Just in: Mhe Yahya Khamis Hamad ndiye Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Dkt Thomas Kashilila naibu wake
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi14 May
Katibu wa Baraza la Wawakilishi Yahya Khamis Hamad Akutana na Waandishi wa Habari
![](https://3.bp.blogspot.com/-FxanAV72SRc/U3Iibyd1oeI/AAAAAAACxTs/CrkZs-dweDU/s1600/0006.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-U_-PqvFm1ig/U3IicKoYrbI/AAAAAAACxT0/TZyUAAqoZTs/s1600/0010.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qGfZS5Y66O8/UyLkxowoZII/AAAAAAAFTfQ/rbFDPu1GtQM/s72-c/D92A4440.jpg)
Rais Kikwete awaapisha Katibu na Naibu Katibu wa Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma leo
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha Katibu na naibu katibu wa Bunge Maalum la katiba katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ndogo mjini Dodoma leo.
Rais ni Katibu Bwana Yahya Khamis Hamad akila kiapo kuwa Katibu wa Bunge Maalum la Katiba. Wa pili kushoto akishuhudia kiapo ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na watatu kushoto ni karani wa Baraza la Mawaziri Bwana Gerson Mdemu![](http://1.bp.blogspot.com/-6IKnz_VvaYo/UyLkxwz4NAI/AAAAAAAFTfU/4Q6GntKFed8/s1600/D92A4470.jpg)
Dkt. Thomas Kashililah akila kiapo kuwa Naibu Katibu wa Bunge Maalum la...
![](http://2.bp.blogspot.com/-qGfZS5Y66O8/UyLkxowoZII/AAAAAAAFTfQ/rbFDPu1GtQM/s1600/D92A4440.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6IKnz_VvaYo/UyLkxwz4NAI/AAAAAAAFTfU/4Q6GntKFed8/s1600/D92A4470.jpg)
Dkt. Thomas Kashililah akila kiapo kuwa Naibu Katibu wa Bunge Maalum la...
11 years ago
GPL![](https://1.bp.blogspot.com/-0WNkgl4cLAs/UyLKHSzkxBI/AAAAAAAAOGI/4YCpYIWpDgo/s1600/IMG_4232.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU NA NAIBU KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO MJINI DODOMA
Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw, Yahya Khamis Hamad akiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma. Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Yahya Khamis Hamad akisaini Kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma.…
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Pb9gw7o-XUA/UyHliu-fIoI/AAAAAAAFTcU/jHC-FJgggCc/s72-c/unnamed+(14).jpg)
Mhe.Samia Suluhu Hassan ndiye makamu mwenyekiti wa bunge maalum la katiba
Hatimaye leo Bunge maalum la Katiba limemchagua Mhe.Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu Mwenyekiti wake mjini Dodoma.
Hii inakuja baada ya jana kumchagua Mhe.Samweli Sitta kuwa Mwenyekiti. Mhe Hassan alichaguliwa kwa kura 390 sawa na asilimia 74.6 na kumshinda mpinzani wake Amina Abdalla Amour. Kura 7 ziliharibika - kama jana.
Katibu wa Bunge hilo Maalum ambaye atajulikana wakati wowote kuanzia sasa ataapishwa na Rais Jakaya Kikwete kesho asubuhi Ikulu ndogo Dodoma.
Katibu wa Bunge ndiye...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2kqUpeOkPjU/VPUcipo14hI/AAAAAAAHHOI/R2O_H7NOCOo/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah atembelea ubalozi wetu Malaysia
![](http://1.bp.blogspot.com/-2kqUpeOkPjU/VPUcipo14hI/AAAAAAAHHOI/R2O_H7NOCOo/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VN_dBYMIcQ4/VPUcijjxPII/AAAAAAAHHOM/A8ump6_c-80/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
MichuziNaibu Spika wa Bunge Mhe Dkt Tulia Ackson akutana na Rais wa Baraza la Maseneta la Jamhuri wa Burundi Mhe Reverien Ndikuriyo
11 years ago
MichuziMhe.Pandu Ameir Kificho ndiye Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba.
Bunge Maalumu la Katiba limemchagua Mhe. Pandu Ameir Kificho (pichani) kuwa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba. Katika uchaguzi wa nafasi hiyo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, Mh.Kificho ameshinda kwa Kura 393 sawa na Asilimia 69.Washindani wengine, Bi.Magret na Mhe.Mahalu wamepata Kura 84 kila mmoja sawa na Asilimia 15.79%. Akitangaza matokeo hayo Katibu wa Bunge Dk Thomas Kashililah alisema Mhe. Kificho ameshinda baada ya kupata kura 393 sawa na 69.19% ya kura 558...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania