Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kajala Ashutumiwa Kuchukua “Credit” za Mangi!

Mrembo na Staa wa Bongo Movies,  Kajala Masanja amelalamikiwa na wasanii kwa kujitangaza kuwa alipata shida katika kuwatafuta wasanii walioshiriki katika filamu ya Mbwa mwitu wakati wao walitafutwa na Mangi msanii maarufu kwa Casting Abul Ally ‘Mangi’.

Akiongea na FC mmoja wa washiriki wa filamu hiyo kutoka mitaa ya Mburahati amedai kuwa aliona katika moja ya kituo cha televisheni Kajala akijisifu eti alipata shida sana kuwatafuta wasanii ambao walikuwa watu wa matukio na kuacha na maisha...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

Mangi Sabbas school gets shot in the arm


Mangi Sabbas school gets shot in the arm
Daily News
PUPILS at Mangi Sabbas Primary School in Chekereni village, Mabogini ward can now concentrate on studies under a conducive environment, as the school committee was handed over three renovated classrooms, a teachers' office and a modern kitchen.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pacquiao ashutumiwa kwa udanganyifu

Bondia wa Ufilipino Manny Pacquiao ameshutumiwa kwa udanganyifu wa kuumia bega kabla ya pambano na Floyd Mayweather

 

10 years ago

BBCSwahili

Bill Cosby ashutumiwa kuwa mdhalilishaji

Mchekeshaji na muigizaji maarufu Bill Cosby ashutumiwa kuwadhalilisha Wanawake kijinsia

 

10 years ago

GPL

YEMI ALADE ASHUTUMIWA KUJICHUBUA KWA MKOGORO

Mwanamuziki wa Nigeria, Yemi Alade. Lagos, Nigeria IMEKUWA mtindo kwa mastaa weusi kujichubua ngozi zao na kuzifanya nyeupe.  Mmoja wa wanamuziki wa Nigeria, Yemi Alade, amejikuta akisakamwa na shabiki mmoja kwa kutumia mkorogo. Yemi Alade. Alipotuma katika mtandao wa Twitter picha mbili za mwanamuziki huyo aliyevuma kwa wimbo wake wa ‘Johnny’ – picha moja ikimwonyesha alipoanza kujikita katika muziki...

 

9 years ago

BBCSwahili

Trump ashutumiwa kwa kupanga kufurusha wahamiaji

Donald Trump ameshutumiwa vikali kwenye mdahalo wa wagombea wa chama cha Republican kutokana na mpango wake wa kuwafurusha wahamiaji 11 milioni kutoka Marekani.

 

10 years ago

Bongo Movies

Mwigizaji Jack Wolper Ashutumiwa Kumsahau Aliyemtoa Kisanii Katika Tasnia ya Filamu Bongo

Ubuyu Mpya Kutoka Instagram kwenye page ya mrekebishatabia kuhusu Mrembo Mwigizaji Wolper Kumsahau aliyemwingiza katika Tasnia ya Filamu:

'HISTORIA: Je unajua aliyemtoa kisanii Jackline Wolper mpaka kupata umaarufu nchini ni nani? Ni mdada mkali wa wa siku nyingi kwenye masuala ya sana Lucy Komba ambaye hivi sasa anaishi na familia yake nchini Denmark.

Alikutana nae kwenye ofisi moja bongo akamuomba namba ya simu walipoachana baada ya kama dk 10 akamuandikia msg anaomba amsaidie kwenye sanaa...

 

11 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala


Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji  Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari  ambayo  ilisambaa  katika  mitandao  mbalimbali  ya  kijamii.

Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...

 

10 years ago

TheCitizen

Banks get Sh34bn credit

Tanzania Mortgage Refinance Company Limited (TMRC) - a private sector institution owned by the banks with sole purpose of supporting banks to do mortgage lending - has extended Sh34 billion worth of loans to its members during the past three years.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani