Just in via Skype: eti vibaka walitaka kuiba kombora la kamanda
![](http://4.bp.blogspot.com/-CbmSEEf2e0k/U8GMZkOGhHI/AAAAAAAF1q4/dE2Ei_UJM4M/s72-c/10524161_10201284753801464_617083815_n.jpg)
[20:21:38] Ngoma Africa: :jamaa wana roho mbaya sana hawa, asalamaleko wallahi....
[20:22:57] Ngoma Africa: tena gitaa lenyewe bei mbaya harafu made in Gerezani(sido) kariakoo,Uswahilini
[20:24:55] Ngoma Africa: na mlinzi Sajenti kopro (Dog) Domobaya alikuwa kalala fofo (worry) nitamfuta kazi akiendelea na tabia hizi. Juzi juzi tu walitaka kulamba bundi, yeye kalala....ebo!
[20:26:24] Ngoma Africa: Gitaa hili limetengenezwa kwa chuma na nyuzi zake ni za nondo. Uzito nusu tani. jamaa walitia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Kamanda OFM avamiwa na vibaka
Mwandishi wetu, Moro
Hii si sawa! Kamanda wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, Mkoa wa Morogoro, Dustan Shekidele amevamiwa na vibaka kisha kuporwa kamera na simu alipokuwa akiwatetea wananchi waliovamiwa na vibaka hao katika Mkesha wa Mwaka Mpya.
Awali kamanda huyo alikuwa kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mji Mpya, alipotoka majira ya saa 6:00 usiku ndipo akapigiwa simu na akina mama waliokuwa wakilalamika...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Oqaws6peaw0/VZysfWA5k3I/AAAAAAAAxWc/Dysd-zC6rMg/s72-c/Christopher-Mtikila.jpg)
Mtikila Amerusha Kombora Kwa Mgombea Urais Edward Lowasa..Nimekuwekea Hapa Hilo Kombora
![](http://2.bp.blogspot.com/-Oqaws6peaw0/VZysfWA5k3I/AAAAAAAAxWc/Dysd-zC6rMg/s400/Christopher-Mtikila.jpg)
KATIKA UCHAGUZI MKUU HUU TUSIRUHUSU MAFISADI WALICHEZEE TAIFA
Edward Lowasa ni balaa kwa Taifa!
Democratic Party (DP) inatarajia kufikisha Mahakamani chama chaCCM pamoja na wanachama wake sita, Edward Lowasa na wengine,kwa mujibu wa Ibara ya 26 ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kwa kosa
kubwa sana la kuvunja Katiba na Sheria za Nchi kwa kuanza kampeniya Uchaguzi kabla ya wakati unaopasa kwa mujibu wa Sheria.1 Tunao ushahidi mzito unaothibitisha kwamba Edward Lowasa nawenzake walianza kampeni ya...
10 years ago
Bongo Movies19 Sep
Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka
Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!
Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s72-c/unnamed+(3).jpg)
HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VDIAwcIROxo/UvRkbKTc_VI/AAAAAAAFLdU/tA93i9aFJXA/s1600/unnamed+(3).jpg)
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Mtandao wa Skype wakumbwa na tatizo
5 years ago
Android Authority25 Mar
Hangouts vs Skype: The differences and similarities explained
5 years ago
The Verge31 Mar
Microsoft’s Skype struggles have created a Zoom moment
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D-OXQJN40UE/VlLVnCtIubI/AAAAAAADCqw/OPrsLP8e8eo/s72-c/1.jpg)
EAGT DODOMA WALITAKA TAMASHA LA SHUKRANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-D-OXQJN40UE/VlLVnCtIubI/AAAAAAADCqw/OPrsLP8e8eo/s640/1.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha la kumshukuru mungu kwa amani na utulivu wakati wa uchaguzi mkuu, Alex Msama akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo, kuhusu maandalizi ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar na kuwahusisha waimbaji mbalimbali wa nyimbo za kiroho kutoka ndani ya nje ya nchi. Kushoto ni Mratibu wa tamasha hilo, Khamis Pembe.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ueIXRbVUFnc/VlLVzKbe-1I/AAAAAAADCq4/rNYmPC-10Ig/s640/2.jpg)
KANISA la Evangelistic...