KAJALA: NINA KIBARUA KIGUMU KWA PAULA
![](http://api.ning.com:80/files/DGjgPH8*8vlKXF45tsuSpCVp5Mjeqy*2Wh-5tCqfhHH40EV6M0c72INNMKE7*Fnphc2fnfh8MJDlzlNyg1dSE-5nZMb-xRPu/3.jpg?width=650)
Imelda Mtema Kazi kwelikweli! Mkali wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ amefunguka kuwa kwa umri aliofikia mwanaye, Paula Paul wa miaka 14 ana kibarua kigumu cha kuhakikisha anakuwa salama hasa kwenye suala la wanaume. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Apr
Kajala: Nina Kibarua Kumchunga Paula
Staa mrembo wa Bongo Movies, Kajala Masanja ‘Kay’ amefunguka kuwa kwa umri aliofikia mwanaye, Paula Paul wa miaka 14 ana kibarua kigumu cha kuhakikisha anakuwa salama hasa kwenye suala la wanaume.
Akiongea na gazeti la Ijumaa Wikienda hivi karibuni, Kajala alisema kuwa kwa umri huo, Paula ambaye alizaa na Prodyuza wa Bongo Records, Paul Matthysse ‘P Funky’ anahitaji uangalizi wa nguvu na kumsimamia kwa kila jamabo ili kuwakwepa ‘mijitu mikware’ ambao wanaweza kumrubuni.
“Dunia ya sasa...
10 years ago
Habarileo18 Oct
Tanesco yapewa kibarua kigumu
MOJA ya sekta zenye mchango katika maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja zilizofanyiwa mabadiliko makubwa na ya kasi, ni upatikanaji wa umeme, ambapo Serikali imeagiza Shirika la Umeme (Tanesco), kuunganisha umeme kwa wateja siku ambayo wamelipa gharama za kuunganishiwa huduma hiyo.
10 years ago
Mtanzania06 Jun
JK: Rais ajaye ana kibarua kigumu
Na Mwandishi Wetu,
RAIS Jakaya Kikwete amesema rais ajaye atakabiliwa na changamoto kubwa ya kuhakikisha Tanzania inaendelea kubaki kuwa moja kwa kudumisha umoja huo unaotokana na muungano wa nchi mbili.
Kikwete alitoa kauli hiyo siku chache baada ya makada wa chama hicho kuanza kuchukua fomu kuomba ridhaa ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Hadi sasa waliochukua fomu ni mawaziri wakuu wa zamani, Frederick Sumaye na Edward Lowassa, Makamu wa Rais,...
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Marekani ina kibarua kigumu Syria
10 years ago
BBCSwahili28 Dec
Chelsea na Man U wapata kibarua kigumu
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Askofu asema JPM ana kibarua kigumu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ8URCfUOgcf21Fao2B82nchAAy2a4*s5c7LLim9QdegxR1ZD9Epi6aH-Xrlgeb6B*zorZED15CGW0WE6CyzEUz6/Kajala.jpg)
KAJALA: SASA NAHITAJI MDOGO WA PAULA
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Kajala: Mwanangu Paula ni mlevi wa kuogelea
Mtoto wa msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja, Paula Paul akiwa anaogelea na mwenzie.
Musa Mateja
Mtoto wa msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja, Paula Paul anadaiwa kuwa mlevi wa kuogelea ambapo kila wikiendi amekuwa akimlazimisha mama yake ampeleke bichi.
Mtu wa karibu wa Kajala aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini aliliambia Ijumaa kuwa, Paula amekuwa akimsumbua mama yake ampeleke bichi kila ifikapo mwisho wa wiki.
“Yaani yule mtoto ni mlevi wa kuogelea, kila wikiendi lazima...