KOIKA aliyekuwa kinara wa Ujumbe wa Viongozi Wanne wa Jumuiya hiyo Ndugu Steven Katemba alieleza hayo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Nd. Steven...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s72-c/images.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA HOUSTON: MH. BALOZI LIBERATA MULAMULA KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE YA KUSIMIKA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s1600/images.jpg)
Mheshimiwa Balozi wa Tanzania hapa US na Mexico, Mh.Liberata Mulamula ndiye atakaekuwa mgeni rasmi wa tukio hili la kihistoria katika jumuiya yetu ya Houston. Wote mnakaribishwa ili tusherekee na tuweke...
10 years ago
VijimamboSHUKURANI KWA WATANZANIA KUTOKA KWA FAMILIA YA MAGEGE NA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvaniakwa pamoja na Magege's Family,Tunatoa shukurani zetu za dhati kwa wotewaliojitokeza kwa namna Moja au nyengine katika kufanikisha mazishi yaMpendwa Mzee wetu Alfred Magege.Kwa pamoja tumefarijika na upendo mliotuonyesha katika Kipindi chotecha Msiba wa Mzee wetu naHatuna cha kuwalipa isipokuwa kukuombeeni dua kwa Mwenyezi Munguakuzidishieni Baraka na Daima tuendelee kuwa wamoja katika shida naraha.
Vile vile Tunatoa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_q9jnrKLgMs/VLMWQ_AqFcI/AAAAAAADVSQ/CdLvNPlje_0/s72-c/boston_skyline.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA BOSTON.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_q9jnrKLgMs/VLMWQ_AqFcI/AAAAAAADVSQ/CdLvNPlje_0/s1600/boston_skyline.jpg)
Wajumbe wamekubaliana kwa pamoja yafuatayo kama maazimio ya jumuiya.
Kutakua na vikao vinne kwa mwaka na kila mwanachama anatakiwa walau ahudhurie vikao viwili ili kuweza kuthibitisha uanachama wake katika jumuiya,,tofauti na hapo atakua amejiondoa mwenyewe.Kujiunga katika jumuiya kama mwanachama ni hiari kwa wanachama wapya kama ilivyokua kwa wale wa mwanzo,sifa kuuni uwe Mtanzania unaeishi MASSACHUSETTS USA na uweze...
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10