Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAHAMA FAMILY BONANZA 2014 KUHAMASISHA UPIMAJI WA HIARI

Mjumbe  wa KF,Mary Zakaria kulia, Mwenyekiti Sweetbert Nkuba (anayezungumza), na  Katibu,  Daudi Ng’osha wakiwa kwenye kikao. Mwenyekiti wa Kahama Family, Sweetbert akiwa na daudi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BONANZA LA KAHAMA FAMILY LAFANA JANA

Hivi ndivyo Kahama Family Bonanza lilivyoanza kwa mbio za jogging. Wajumbe wakiwa kwenye maandalizi.…

 

11 years ago

Mwananchi

Watumia michezo katika kuhamasisha upimaji VVU

Tangu ugonjwa wa Ukimwi ulipoingia nchini karibu miaka 30 iliyopita, bado umeendelea kuwa tishio kwa kukosa tiba.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.

Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...

 

10 years ago

Vijimambo

KUMEKUCHA 'CHICKEN WINGS BONANZA & FAMILY DAY OUT


Kumekucha ‘Chicken Wings Bonanza & Family Day Out’ leo Februari 28
Na Andrew ChaleBonanza kubwa la Nyama ya kuku ‘’Chicken Wings’ linaendelea muda huu huku watu mbalimbali wameanza kumiminika marafiki na familia mbalimbali leo  Februari 28, ndani ya Azura Beach Club, Kawe, Jijini Dar es Salaam.Akieleza hilo muda huu haapa katika viwanja ghivi linapoendelea Bonanza hili la Chicken Wing, Bonanza & Family oUT', Mkurugenzi Mtendaji  wa kampuni ya Jaunt Africa Ltd, Acquiline  Mlulla waandaji wa...

 

10 years ago

Michuzi

NHC FAMILY DAY BONANZA LAFANA KUNDUCHI BEACH HOTEL, JIJINI DAR

????????????????????????????????????Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Mawasiliano waNHC, Bi Suzan Omari akipata maelezo kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa shirika hilo waliokuwa wakisimamia michezo mbalimbali wakati wa tamasha la NHC Family Day lililofanyika kwenye hoteli ya Kunduchi Beach mwishoni mwa wiki likishirikisha wafanyakazi wa shirika hilo jijini Dar es salaam na familia zao na kufahamiana ikiwani pamoja na kubadilishana mawazo.????????????????????????????????????Wafanyakazi hao wakishindana katika mbio ufukweni.????????????????????????????????????Mmoja wa wafanyakazi wa NHC akiwa...

 

10 years ago

Michuzi

Kumekucha ‘Chicken Wings Bonanza & Family Day Out’ leo Februari 28

Na Andrew ChaleBonanza kubwa la Nyama ya kuku ‘’Chicken Wings’ linaendelea muda huu huku watu mbalimbali wameanza kumiminika marafiki na familia mbalimbali leo  Februari 28, ndani ya Azura Beach Club, Kawe, Jijini Dar es Salaam.Akieleza hilo muda huu haapa katika viwanja ghivi linapoendelea Bonanza hili la Chicken Wing, Bonanza & Family oUT', Mkurugenzi Mtendaji  wa kampuni ya Jaunt Africa Ltd, Acquiline  Mlulla waandaji wa Bonanza hilo  Amesema watu mbalimbali wameanza kujitokeza tokea...

 

10 years ago

GPL

UMOJA WA MATAIFA YAINYUKA WIZARA YA MAMBO YA NJE BAO 3-0 KWENYE BONANZA LA UN FAMILY DAY

Pichani juu na chini ni baadhi ya watoto wa wafanyakazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na watoto wa wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa walipojumuika pamoja mwishoni mwa juma kushiriki michezo mbalimbali kwenye UN Family Day kusheherekea maadhimisho ya miaka 69 ya Umoja wa Mataifa tangu kuanzishwa kwake.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Kumekucha ‘Chicken Wings Bonanza & Family Day Out’ Kufanyika Feb 28

 

whatsapp and facebook post

Na Andrew Chale wa modewji blog

Bonanza kubwa la Nyama ya kuku ‘’Chicken Wings’ litakalokutanisha watu mbalimbali wakiwemo marafiki na familia mbalimbali linatarajia kufanyika  Februari 28, ndani ya Azura Beach Club, Kawe, Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na mtandao huu, Mkurugenzi Mtendaji  wa kampuni ya Jaunt Africa Ltd, Acquiline  Mlulla waandaji wa Bonanza hilo la ‘Chicken Wings Bonanza & Family Out’ linalotarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza, Alisema  tayari maandalizi yamekamilika...

 

11 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA MABENKI MKOANI KILIMANJARO WATOANA JASHO KATIKA BONANZA LA BANKERS DAY 2014.

Wafanyakazi wa Benki mbalimbali mkoani Kilimanjaro wakitoana jasho katika mashindano ya mbio za mita 400.Wafanyakazi wa Benki mbalimbali wakioneshana uwezo wa kusukuma Gogo katika Bonanza la Bankers Day lililofanyika katika uwanja wa Chuo kikuu cha Ushirika na Baiashara mjni Moshi.Mmoja wa wafanyakazi wa Benki akionesha kuku baada ya kufanikiwa kumshika katika mashindano ya kukimbiza kuku.Wengine walioneshana uwezo katika kukimbia huku wakiwa wamevaa gunia.Kwa upande wa kamba mshindi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani