Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagasheki amvaa Pinda mgogoro wa Bukoba

MBUNGE wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki (CCM), amemtuhumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda, kuwa ameshindwa kumchukulia hatua aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk. Anatory Amani, ambaye amegoma kutii maagizo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

Kagasheki riled by unruly Bukoba councillors


Kagasheki riled by unruly Bukoba councillors
Daily News
BUKOBA Urban Legislator Ambassador Khamis Kagasheki has tasked the Bukoba Municipal Council to give explanations on circumstances that led to change of contract between the Council and Unity Trust of Tanzania (UTT). Mr Kagasheki, who is the ...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuondoka kwa Massawe ni tiba ya mgogoro wa Kagasheki na Dk Amani?

>Kwa wakazi wa Mkoa wa Kagera, hususan mjini Bukoba itawachukua muda mrefukusahau jina la mkuu wa mkoa aliyeondoka,  Kanali Fabian Massawe wanapokuwa kwenye mijadala ya kila siku.

 

10 years ago

Daily News

Kagasheki pledges safe, clean water for Bukoba residents


Kagasheki pledges safe, clean water for Bukoba residents
Daily News
BUKOBA Urban out-going lawmaker, Mr Khamis Kagasheki, has pledged to ensure that all 14 wards in Bukoba municipality have access to safe and clean water if he is re-elected as a Member of Parliament(MP). Addressing a party meeting in Kashai ward on ...

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014 MJINI BUKOBA LEO - KASHAI 3 vs BAKOBA 0,

Na Faustine Ruta, Bukoba Michuano ya Kagasheki Cup 2014 imeendelea tena leo kwenye Uwanja wa Kaitaba Bukoba Mjini kwa siku ya pili na kushuhudia mahasimu wawili Mmoja akimliza mwenzake bao 3-0. Mtanange wa leo hii Jumapili ulizikutanisha timu mbili matata kwenye hii ligi za Kashai na Bakoba FC na kushuhudia Timu ya Bakoba ikifungwa bao 3-0 bao zilizofungwa kipindi cha kwanza mbili na kipindi cha pili moja. Timu ya Kashai FC walianza kuifunga timu ya Bakoba bao la kwanza katika dakika ya 8...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgogoro wa Bukoba wakuzwa

WAKATI Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa ameutanzua mgogoro wa umeya katika Manispaa ya Bukoba, uliodumu kwa zaidi ya miaka miwili, limeibuka kundi la watu wanaojiita Friends of Bukoba wakimshauri aifute...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge CCM amvaa Pinda

Mbunge wa Bukoba Mjini kwa tiketi ya CCM, Khamis Kagasheki amemtuhumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuwa ndiye aliyekuza mgogoro wa Bukoba uliosababisha madiwani wa halmashauri kushindwa kufanya vikao, akidai kuwa mtendaji huyo mkuu wa Serikali ameshindwa kuchukua hatua. Pinda hakuweza kupatikana, lakini msemaji wake alisema Waziri Mkuu ameshalishughulikia suala hilo kwa kiasi kikubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Nape amvaa Pinda mgomo wa madereva

Wakati Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameunda kamati kwa ajili ya kushughulikia mgomo wa madereva uliotikisa nchi kwa siku mbili, katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema haoni mantiki ya kuunda tume kuchunguza jambo ambalo linafahamika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge lataka mgogoro Bukoba uishe

MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Benadetha Mshashu, ameitaka wizara husika kuhakikisha inasimamia na kuupatia ufumbuzi mgogoro wa uongozi...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa kunufaika mgogoro wa madiwani Bukoba

>Athari za mgogoro wa kisiasa katika Manispaa ya Bukoba huenda zikaanza kuonekana katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Desemba 14, mwaka huu baada ya vyama vya upinzani kugawana maeneo ili kutumia mpasuko ndani ya CCM kushinda viti vingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani