Kama hali hii inaanzia vyuoni ufisadi hautakwisha
Utatamani kujua chanzo cha shida na matatizo kwenye kila nchi lakini kila jambo halitokei kwa bahati mabaya ila tu lilianza sehemu na kukua na kuendelea na mwishowe ikawa tabia ya mtu. Vitu vingi vinavyoendelea hapa nchini havijaanzia hapo, hayo ni matokeo tu ya namna tulivyokuzwa na kulelewa. Siku chache zilizopita niliweza kupata tetesi ya ubadhilifu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]
The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...
11 years ago
Tanzania Daima14 May
UFISADI WA BIL. 200/-BoT: CCM kung’oka kama KANU
KASHFA nzito ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bil. 200) inayowakabili vigogo sita wa serikali, huenda ikaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama ilivyotokea kwa...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Pasipo utashi wa kisiasa ujangili hautakwisha
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Mikakati ya elimu inaanzia kwenye vifaa
LICHA ya Serikali kupitia wizara ya elimu kutangaza elimu ya msingi bure, bado kuna baadhi ya shule za serikali zimekuwa zikitoza wazazi michango mbalimbali inayoleta kero.
Baadhi ya michango hiyo ni pamoja na michango ya masomo muda wa ziada (Tuition), mchango wa mlinzi wa shule na madawati.
Wazazi kwa kutaka watoto wao wapate elimu bora, wamekuwa wakikubali kulipa michango hiyo kwa viwango tofauti vya fedha kulingana na aina ya mchango na shule husika.
Mfano, kwa mwanafunzi wa...
10 years ago
VijimamboHIKI NDICHO ALIKIELEZA MANJI NA KUTISHIA KUJIUZULU UENYEKITI YANGA SABABU YA UFISADI KAMA MENGI ATATHIBITISHA
KATIKA PITAPITA, TUMEPATA BARUA YA MWENYEKITI WA YANGA KUPITIA MTANDAO WA www.manjivsmengi.com IKIELEZA MAMBO MENGI NA MWALIKO WA MDAHALO AMBAO MANJI AMEUTOA KWA MENGI.MDAHALO HUO UNAFANYIKA IJUMAA HII NA UTARUSHWA MOJA KWA MOJA NA TBC KUANZIA SAA 12 JIONI HADI SAA 1 USIKU. SOMA BARUA HIYO.
Hisia za Bwana Mengi kwenye vyombo vya habari kuwa kampuni yangu inamiliki fedha za serikali chini ya Commodity Import Support (CIS)
Mengi ametupa lawama akizishutumu kampuni kama Farm Equip, Apollo Tires,...
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Kwa hali hii nauona mwisho wa Serikali ya CCM
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MdperIYOW4Q/U1f4XDyEtrI/AAAAAAAFchs/dhnOqrQ_Vq4/s72-c/MMG21717.jpg)
barabara zitakuwa salama kweli kwa hali hii??
![](http://1.bp.blogspot.com/-MdperIYOW4Q/U1f4XDyEtrI/AAAAAAAFchs/dhnOqrQ_Vq4/s1600/MMG21717.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YkTKyp_2bjs/U1f4hFlIFqI/AAAAAAAFch0/eRu6V-XeCRc/s1600/MMG21720.jpg)
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
JB: Chungu cha Tatu Ina Majibu ya Hali Hii..
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amedokeza kuwa filamu ya Chungu cha Tatu inayomjumuisha staa mrembo, Wema Sepetu itaingia sokoni hivi karibuni.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, JB aliandika haya mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
Umeshawahi kuwa katika mahusiano ambayo yalikatika lakini bado moyo wako unapenda??? Unajua kinachofata kila penzi jipya halikai maana moyo uko huko kwa mwanzo.
Chungu cha Tatu ina majibu ya hali hii, tunajaribu kuitoa filam hii haraka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FqLtVvXU0OjQ7eb*rgb7QMPmDsO5CH3lBq7VVtCBcPv5c8TlLeRhPDZ-fv*C0DJ49lJO0mn5yDMSkmsZLsphAhY/FRONTAMANI1.jpg)
GARDNER KWA HALI HII SASA IDE BASI TENA