Kafulila’s escrow battle in Parliament thwarted
Dodoma. Efforts by Kigoma South legislator David Kafulila (NCCR-Mageuzi) to move Parliament to press the government on the implementation of resolutions on the Tegeta escrow account scandal were thwarted yesterday.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Escrow yampa tuzo Kafulila
10 years ago
Habarileo07 Feb
Kafulila akwama kufufua ya Escrow
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) ameshindwa kuwasilisha hoja binafsi, kuitaka Serikali iwasilishe bungeni ripoti ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuhusu uchunguzi wa tuhuma za rushwa katika sakata la iliyokuwa Akaunti ya Tegeta Escrow.
11 years ago
Mwananchi06 Oct
Kafulila azidi kukomaa na Escrow
11 years ago
Mwananchi09 May
Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Kafulila alivyoibua ufisadi akaunti ya escrow
10 years ago
Mwananchi14 Jun
JESCA : Mke wa Kafulila anayeiota Escrow
10 years ago
Vijimambo06 Jan
Kafulila: Nina bomu zito la Escrow

Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, amesema kwamba analo bomu lingine kuhusu sakata ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow.
Mbunge huyo amesema bomu hilo likilipuka litaitikisa serikali na vigogo waliohusika katika kashfa hiyo, akiwamo Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Kafulila amesema kutokana na...
10 years ago
Habarileo25 Nov
Escrow yazuia Kafulila kwenda fungate
SAKATA la wizi wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, limesababisha Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kutokwenda fungate baada ya kufunga ndoa mwishoni mwa wiki.