Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagame aweka rekodi ya ushindi

Rais Paul Kagame wa Rwanda amefanikiwa kutetea kiti chake cha urais baada ya kushinda kwa asilimia 98.6 ya kura zilizopigwa na hivyo kuvunja rekodi ya ushindi aliyoiweka katika chaguzi mbili zilizopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Ronaldo ajivunjia rekodi, aweka rekodi mpya

IGxwi

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji bora wa dunia mwaka 2014 na mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo (pichani)ameweka rekodi mpya katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA baada ya hapo jana kufunga goli 4 katika mchezo kati ya Real na Malmo.

Magoli ya Ronaldo yalifungwa katika dakika ya 39, 47, 50 na 58 na kufanikiwa kufikisha magoli 11 katika michezo ya makundi rekodi ambayo ilikuwa haijawahi kufikiwa na mchezaji yoyote.

Kabla ya kuweka rekodi hiyo mpya, Ronaldo alikuwa na...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aweka rekodi

MAELFU ya watu wanaokwenda katika mikutano ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli imeanza kusimamisha shughuli za miji mbalimbali anayokwenda.

 

9 years ago

Habarileo

Dk Magufuli aweka rekodi Mwanza

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amefanya mkutano mkubwa na wa kihistoria katika Jiji la Mwanza na kuahidi kuubadilisha mji huo kuwa mithili ya ule wa Geneva wa nchini Uswisi.

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond aweka rekodi Channel O

Mwanamuziki wa Tanzania, Diamond Platnumz amesema anajivunia kuandika historia mpya kwenye ramani ya muziki wa Afrika, baada ya kuvunja rekodi na kunyakua tuzo tatu za Channel O usiku wa kuamkia jana katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Narsec Expo Centrem nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya aweka rekodi mpya ya Marathon

Mwanariadha wa Kenya Dennis Kimeto amevunja rekodi ya dunia katika mbio za Marathon mapema leo mjini Berlin nchini Ujerumani.

 

11 years ago

GPL

Pluijm aweka rekodi ya pekee Yanga

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya juzi Jumamosi kuiongoza Yanga kuitandika Ruvu Shooting mabao 7-0, Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amefanikiwa kuandika rekodi ya pekee kwa muda mfupi akiwa na klabu hiyo kuliko makocha wengine wa kigeni waliowahi kuifundisha timu hiyo. Pluijm ambaye alijiunga na Yanga hivi karibuni akichukua mikoba ya Mholanzi mwenzake, Ernie Brandts, ameweza...

 

9 years ago

Mwananchi

JPM aweka rekodi ya siku 25 ya mawaziri

Rais John Pombe Magufuli amekuwa wa kwanza tangu mfumo wa vyama vingi kuanza nchini kutumia muda mrefu kutangaza Baraza la Mawazi kutokana na kile wasomi, wachambuzi wa siasa kusema pengine anapata wakati mgumu kupata mawaziri watakaoendana na kasi yake.

 

11 years ago

GPL

Kocha Yanga aweka rekodi Uturuki

Kocha mpya wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Mwandishi Wetu
KOCHA mpya wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameweka rekodi mpya akiwa na klabu yake hiyo nchini Uturuki. Kocha huyo Mholanzi ameweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza wa klabu kutoka nje ya Tanzania kuvaa sare ya timu ya taifa, Taifa Stars. Kwa kipindi chote ambacho Yanga wamekuwa nchini Uturuki, van Der Pluijm amekuwa akivaa koti la Taifa Stars ambalo huvaliwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkenya aweka rekodi mpya ya Mbio



Mwanariadha Wilson Kipsang ashinda mbio za Berlin Marathon mwaka uliopitaMwanariadha wa Kenya Dennis Kimeto amevunja rekodi ya dunia katika mbio za Marathon zilizondaliwa mapema leo mjini Berlin nchini Ujerumani.Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 30 alishinda mbio hizo kwa muda wa saa mbili,dakika na sekunde 57 ambapo aliivunja rekodi ya awali kwa sekunde sita

Rekodi ya awali iliwekwa na mkenya mwenzake Wilson Kipsang katika mbio hizo mwaka uliopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani