Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kadama Malunde Mwenyekiti Mpya wa Wanahabari Shinyanga

Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga aliyemaliza muda wake, Shija Felician akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga, Kadama Malunde (mwenye suti) baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa Klabu hiyo. Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga aliyemaliza muda wake, Shija Felician akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga, Kadama Malunde (mwenye suti) baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa Klabu hiyo. Viongozi wa Klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga waliomaliza muda wao wakijiuzuru nyadhifa zao kabla ya uchaguzi mkuu kupata viongozi wapya wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club- SPC)Msimamizi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KADAMA MALUNDE ACHAGULIWA MWENYEKITI MPYA WA WANAHABARI SHINYANGA

Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga aliyemaliza muda wake, Shija Felician akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga, Kadama Malunde (mwenye suti) baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa Klabu hiyo. Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga aliyemaliza muda wake, Shija Felician akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga, Kadama Malunde (mwenye suti) baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa Klabu hiyo.Viongozi wa Klabu ya waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga waliomaliza muda wao wakijiuzuru nyadhifa zao kabla ya uchaguzi mkuu kupata viongozi wapya wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club- SPC)
Msimamizi...

 

9 years ago

Habarileo

Wazee Shinyanga wapongeza wanahabari

VYOMBO mbalimbali vya habari mkoani Shinyanga vimepongezwa kuripoti kwa kuhamasiha jamii juu ya haki za wazee huku wakieleza kuona matunda ya kuthaminiwa kwao.

 

5 years ago

Michuzi

WANAHABARI SHINYANGA WAPATIWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA



Na Damian Masyenene - Shinyanga Press Club
Klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Shinyanga(SPC) imegawa vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya homa kali ya mapafu Corona kwa waandishi wa habari,ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao katika mazingira salama na kuepuka maambukizi.
Vifaa walivyopewa wanachama ni barakoa (masks), vitakasa mikono (sanitizers), medical gloves na sabuni za maji ‘Hand soaps’ ambapo zoezi la ugawaji vifaa hivyo limesimamiwa na Viongozi wa SPC wakiongozwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA CCM SHINYANGA KHAMIS MGEJA AHAMIA CHADEMA

CCM sio baba yangu si mama yangu, Watanzania wanahitaji mabadiliko wasipo yapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM ndiyo maneno aliyoyatumia Khamis Mgeja alipokua kizungumuza na waandishi wa habari jijini Dar hivi punde alipotangaza uamuzi wake wa kukihama chama cha CCM na kujiunga na CHADEMA.
Khamis Mgeja alikua mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga leo ametangaza rasmi kujiunga na CHADEMA jijini Dar.

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA VUGUVUGU NCHINI BURUNDI AONGEA NA WANAHABARI HOTEL YA SERENA JIJINI DAR.

Kikao Kikiwa kinaendelea Jana usiku
Mwenyekiti wa Vuguvugu kutoka nchini Burundi Bw. Mugwengezo Chauvineau akiongea na waandishi wa Habari  Serena Hotel Dar jana usiku .
Dkt. Christine Mbunyingingo Mwenyekiti wa wanawake na wasichana katika harakati za usawa Nchini Burundi, Akiongea na waandishi wa Habari jana usiku . 

***** Mwenyekiti wa vuguvugu za Maandamano Burundi kwa Mara ya kwanza amefika Nchini Tanzania ili kuweza kushuhudia Mkutano wa Dharula kati ya viongozi watano wa Jumuia...

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA VUGUVUGU LA MAANDAMANO NCHINI BURUNDI AONGEA NA WANAHABARI HOTEL YA SERENA JIJINI DAR

Kikao kikiwa kinaendelea jana usiku.
Mwenyekiti wa vuguvugu la maandamano nchini Burundi, Bw. Mugwengezo Chauvineau akiongea na waandishi wa habari  Serena Hotel Dar jana usiku . Dkt. Christine Mbunyingingo Mwenyekiti wa wanawake na wasichana katika harakati za usawa nchini Burundi, akiongea na waandishi wa habari jana usiku. Mwenyekiti wa vuguvugu za Maandamano Burundi kwa Mara… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gharama mpya Shinyanga zawakimbiza wajawazito

UAMUZI wa kupandisha gharama za matibabu zikiwemo zile za kujifungua, katika hospitali ya Mkoa wa Shinyanga umesababisha mamia ya wagonjwa wakiwemo wajawazito kuikimbia. Hatua ya kupandisha gharama za matibabu iliyochukuliwa...

 

11 years ago

Habarileo

Shibuda aonya ushabiki wa wanahabari Katiba mpya

John ShibudaMB U N G E wa Maswa M a g h a r i b i , John Shibuda ( C h a d e m a ) , ameviasa vyombo vya habari nchini kuwa makini na aina ya uandishi wa habari za ushabiki ambazo hazijengi nchi, bali zinachochea na kuongeza chuki baina ya makundi yanayokinzana bungeni, hivyo kutofikia maridhiano ya kupata Katiba mpya.

 

10 years ago

GPL

WANAHABARI WASHIRIKI UZINDUZI WA CHANELI MPYA YA DSTV AFRIKA KUSINI

Waandishi wa habari wa mataifa mbalimbali ya Afrika walivyoshiriki kwenye uzinduzi wa chaneli mpya ya watoto ya Nick Jr, jana Jumamosi jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Chaneli hiyo itakuwa ikionyesha masuala mbalimbali ya watoto kupitia chaneli za DStv.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani