Kalenga hofu tupu
WASICHANA wawili waliodai kutekwa na watu wanaodhaniwa kuwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamesema wanaishi kwa hofu kwa kuwa bado wanafuatiliwa. Wasichana hao (majina yamehifadhiwa), wanadai walitekwa Machi 6,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Hofu tupu Dodoma
HOFU imetanda katika mjini wa Dodoma hususan kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, baada ya watu wasiofahamika kusambaza vipeperushi maeneo mbalimbali usiku wa kuamkia jana, vyenye ujumbe wa vitisho kuwataka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg*HIcgVP6adM9XdtD-1n8paYr8cak-aljJ4nSoCvrwn79LOdN9fyolu04xWt4N3SoBH-78OwZ0OPFiamZNiZk*3/2.jpg?width=650)
Maximo,Phiri hofu tupu
SIMBA ilipata sare, Yanga ikala kichapo, matokeo hayo yalikuwa ni katika mechi za ufunguzi wa Ligi Kuu Bara wikiendi iliyopita, habari ni kuwa sasa makocha wa timu hizo wapo kwenye presha kubwa ya kuhakikisha wanapata ushindi katika mechi za wikiendi hii kwenye ligi hiyo. Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo. Kocha wa Yanga, Marcio Maximo, yupo kwenye presha kubwa kutoka kwa mashabiki wake ambapo ili kupata ushindi, amewapa...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Hofu ya vurugu yatanda jimbo la Kalenga
Zikiwa zimesalia siku 12 kabla ya uchaguzi mdogo wa ubunge wa Jimbo la Kalenga, zimeanza kuonekana dalili za vitendo vya uvunjifu wa amani baada ya vyama vikuu viwili vinavyokabana koo – CCM na Chadema kuanza kutuhumiana kwa vurugu.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_rdFNI6Nvh8/Uwx-dk6-ykI/AAAAAAACbFs/7VIME4f1y-4/s72-c/MMG24848.jpg)
WANANCHI MSIWE NA HOFU,HAKUTAKUWA NA VURUGU UCHAGUZI MDOGO WA JIMBO LA KALENGA-MKUU WA MKOA IRINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-_rdFNI6Nvh8/Uwx-dk6-ykI/AAAAAAACbFs/7VIME4f1y-4/s1600/MMG24848.jpg)
Akizungumza leo kwenye moja ya kituo cha redio mjini humo,Nuru FM ,kupitia kipindi cha sunrisepower, amesema kuwa tayari ameshakaa na kamati yake ya Ulinzi na Usalama akiwemo Kamanda wa Jeshi la Polisi,aidha ameongeza kuwa wamejiandaa kikamilifu katika ulinzi, hivyo wananchi wanapaswa kutokuwa na hofu.
Amesema kuwa...
11 years ago
Michuzi10 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-phn5cg9cZ2w/UyM_WOGpi4I/AAAAAAACcdk/UaiQcfMn7gk/s72-c/6.jpg)
KINANA ATUA KALENGA LEO,AMNADI MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA KWA KISHINDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-phn5cg9cZ2w/UyM_WOGpi4I/AAAAAAACcdk/UaiQcfMn7gk/s1600/6.jpg)
Kinana amewataka wakazi wa Kalenga kumpigia kura za kutosha na hatimae kuibuka mshindi kwa maendeleo ya jimbo hilo,hapo siku ya jumapili ambapo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NxUT9ikLOjM/Uxt7w_6nioI/AAAAAAACb6Y/XepRUnKfDzM/s72-c/IMG_7757.jpg)
Meya wa Ilala Jerry Silaa,Mwakalebela waishambulia vilivyo Kalenga,wampigia debe la nguvu mgombea ubunge jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-NxUT9ikLOjM/Uxt7w_6nioI/AAAAAAACb6Y/XepRUnKfDzM/s1600/IMG_7757.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ShlZgfeEtBU/Uxt7x5TTc1I/AAAAAAACb6o/R1PCrEQ8wv4/s1600/IMG_7760.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Feb
NYOTA YA JACKSON KISWAGA YANG'ARA KALENGA ,WANA KALENGA WAWAOMBA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU KUTOWACHAGULIA WINGINE ZAIDI YA KISWAGA
![](https://2.bp.blogspot.com/-DoCbFIk2njY/UvXax8PgNtI/AAAAAAABiGs/PbsJGBwjsnQ/s1600/004iringa+.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GXLPCTA9BxM/UvXbBPpNNHI/AAAAAAABiG0/wy2BbXoQ4ew/s1600/images.jpg)
Bw Kiswaga akiwashukuru wana kalenga kwa maombi na imani yao kwake.
Na Francis Godwin, Iringa Wakati leo wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM jimbo la Kalenga wanakutaka katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mjini Iringa kumteua ...
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Presha tupu,
Ni presha kila kona ndivyo unavyoweza kusema kwa sasa jinsi Ligi Kuu Bara inavyoendelea katika mbio za ubingwa na wale wanaopigania kujinasua na janga la kushuka daraja msimu huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania