Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuondoka kwa Massawe ni tiba ya mgogoro wa Kagasheki na Dk Amani?

>Kwa wakazi wa Mkoa wa Kagera, hususan mjini Bukoba itawachukua muda mrefukusahau jina la mkuu wa mkoa aliyeondoka,  Kanali Fabian Massawe wanapokuwa kwenye mijadala ya kila siku.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kagasheki amvaa Pinda mgogoro wa Bukoba

MBUNGE wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki (CCM), amemtuhumu Waziri Mkuu Mizengo Pinda, kuwa ameshindwa kumchukulia hatua aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk. Anatory Amani, ambaye amegoma kutii maagizo...

 

11 years ago

Mwananchi

Kagasheki, Meya Amani wakwamisha maendeleo

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali mstaafu Fabian Massawe ameonyesha hofu ya ugumu wa kutekeleza ahadi zilizotolewa na CCM kwa wananchi mjini hapa baada ya Sh18.5 bilioni kuondolewa na wafadhili kufuatia mgogoro wa kisiasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wamshtaki Massawe kwa JK

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimemshtaki kwa Rais Jakaya Kikwete, Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Fabian Massawe, kikidai kuwa ndiye chanzo cha mgogoro kati ya Meya wa Manispaa ya Bukoba,...

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014 - KAGONDO FC WATINGA NUSU FAINALI KWA KUIFUNGA IJUGANYONDO KWA MIKWAJU YA PENATI 4-3

Wachezaji wa Timu ya Kagondo Fc wakimpongeza mchezaji wao aliyewapa ushindi wa kwenda hatua ya Nusu fainali Abdallatifu Khamis juu kwa juu.
Kufungwa kubaya!!! Wachezaji wa Timu ya Ijuganyondo wakitoka Uwanjani wakiwa hawana hamu. Kwa picha zaidi na Faustine Ruta BOFYA HAPA

 

10 years ago

Mwananchi

Tumwache Mwalimu apumzike kwa amani amani

Watangazania urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), wameanza kutangaza nia na wengine kuchukua fomu

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014: MIEMBENI FC WATINGA FAINALI BAADA YA KUIFUNGA BAO 2-1 BILELE FC KWA DAKIKA 120!

Wachezaji wa timu zote mbili Miembeni Fc na Bilele Fc  wakisalimiana kabla ya Mtanange kuanza jioni hii katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.Kikosi cha Timu ya Miembeni FcKikosi cha Timu ya Bilele Fc
Mabingwa watetezi wa kombe la KAGASHEKI, Bilele Fc, wamefungwa leo na Timu ya Miembeni Fc bao 2-1 kwenye mtanange uliopigwa dakika 120, dakika 90 za mchezo huo zilimalizika kwa  kutoshana nguvu kwa bao 1-1 katika uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.Timu ya Bilele Fc ndio walianza kupata bao la mkwaju...

 

9 years ago

Habarileo

‘Kuondoka kwa Busungu kumeniumiza’

MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Mgambo JKT inayoshiriki katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Fuluzulu Maganga, amesema kufifia kwa kiwango chake msimu huu kumetokana na kuondoka kwa pacha wake Malimi Busungu aliyejiunga na Yanga msimu huu.

 

11 years ago

GPL

Yanga yabariki kuondoka kwa Niyonzima

Haruna Niyonzima. Na Khadija Mngwai
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefunguka kuwa, hauna kipingamizi cha aina yoyote juu ya kiungo mshambuliaji wake, Haruna Niyonzima, aliyetangaza kuondoka iwapo dili lake litakamilika. Niyozima aliliambia Championi hivi karibuni kuwa yupo katika mchakato wa kuiacha timu hiyo iwapo mikakati yake itakamilika kwa kuwa kuna klabu kadhaa zinamfuatilia. Akizungumza na Championi Jumatano, Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani washtumu kuondoka kwa Bashir

Chama cha upinzani nchini Afrika ya Kusini kimetaka uchunguzi kufanywa nchini humo kufuatia hatua ya serikali kushindwa kumkamata rais wa Sudan Omar el Bashir ambaye ameshtakiwa na mashtaka ya mauaji ya kimbari katika mahakama ya ICC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani