KAENI, ZUNGUMZENI, KAMA KUACHANA IJULIKANE MOJA!
NI Jumanne tena, naamini wapenzi wasomaji wangu mpo sawasawa kiafya, kiakili na zaidi sana kimapenzi. Mwaka 2015 ndiyo kwanza bado mbichi, ni nafasi ya kila msomaji wangu kujipanga katika mwaka huu ili kujua namna ya kutimiza malengo, hasa ya kimapenzi.
Naamini wasomaji wangu walio wengi ni watu wenye miaka inayokubalika kujitambua na kujiamulia mambo bila kuongozwa.Leo katika mada yangu nimependa kuzungumzia wapendanao kwa maana ya wanandoa au wapenzi ambao wapo kwenye misukosuko ya muda...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Askari wa Wanyamapori sasa kuajiriwa moja kwa moja kama Majeshi mengine
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akikwagua gwaride la heshima jana alipowasili Chuo cha Usimamizi Wanyamapori Pasiansi mjini Mwanza alipokwenda kukagua vifaa mbalimbali vilivyonunuliwa na Taasisi ya Buffet Foundation kwa jili ya mafunzo ikiwemo vitabu, kompyuta, magari na darubini.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akiangalia moja ya kompyuta maalum zinazotumiwa wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi Wanyamapori Pasiansi mjini Mwanza alipokwenda kukagua vifaa...
11 years ago
GPL10 Feb
Have you seen the Michepuko TV Advert?! I swear ni kama vile Kibonde anaongea na wewe moja kwa moja! Check it out....
10 years ago
GPL
KAMA HAMUWEZI KUACHANA BORA LISEREREKE
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Kerry: Israel na Palestina zungumzeni
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Kama mnalitafuta joka basi huyu escrow ni yai tena moja tu!
10 years ago
GPL22 Feb
REMEMBERING MEZ B: moja ya nyimbo zake bora; KAMA VIPI Feat Ray C & Noorah
10 years ago
Bongo Movies05 May
Patcho Mwamba: Hakuna Staa wa Kike Ana Nyota Kama ya Wema Sepetu, Ila Dhambi Yake ni Moja...
Staa wa Bongo movies na mwanamziki wa Fm Academia Patcho Mwamba funguka kuwa staa mwennzake wa bongo movies, Wema Sepetu ana nyota kali zaidi ya mastaa wote wa kike wa hapa Bongo, Pacho ameyasema hayo akiwa anajibu swali aliloulizwa kwenye mahojiano maalumu na Bestizzo "Je unahisi Wema halitendei haki jina lake au kuna sehemu anakosea?"
''Kwanza tuseme ukweli wa Mungu hamna staa wa kike ana nyota kama ya Wema Sepetu, ni star ni star ni star ni star sana upande wa wanawake wote ndani ya bongo...
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Hongera ukawa, lakini kaeni chonjo
OKTOBA 26, mwaka huu, vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeweka historia kwa kusaini makubaliano yatakayotumiwa na vyama vyao kutimiza malengo yao kisiasa. Umoja huo...
10 years ago
GPL
KAENI CHONJO OFM YATEGA KAMERA KILA KONA YA JIJI!