Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Just in via Skype: eti vibaka walitaka kuiba kombora la kamanda

[20:21:38] Ngoma Africa: :jamaa wana roho mbaya sana hawa, asalamaleko wallahi....
[20:22:57] Ngoma Africa: tena gitaa lenyewe bei mbaya harafu made in Gerezani(sido)  kariakoo,Uswahilini
[20:24:55] Ngoma Africa: na mlinzi Sajenti kopro (Dog) Domobaya alikuwa kalala fofo (worry)  nitamfuta kazi akiendelea na tabia hizi. Juzi juzi tu walitaka kulamba bundi, yeye kalala....ebo!
[20:26:24] Ngoma Africa: Gitaa hili limetengenezwa kwa chuma na nyuzi zake ni za nondo. Uzito nusu tani. jamaa walitia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Kamanda OFM avamiwa na vibaka

Mwandishi wetu, Moro
Hii si sawa! Kamanda wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, Mkoa wa Morogoro, Dustan Shekidele amevamiwa na vibaka kisha kuporwa kamera na simu alipokuwa akiwatetea wananchi waliovamiwa na vibaka hao katika Mkesha wa Mwaka Mpya.

Awali kamanda huyo alikuwa kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mji Mpya, alipotoka majira ya saa 6:00 usiku ndipo akapigiwa simu na akina mama waliokuwa wakilalamika...

 

10 years ago

Vijimambo

Mtikila Amerusha Kombora Kwa Mgombea Urais Edward Lowasa..Nimekuwekea Hapa Hilo Kombora


KATIKA UCHAGUZI MKUU HUU TUSIRUHUSU MAFISADI WALICHEZEE TAIFA
Edward Lowasa ni balaa kwa Taifa!
Democratic Party (DP) inatarajia kufikisha Mahakamani chama chaCCM pamoja na wanachama wake sita, Edward Lowasa na wengine,kwa mujibu wa Ibara ya 26 ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, kwa kosa
kubwa sana la kuvunja Katiba na Sheria za Nchi kwa kuanza kampeniya Uchaguzi kabla ya wakati unaopasa kwa mujibu wa Sheria.1 Tunao ushahidi mzito unaothibitisha kwamba Edward Lowasa nawenzake walianza kampeni ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka

Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!

 

Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...

 

11 years ago

Michuzi

HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI

Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Lindi(LPC) Inatoa Pongezi kwa ACP Renatha Mzinga(pichani) aliekuwa Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi kwa kuteuliwa na MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa LINDI. Taarifa iliyotolewa leo na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Lindi,Abdulaziz Ahmeid ameeleza kuwa kuwa Klabu hiyo Imepokea mabadiliko hayo na kuhaidi Ushirikiano mkubwa baina ya klabu na Jeshi hilo.  "Kwa niaba ya wanahabari...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtandao wa Skype wakumbwa na tatizo

Tatizo la kimitambo limesababisha watu wengi kukosa kutumia huduma ya Skype.Ripoti kuhusu Skype kukumbwa na hitilafu zilianza mwendo wa saa tatu nchini Uingereza.

 

5 years ago

Android Authority

Hangouts vs Skype: The differences and similarities explained

Hangouts vs Skype: The differences and similarities explained  Android AuthorityBest video chat apps in 2020  Tom's Guide UKHow to use Houseparty on your phone to video call friends and play games  Evening StandardWhy is Zoom suddenly everywhere? It's easy and fun to use. - Business Insider  Business InsiderWhat is Houseparty? The social app keeping isolated people connected  Time OutView Full coverage on Google News

 

5 years ago

The Verge

Microsoft’s Skype struggles have created a Zoom moment

Microsoft’s Skype struggles have created a Zoom moment  The VergeGoogle Hangouts Meet vs. Skype for Business: Which conferencing tool is better for you?  Android CentralPick the right video conferencing tool to connect with others  CTV News5 Zoom and Skype alternatives you can use to video call your team while working from home  Times NowSome ideas on how to socialize—without being together physically  decorahnews.comView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Michuzi

EAGT DODOMA WALITAKA TAMASHA LA SHUKRANI



  Mwenyekiti  wa Kamati ya maandalizi ya tamasha la kumshukuru mungu kwa amani na utulivu wakati wa uchaguzi mkuu, Alex Msama akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo, kuhusu maandalizi ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Desemba 25 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar na kuwahusisha waimbaji mbalimbali wa nyimbo za kiroho kutoka ndani ya nje ya nchi. Kushoto ni Mratibu wa tamasha hilo, Khamis Pembe.

 KANISA la Evangelistic...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani